Empty kabisa, Ina maana mawaziri wengine waulizwe maswali Ila yeye asiulizwe?Jamaa anajifanya Mwerevu sana, lkn kwann anadhani Watanzania ni wajinga? Hata wasione elements ndogo ndogo za kushindwa kwake?
Alivyomjanja wakutojielewa, anamchomekeamo "SAMIA" ili ajikinge kwamba Mama samia aliyemchagua aliona anafaa. Kwamba uwepo wa Samia, utafanya aendele kuwepo.
Shame!
Kama upo kwenye payroll yake hongera, Ila Kama unajitolea pole sana.Mama ad 2030 na makamba ad 2028 kaeni kwa kutulia na chuki zenu binafsi
Yan mnataka watu wote wafanye kaz kwa mazoea km msukule wenu
Hii nchi itakua ngumu sana km mkitaka kla Raisi awe Magufuri jiwe
Raisi ww ni Jaji, ni polisi ww ni mwanasheria, Mungu mtu , ww ni tume ya uchaguzi, muhasibu , injinia
Acheni watu wafanye kaz siasa ni 2030 baada ya Mama kutoka
Aachane na uwaziri kama uwaziri huo unambana kiasi cha kukosa amani ya kufanya kazi. Mbona wengine walipoona uwaziri mkuu ndiyo shida waliamua kuuacha?Waziri Makamba umeonyesha kiwango kidogo cha ukomavu, kwa kusema wabunge wanakubana kwa sababu ya uwaziri wako
Kama anaona uwaziri ni tatizo kwanini asiachie ngazi? uwezo mdogo sn ameonyesha anabebwa na udini pekeeWaziri Makamba umeonyesha kiwango kidogo cha ukomavu, kwa kusema wabunge wanakubana kwa sababu ya uwaziri wako.
Hii ni kauli inayopaswa kutolewa na mtu ambae sio msomi, hakuna wabunge wenye shida na uwaziri wako bali wanachofanya ni wajibu wao kwa maana wanawakilisha wananchi.
Mkuu mm sio sukuma, Ila hayo maswali yamekua yakiulizwa kwa wizara zote. Mbona aweso akibanwa kuhusu maji hasingizii tatizo ni uwaziri wake?Sukuma Gang hamjafurahishwa kabisa na uteuzi wa Makamba! Na ndiyo maana sishangai kuona kiongozi wa hayo mashambulizi ni mzee wa majungu! Joseph Kasheku Msukuma!
Mlitamani Kalemani awe Waziri wa maisha sijui! Makamba Jr ana haki ya kujitetea.
Yaani walimtoa Kareman wizara ya nishati ili kuhalalisha wizzi wao mkubwa ndani ya hiyo wizara, kule kwingine nako wakamtoa lukuvi na kumsimika jizi lililo kubuhu. Shame on you SSH na majizi menzakao!
ila degree / kiwango cha ujizi kinatofautiana ingawa wote ni ujizi tuu, atakacho kwiba rizi-1 si sawa hata kidogo alicho kwiba lukuvi, anacho kwiba makamba si sawa na alicho kwiba kaleman kwa ujumla wote, kuna kijizi kingine kinakuibia angalau kina kuachia hata udaga na maharage ya kuanzia maisha asubuhi, kuna lijizi linguine lina komba kila kitu kwa 'kokoro' yaani halikuachii hata chumvi...CCM wote ni wezi tu! Hata huyo Kalemani na Lukuvi siyo Malaika. Kamwe huwezi kuwa ndani ya ccm halafu ukawa msafi.