Waziri Makamba: Bwawa la Mwalimu Nyerere sasa kazi ni usiku na mchana

Raisi pekee akigombea ntampigia kura ni makamba .
 
Raisi pekee akigombea ntampigia kura ni makamba .
makamba wakati wa wewe kumpigia kura ukifika atakua mgombea urais. Tunakuuliza tena rais gani anayeitwa makamba utampigia kura uchaguzi ukifika. Kajifunze lugha vizuri na si kwenda english medium kila siku kunoa ngeli yako tu
 
Kadiri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo uzee mbaya kabisa kuwahi kutokea unamvagaa bwana January, kiasi kwamba watu tunataka kuhoji utimamu wake wa akili na ilikuwaje akaingia no ile kipindi kile cha wenye akili zao kuwapo kwenye no hiyo..
 
makamba wakati wa wewe kumpigia kura ukifika atakua mgombea urais. Tunakuuliza tena rais gani anayeitwa makamba utampigia kura uchaguzi ukifika. Kajifunze lugha vizuri na si kwenda english medium kila siku kunoa ngeli yako tu
Sikuelewi !!!we tako unaongea nn?
 
Anakosea sana anaposema eti awamu ya 6 ndiyo imeongeza kasi, huo ni uongo. Kama kazi tu za vibarua ni rushwa nje nje je huo ujenzi wenyewe??? Yaani walivuruga mfumo ili
kutengeneza mianya ya rushwa, tuombe Mungu lisijejengwa kwa kiwango duni likaua watu.
 
Huo usiku na mchana ni kwa nchi ipi??
 
Je hakidhi vigezo? Mtanzania yeyote mwenye akili timamu anaweza kugombania nafasi ya Uraisi wa Jamhuri ya Muungano.

Acheni majungu dhidi ya Makamba jr.
Mzigo huo
 
Tatizo ni Katiba yetu hii hairuhusu mgombea huru inalazimisha uwe kwenye Chama cha siasa.
Eleza vizuri. Si katiba inayokataza mgombea huru wa urais, ni sheria inayosema hivyo. Unajua tena, kama sheria inapingana na katiba, sheria hiyo inakufa tunafuata katiba.
Kama ambavyo mtu halazimiki kuwa na chama ili kupiga kura, vilevile mtu halazimiki kuwa na chama kupigiwa kura.
 
Kwa hiyo sheria inapingana na Katiba? Vurugu mechi😂
 
imeanza lini hii au ipo kwenye makaratasi nyumbani kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…