Waziri Makamba una majibu mepesi, Mawaziri wote hubanwa kwenye utendaji. Jibu maswali ya Kamati ya Nishati

[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kumbe humu jf kuna vichaa!

Basi tumwambie makamba hata bungeni pale asikifike kabisa kujibu maswali ajikalie tu nyumbani maana hilo halimhusu kabisa.

Kumbe tz ni masikini sababu ya upumbavu wetu bhana!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Tanesco ipo chini ya wizara ya nishati, waziri wa nishati ni makamba. Unataka watu maswali wakaulize wapi?

Kwa Makamba! Ila maswali yakijikita kwenye eneo husika, yanaleta tija! Na ikitokea Mbinge akaamua kumu attack mtu kama mtu, badala ya Wizara husika, nadhani huyo mtu ana haki ya kujitetea.
 
Tatizo kubaki sio sababu ya kumuacha waziri ikiwa unaona mambo hayaendi.
Kuhusu CCM ni sawa kabisa na na kuunga mkono haipaswi kuendelea
 
The guy is simply incompetent to lead such a sensitive Ministry.
 
Kiutendaji mwezi wa kwanza wa malope ni mwepesi sana. Yaani anakimbilia kulialia eti sababu ni uwaziri, huo ni utoto. Sikutegemea mtu aliyekuwa anataka kuwa Kiongozi mkubwa wa kitaifa kupwaya namna hii. Unajua self-awareness ni kitu muhimu sana kwa Kiongozi anayekulia uongozi. Kama atakaa chini na kujua ni wapi anapaswa kurekebisha anaweza kuwa Kiongozi mzuri tu. Mwezi wa kwanza ebu jaribu kukaa chini uji- assess usiwe kama akina makonda. Magod-father wana limit zao pia, ipo siku watafikia kikomo.
 
Kwa Makamba! Ila maswali yakijikita kwenye eneo husika, yanaleta tija! Na ukiamua kumu attack mtu kama mtu, badala ya Wizara husika, huyo mtu ana haki ya kujitetea.
Kwa nini hili suala ni makamba tu? Swali langu mbona kwa aweso hatuoni haya unayosema?
Ni mbunge gani kamu attack makamba?
Makamba kaulizwa sababu za umeme kukatikatika, ni Kama anavyoulizwa aweso sababu za ukosefu wa maji. Hata waziri wa elimu amekumbana na maswali magumu ya kwa nini Watoto wanafeli sana.
Kwa nini ikiwa kwa makamba unaona Kama anashambuliwa na sio aweso au waziri wa afya au waziri wa elimu?
 
Anaulizwa swali kwanini visingizio vya umeme kukatika ni vingi na havina mashiko, anakimbilia kulia hati hawataki hawe waziri, na anamwingiza na Rais ati hawataki Samia hawe Rais.

Sijawahi kuona waziri mwenye uelewa mfupi kama Makamba Junior. Huyu anabebwa tu hakuna lolote wala chochote.
Akiulizwa umeme Tanzania yeye anaanzaa "oooh...duniani kote kuna hiki na hiki"
Anajifanya ana logic kumbe ni empty headed...zero brain"

Mawaziri wote uulizwa maswali, yeye ni nani asiye taka kuulizwa. Abadili kanuni na sheria za Bunge, ili asiulizwe.
Ati anajisifia, tuna bodi imara na uongozi mzuri wa Tanesco....! Rubish!
Weye bebwa tu na mama yetu, lkn akishindwa atakutua.
 
Unasema ni mmoja ya mawaziri wanaopigwa vita, Sasa Kama umeme umekua shida na yeye hilo amekiri kwa nini asipigwe vita?
Kikwete kapigwa sana vita humu, Magufuli humu nae kapigwa vita sana na ilikuwa sawa kabisa kumpiga vita na sasa mama Samia anapigwa Sana vita humu na ni sawa tu. Kwa nini makamba kupigwa vita iwe issue kwako?
 
Hii kauli aliyo wahi kuiongea imemuweka uchi na kuonyesha ukilaza wake "zamani umeme ulikuwa haukatiki sababu walikuwa hawafanyi schedule maintenance...." na wenzake wanambana kwa kauli yake mwenyewe,ajibu hoja aache kulialia.
 
Nchi za European hazi Uzi mafuta na Russian wanauza gas kwa kupitia mabomba kwa baadhi ya nchi za European
Hilo anapaswa afahamu Makamba na sio mimi.

Maana yeye ndio kasema bei ya Mafuta imepanda kisa tension ya vita huko Russia.
 

Ni Homeboy✍️ ☹️
 
Haya ndio madhara ya vyeo vya kupewa kwa kupendelea na kujuana😕

Yani nimemsikiliza bungeni nikasikitika sana ni kama anajibu mahasidi wake na sio kujibu kwa kutatua changamoto mbaya ya umeme inayoendelea nchini😕
 
Sasa waziri akianza kulialia nani atajibu maswali ya wananzengo, kama vipi aturudishie huo uwaziri ili asiendelee kuulizwa maswala. Kuna ule msemo 'ukikubali kuolewa...........'
 
Swila na Kibatala
 
Malop ni bonge la mswahili. Nchi Iko na waswahili full mipasho na kulialia.
 
Sukuma Gang hamjafurahishwa kabisa na uteuzi wa Makamba! Na ndiyo maana sishangai kuona kiongozi wa hayo mashambulizi ni mzee wa majungu! Joseph Kasheku Msukuma!

Mlitamani Kalemani awe Waziri wa maisha sijui! Makamba Jr ana haki ya kujitetea.
2-2= .
 
Siku mkikubali uwaziri utokane na merit za mtu na sio favour basi tutafika mbali.

Kama Makamba angekuwepo hapo kwa merit basi angwajibika pasina shaka.

Ila kwakua ni uteuzi wa bila sababu yoyote ya msingi basi tutarajie pia business as usual.

Makamba atakua mtiifu kwa aliyemteua na sio kwa wananchi ndio maana anamtaja sana aliyemleta hapo.

Hapo hofu yake iko kwenye kupoteza cheo tu na sio kutumikia wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…