Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Huyu ndugu MAKAMBA alipinga wakati akiwa waziri wa mazingira akidai kujenga BWAWA la nyerere athari ni kubwa kuliko faida, wakati mambo yako tofauti, hivi huyu MAKAMBA siku awe rais nchi itaelekea wapi?? Jamani muogopeni Mungu, Yani inauma Sana kwa matendo yenu ya hovyo, MAKAMBA kuongea point na kutetea hoja Yuko vzr,Ila matendo yake Sasa !!!
 
Wewe huna lolote ni mnafiki tu. Huna msimamo yani tumekudharau sana siku hizi. Tulidhanmpambanaji. Yani wee jamaaa tukutane uso kwa uso nawe, a kukuzaba mfululizo wa makofi.

brazaj
 
Utadhan ni msingi wa magorofa ya Kariakoo yanavyojengwa
 
We kituko achana na mimi tafadhari tena Komaaa mwana usiye na haya!

Jana ume zima hovyo!

Nimekwambia wenye vyeti fake hawarejeshwi ofisini endelea kupambana na hali yako simbilizi!
Polepole katika ubora wako
 
Paruaneneni kivyenu vyenu huko. Mmebaki kumuonea braza Mbowe na wengine. Kufeni kabisa. Mbowe mnamsweka ndani kisa mnaogopa katiba mpya ikipatikana ubadhirifu kama huu mnaufanya hamtapona.
Mbowe ni gaidi anastahili kunyongwa au kifungo Cha maisha
 
Na yale yanayoshusha makontaina ya tani 40 mikoani, yale yanayo inua concrete chasis za madaraja ya SGR, kweli Makatani anatuingiza chaka,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…