Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Eeh Mungu Baba wa Mbinguni, twakuomba utusamee pale tulipokukosea. Tusamehe eeh Bwana wa majeshi. JPM hakika tulipaswa kukuombea zaid labda Mungu angekupa muda zaidi... roho yngu dah.

Winchi... ndo maana Kalemani aliondolewa. Vunjeni kbs tujue moja...
 
Kuna waziri mmoja kipindi fulani cha ukame na mkato wa umeme alidai bwawa la Mtera haliwezi kujaa maji kwa miaka mitano ijayo, hata inyeshe mvua ya namna gani! Mungu si Athumani, ilinyesha mvua ya siku tatu tu maji yakajaa na hata mamlaka husika zikaogopa yatavunja kingo za bwawa na kupitaliza.

Kujaa na kutojaa maji kwenye bwawa au kukosekana vifaa/ujuzi mara nyingi ni siasa ili kuhalalisha jambo fulani
 
Umene wa gas Ni gharama kubwa kuzalisha na gharama kubwa kwa mtumiaji kuliko umeme wa Maji

Kwa hiyo mlitaka muanze na miradi gharama kubwa ya kuzalisha na kuumiza mteja ?

Kwa hiyo mnataka kuwakomesha wananchi muutelekeze mradi wa Bei nafuu na ukikamilika kunakuwa nafuu kwa mwananchi mtumiaji mumupeke kwenye gas expensive?

Wewe utetezi wako ndio hauna maana sababu hujali gharama za mradi Wala kujali gharama atakazolipia mwananchi

Umeme wa Maji bei ndogo.Kwa hiyo mnataka kuufrustrate ili mkomoe wananchi mwende kwenye gharama kubwa kwa Vita zenu za kibwege za madaraka za kutaka kujionyesha Nani zaidi kuliko mwingine kuwa Sasa zamu yenu wananchi watawakoma vya Magufuli vilivyokuwa cheap tupa kule lete expensive?

Kwahiyo Unataka Mitambo yetu ya Gas ioze kaka?
Gas angalau tutaiuzia Tanesco sasa hayo maji Si Yatachimbwa na Tanesco wenyewe tutakufa njaa mkuu[emoji3516][emoji41] Kuwa na Huruma Kaka...
Kwanza Hilo Bwawa Litaharibu Mazingira,Ukame utakausha Maji,Mitambo ni ya Kizamani,
Tuendeleze kile tulichokianza cha Gas,mbona Mmekiacha?Ujue Roho Inauma[emoji30][emoji30]Na wewe Tuiache Bwawa uumie kama Tulivyokuwa tunaumia sisi[emoji41]
Alisikika Jamaa mmoja Aliekuwa kachanganyikiwa na Maisha akisema maneno hayo”[emoji2][emoji2][emoji119]
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Makamba anajitafutia shida tu huko mbeleni.

Anaweza akajikuta kama Membe.
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Umemsahau baba yake yusuph makamba
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Kwani wakati wanafanya usanifu wa mradi huu walifikiri hayo mawinchi yangetoka wapi? Kama hamna Tanzania si walitakiwa wawe wameliona na kuliwekea mkakati. Sasa kuja kututangazia sasa maana yake nini?
 
Watanzania kwa ujumla tumepigwa. SSH, Mulamula, Dorothy gwajima, makamba, ndalichako, doto biteko, majaliwa, mpango, mwenezi wa ccm Taifa, hii orodha majibu yake yataonekana 2025
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
26 tones ni ndogo sana hata bandarini makotainer Yana uzito zaidi ya huo. Unless kuna mengine zaidi ya uzito.

Lakini hilo swala la Winchi siyo la serikali ni la contractors. Kama serikali imemlipa contractor sioni kwa nini hii issue iwe serikali kuzitolea maelezo tena Bungeni.
 
Mkuu fanya basi Mchakato Sisi Tulioaomea Oil&Gas pia Tunaokaa Huku Kusini Tufaidike na Gas Yetu Kaka?
Si Unajua Gas ni 6%Tuu ya bomba ndio imetumika,Pigia Pigia Debe basi Umeme wa Gas Mwamba[emoji30][emoji12]
Hivi unafahamu kuwa gas si yetu, na ili tuitumie kuzalisha umeme ni lazima tuinunue? Je wajua gharama yake kuzalishia umeme ikoje?
 
hydroelectric power ni technic ya kizamani sana ya kuzalisha umeme, mwendazake alituingiza chaka, sasa mradi unatudodea. Makamba upo sahihi.
China nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani sasa hivi anakamilisha kujenga bwawa kubwa la kuzalisha umeme,sasa jiulize china hakuona vyanzo vyengine?
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Hatujapigwa isipokuwa kausema ukweli kama ulivyo
 
Ebu shirikisha akili yako na wewe sio tu una take it easy nchi nzima Kweli sisi ni wakukosa crane au winch za kunyanyua ton 30!!!!???
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
But Kalemani alitangaza by November 15 maji yataanza kujazwa kwenye bwawa tena na saa alitaja. Hii ina maana waziri au mtu yeyote anaweza kusema uongo ndani ya bunge kadri anavyojisikia? Siyo nziri hii!
 
Hivi unafahamu kuwa gas si yetu, na ili tuitumie kuzalisha umeme ni lazima tuinunue? Je wajua gharama yake kuzalishia umeme ikoje?

Mkuu Magenerata si yapo Kaka?
Si Kina IPTLL wanarudi?Au hivyo wataongeza nguvu? Lakini Si Ni Mradi uliotangulia Kuanza Kaka? LNG pia Itatoa Hela Kaka 70trilioni sio mchezo Kaka...
Kwanza:Hilo Bwawa Kitachafua Mazingira Dunia imepinga,Pili Gharama yake ni Kubwa mnoo wakati tayari kuna Mitambo Kinyerezi na watu binafsi wa Kufufua Umeme,Au Unataka watu/Makampuni binafsi yakose Kazi Kaka?[emoji2369]Yasiuzie Tanescoo Umeme?
Pia Umeme wa Maji Inaharibika sana,Mitambo yake ni ya Kizamani! Haya yakisema na Jamaa mmoja Alikuwa hajielewi[emoji23][emoji41][emoji30]
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Waziri mwenyewe aliibaga mtihani wa kidato cha nne Galanos Sec School unategeme ana kitu kichwani?
 
Back
Top Bottom