Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Waziri anasema eti bei ya mafuta imepanda kwenye soko la Dunia kwakua kuna tension ya vita kule Russia na Russia ni mmoja ya nchi inayouza mafuta kwa wingi.
Toka lini sisi tunanunua mafuta toka Urusi??
Na je hiyo tension ya vita imeathiri vipi production ya oil duniani??
Angezungumzia vita Iraq, Saudi Arabia na nchi nyingine za kiarabu ambazo ni major producers wa oil ningemuelewa ila sio kutudanganya na Urusi.
Toka lini sisi tunanunua mafuta toka Urusi??
Na je hiyo tension ya vita imeathiri vipi production ya oil duniani??
Angezungumzia vita Iraq, Saudi Arabia na nchi nyingine za kiarabu ambazo ni major producers wa oil ningemuelewa ila sio kutudanganya na Urusi.