Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Let’s uthibitisho! Hizo unazoleta zote ni stori ambazo hata mimi naweza kuzitunga
 
Kampuni ya simu ya Halotel ni ya January Makamba na JK . Kampuni hii hailipi kodi na imewekeza minara yao kwenye maeneo ya taasisi za serikalu mfano shule za serikali, bure na hawalipi kodi ya pango popote waliopoweka minara. Wizi mkubwa huu

 
James kwa uzalendo wake na kwa u mimi na upigaji wa January kamwe hawezi kudumu pale.
Mr February is a jack of all trades but master of none

Mataragio namfahamu n mtu makini lakn nasikitika hata dumu pale January atamshaur SSH aweke mpigaj mwenzake

Ndipo.tulipofika hapa tunaishi awamu ya 4 lakn tupo awamu ya 6
 
Huyu jamaa sijui kama atafanya vizuri kama yalivyo matarajio ya wengi. Anyway, muda ni mwalimu mzuri. Akitaka afanye vizuri aache tamaa ya madaraka zaidi ya hayo aliyonayo.
 
Mr February is a jack of all trades but master of none

Mataragio namfahamu n mtu makini lakn nasikitika hata dumu pale January atamshaur SSH aweke mpigaj mwenzake

Ndipo.tulipofika hapa tunaishi awamu ya 4 lakn tupo awamu ya 6
Hawakujifunza kwa Kikwete,alipoingia alimtoa JPM kwenye barabara akaweka washikaji zake,walichokifanya akina Chenge,Shukuru Kawambwa anakijua......alikuja kumurudisha JPM kwa shinjo upande.
 
Hilo wanalijua ila wamedhamilia kutekeleza matakwa yao ya upigaji.
 
Kwahiyo mmezoea kudanganywa kama issue ya mafuta ya kula?
 
Gosheni, yawezekana hapa ndipo penye tatizo.
Kusababisha taharuki.
 
Makamba na elimu yake ya kuunga unga anathubutu vipi kumpinga Daktari mtaalam na mbobezi wa petrol?? Alipaswa kukubaliana na ukweli na kusema hatua zinazochukuliwa ili kuondoa hofu lakini si kupinga
Nasikia Popatlai alifanya yake ya kina Bashite
 
Hilo wanalijua ila wamedhamilia kutekeleza matakwa yao ya upigaji.
Wataenda kujimilikisha koki kule kurasini yani hii nchi bana mi ningekuwa na uwezo ningekusanya wazee kila mkoa waandae skadi tu tuwasafishe washenzi wote mmoja baada ya mwengine!

Ni ajali tu na mbinu zote za kimila kuwamaliza wote iwe angani au ardhini! Mwisho tuweke utaratibu mpya sasa. Yani kiongozi yeyote anayejifanya mwehu ni kumnyoosha tu kimila!

Yani mambo yangeenda ndani ya mwaka tu kama walivyowafanya jopo la JPM walivyonyooshwa kimya kimya.
 
Wanatia kinyaaa sana maana huyo Makamba kaingia wizarani wakati ipo hali ya mafuta ipo stable.

Sasa ameingia akaanza fujo zake na sasa tunakaribia kuingia kwenye mdororo wa upatikanaji wa mafuta.

Kubali kataa hili ni tatizo la kutengeneza makusudi maana ufisadi wa kwenye nishati siku zote huwa ni wa matrillion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…