Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Kamarada karibu JF......

Naona mada zako zimeshushupalia sana pale bwawa la mwalimu Nyerere ambapo tutalipa jumla ya Trilioni 6.5 na malengo ya mradi kukamilishwa na arab contractors mwezi Juni 2022 tukipata MEGAWATI 2115.

Vipi una wasiwasi mradi huo kutoendelezwa?!!

Kwa sababu zipi?
 
Hapa washajua kwa mabadiliko ya tabia ya nchi yanavoendelea dawa ni kuchelewesha tu kulijaza maji bwawa ili hata iyo March mwakani iwe sio rahisi kulijaza kwani kiwango cha maji kinaweza kisiruhusu kutokana Na ukosefu wa mvua za kutosha hivyo hii ni ku buy time tu kulihujumu bwawa,
Kongole wapigaji,kongole Maropes
 
Utetezi mwingine kama huu hauna hata maana, Magufuli alikuta mradi wa umeme wa gas na uzalishaji umeshaanza. Ni kwanini apeleke 7t kwenye mradi mpya wa maji kuleta 2,115mg, kwani angeingiza 3t kwenye mradi wa gas tusingepata hizo 2,115mg? Au yeye Magufuli alikuwa anaharibu image ya JK? Tumekuwa nchi ya wajinga, kila rais akiingia anakuja na miradi ya kusaka sifa zake,matokeo yake tunabaki na mamiradi yaliyo chini ya kiwango, na madeni ya kutisha.
Hata ungekuwa wewe pengine ungefanya hivyo hivyo kama kuanzisha miradi mipya na kufanya yale yote ambayo yatakutangaza wewe yenye kufanya uonekana kuwa wewe ndio umefanya. Kama ambavyo hata Samia sasa anajaribu kufanya yale ambayo yatamtangaza hiyo 2025.
 
Kuna mchezo unachezwa na January, awe makini, sbb Hili Bwawa la Nyerere naona kama vile analipinga kiaina. Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba angedhubutu au waziri yeyote kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.
We nawe huna akili, hiyo winchi anayeileta ni makamba? Kwanza unaelewa maana ya contractor kweli?
 
We kituko achana na mimi tafadhari tena Komaaa mwana usiye na haya!

Jana ume zima hovyo!

Nimekwambia wenye vyeti fake hawarejeshwi ofisini endelea kupambana na hali yako simbilizi!
Achana na J February huyo....Mmemshutia anajitapatapa tuu
 
Binafsi Sina Tatizo na Maropes ila mtu anaemuamini Maropes nae ni sehemu ya tatizo...ni aina ya wanasiasa wajanja wajanja and they act smart and play innocent!

Kama Kuna Tatizo Tz basi anaemuamini Maropes nae ni sehemu ya tatizo
 
Kuna mchezo unachezwa na January, awe makini, sbb Hili Bwawa la Nyerere naona kama vile analipinga kiaina. Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba angedhubutu au waziri yeyote kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.
Willing hakuna ya mradi huo kutekelezwa from his side. Hata kama mtu ni mzuri, mamlaka za uteuzi zingekua zinafanya upembuzi yakinifu sana wangeweza kumpatia wizara nyingine, inayukumnisha sana waziri ambaye alipinga ujenzi wa bwawa wakati akiwa mazingira na aka block block upembuzi yakinifu kuwa bwawa lingeharibu mazingira na bora kutumia vyanzo vingine vya umeme leo hii hii unampatia wizara hiyo hiyo ya kufua umeme kupitia uwekezaji mkubwa wa bwawa hilo hilo alilolipinga.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
January hili bwawa alilipinga toka kitambo,tangu alipokua waziri wa muungano na mazingira kwa hoja eti linaharibu mazingira ya uhifadhi wa asili.Lakini yote haya mwenye majibu ni mungu pekee aliemtwaa mja wake mh.magufuli akiwa bado madarakani.
 
Willing hakuna ya mradi huo kutekelezwa from his side. Hata kama mtu ni mzuri, mamlaka za uteuzi zingekua zinafanya upembuzi yakinifu sana wangeweza kumpatia wizara nyingine, inayukumnisha sana waziri ambaye alipinga ujenzi wa bwawa wakati akiwa mazingira na aka block block upembuzi yakinifu kuwa bwawa lingeharibu mazingira na bora kutumia vyanzo vingine vya umeme leo hii hii unampatia wizara hiyo hiyo ya kufua umeme kupitia uwekezaji mkubwa wa bwawa hilo hilo alilolipinga.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Cha ajabu watu Kama hao ndio wanaoishi maisha marefu.
 
hydroelectric power ni technic ya kizamani sana ya kuzalisha umeme, mwendazake alituingiza chaka, sasa mradi unatudodea. Makamba upo sahihi.
 
Utetezi mwingine kama huu hauna hata maana, Magufuli alikuta mradi wa umeme wa gas na uzalishaji umeshaanza. Ni kwanini apeleke 7t kwenye mradi mpya wa maji kuleta 2,115mg, kwani angeingiza 3t kwenye mradi wa gas tusingepata hizo 2,115mg? Au yeye Magufuli alikuwa anaharibu image ya JK? Tumekuwa nchi ya wajinga, kila rais akiingia anakuja na miradi ya kusaka sifa zake,matokeo yake tunabaki na mamiradi yaliyo chini ya kiwango, na madeni ya kutisha.
Umene wa gas Ni gharama kubwa kuzalisha na gharama kubwa kwa mtumiaji kuliko umeme wa Maji

Kwa hiyo mlitaka muanze na miradi gharama kubwa ya kuzalisha na kuumiza mteja ?

Kwa hiyo mnataka kuwakomesha wananchi muutelekeze mradi wa Bei nafuu na ukikamilika kunakuwa nafuu kwa mwananchi mtumiaji mumupeke kwenye gas expensive?

Wewe utetezi wako ndio hauna maana sababu hujali gharama za mradi Wala kujali gharama atakazolipia mwananchi

Umeme wa Maji bei ndogo.Kwa hiyo mnataka kuufrustrate ili mkomoe wananchi mwende kwenye gharama kubwa kwa Vita zenu za kibwege za madaraka za kutaka kujionyesha Nani zaidi kuliko mwingine kuwa Sasa zamu yenu wananchi watawakoma vya Magufuli vilivyokuwa cheap tupa kule lete expensive?
 
hydroelectric power ni technic ya kizamani sana ya kuzalisha umeme, mwendazake alituingiza chaka, sasa mradi unatudodea. Makamba upo sahihi.

Mkuu fanya basi Mchakato Sisi Tulioaomea Oil&Gas pia Tunaokaa Huku Kusini Tufaidike na Gas Yetu Kaka?
Si Unajua Gas ni 6%Tuu ya bomba ndio imetumika,Pigia Pigia Debe basi Umeme wa Gas Mwamba[emoji30][emoji12]
 
Back
Top Bottom