Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Njoo mimi nitakubeba ila kwenye toroli sasa.
 
Udini tu unakusumbua hakuna lolote, tunalala giza kila siku tena Arusha, labda hakati kwa waislamu wenzake, Arusha hatutaki hata kumuona, kufungua umeme sahivi imekuwa ni hisani na siyo huduma hata kama nguzo ipo kwako na umelipa 320,000
 
Watakuja kujisifu tumeweza baada ya bwawa la Nyerere kumalizika mwakani na tatizo la umeme kuisha.

Wakati alieanza ujenzi wa huo mradi, alikuwa anatoa umeme wa uhakika bila ya hata hiyo JNHPP.

Huyu mtu ana siasa very cheap na kupenda kusafiria nyota za wengine; watakuja kujisifia mafanikio mwakani baada ya mwezi wa sita na kutuambia mnaona kazi tuliyofanya. Wakati wao wenyewe hawana impact ya walichofanya toka wapewe wizara zaidi ya kuitisha mikutano na kutupiga porojo tu na slide zao uchwara.
 
Huyu ni Waziri jangili kabisa kuwahi kutokea

Huyu ni Waziri jangili kabisa kuwahi kutokea
Ha! Eti jangili. Kwa tuhuma. Tuhuma za mitandaoni. Kutokana na nini labda.


Kwani huyo January mwenyewe anasemaje? 🤣🤣


Your browser is not able to display this video.



Ongeeni sana ila kisasi ni MATOKEO. Ingawa mnajifanya hamyaoni matokeo. 🤔
Your browser is not able to display this video.


Karma is real.
 
Udini tu unakusumbua hakuna lolote, tunalala giza kila siku tena Arusha, labda hakati kwa waislamu wenzake, Arusha hatutaki hata kumuona, kufungua umeme sahivi imekuwa ni hisani na siyo huduma hata kama nguzo ipo kwako na umelipa 320,000
Isikilize hotuba ya Makamba, tatizo la kukatika umeme baadhi ya maeneo litaendelea kutatuliwa kidogo kidogo mpaka liishe, kasema wazi, hawezi kuahidi kuwa litaisha nchi nzima kwa mwaka huu.

Huo ndiyo ukweli.
 
Isikilize hotuba ya Makamba, tatizo la kukatika umeme baadhi ya maeneo litaendelea kutatuliwa kidogo kidogo mpaka liishe, kasema wazi, hawezi kuahidi kuwa litaisha nchi nzima kwa mwaka huu.

Huo ndiyo ukweli.
Mbona kipindi cha Kalema umeme ulikuwa haukatiki hovyo? kwanini bei ya umeme imepanda(27,000 -320,000) na unakatika hovyo? mbona Zanzibar bei ya umeme ipo chini na wakati Unguja ni mjini kama ilivyo Morogoro?
 
Mbona kipindi cha Kalema umeme ulikuwa haukatiki hovyo? kwanini bei ya umeme imepanda(27,000 -320,000) na unakatika hovyo? mbona Zanzibar bei ya umeme ipo chini na wakati Unguja ni mjini kama ilivyo Morogoro?
Simfahamu huyo "kalema". Sisi kijijini kwetu tumepata umeme wa tanesco mwaka huu.

Ahsante mama, ahsante January.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…