Waziri Masauni aagiza uchunguzi maiti zilizookotwa kwenye viroba

Waziri Masauni aagiza uchunguzi maiti zilizookotwa kwenye viroba

Huwa tunaambiwa ni Waethopia,labda tunaanza kuandaliwa.
 
Zimetokea marekani.

Hayo ni matunda ya royo tuwa.
 
haya tusubiri waliopotelewa ndugu zao wataibuka kama ni wahapa tz tutajua na kama ni wa nje tutajua pia
 
[emoji16][emoji16][emoji16] imesemekana kuwa Ni wachinbaji wa madini ila swala la kusema kuwa Ni watu wa jirani ya Kenya hapana kwa kuwamkoa huo imepakana. Pia na mikoa mingi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mjinga sana huyu,yaani maiti zitoke nchi jirani kweli,lengo ni kujitetea kuwa kwenye mkoa wake hakuna mauaji,kuna viongozi ni vilaza na huyu yumo
Nchi hii kuna watu wa kunyonga tu kwa kauli za hovyo.
Ndivyo Mwigulu alivyosemaga kuwa maiti ni za wahamiaji haramu
 
Hapa kuna Yoga, na kule kuna Tumia Akili, zote zipo "concomitant"
 
Kazi kweli kweli...

Ndio umuhimu wa kuwa na database ya DNA unapokuja...
 
Mkuu wa mkoa wa Tanga Mgumba amesema maiti zilizokutwa zimetupwa wilayani Kilindi yawezekana zimetoka nchi Jirani na siyo Tanga

Mgumba amesema maiti hizo zilifungwa kwa ustadi mkubwa kwenye viroba vya kilo 50 hali inayoonyesha wauwaji ni wazoefu wa matukio
hayo

Watu wote wa Kilindi wameshindwa kuzitambua maiti hizo

Naye waziri wa mambo ya Ndani mh Masauni amesema wahalifu hai wanatafutwa na jeshi la Polisi kwa nguvu zote

Source ITV habari
Hadi tuone ndugu wa marehemu wakijitambulisha kwa kutumia ID zao wakitokea nje ya nchi ndio naweza kuamini na siyo kwa kudhania tu.
 
Mjinga sana huyu,yaani maiti zitoke nchi jirani kweli,lengo ni kujitetea kuwa kwenye mkoa wake hakuna mauaji,kuna viongozi ni vilaza na huyu yumo

Soma habari yote uelewe. Maiti hazijatambuliwa inamaana hawakuwa wakazi wa maeneo hayo, ni kitu rahisi sana kuelewa
 
Mkuu wa mkoa wa Tanga Mgumba amesema maiti zilizokutwa zimetupwa wilayani Kilindi yawezekana zimetoka nchi Jirani na siyo Tanga

Mgumba amesema maiti hizo zilifungwa kwa ustadi mkubwa kwenye viroba vya kilo 50 hali inayoonyesha wauwaji ni wazoefu wa matukio
hayo

Watu wote wa Kilindi wameshindwa kuzitambua maiti hizo

Naye waziri wa mambo ya Ndani mh Masauni amesema wahalifu hai wanatafutwa na jeshi la Polisi kwa nguvu zote

Source ITV habari
Nchi ipi ya jirani aitaje fala huyo? Lazima ni wasiojulikana masalia ya mwendachato tu! Akitengeneza mashetani kama yeye wengi sana sana! Asante Mungu kwa kutuondolea shetani aliyejivika ngozi ya binadamu! Japo Bahari haijatulia hata kidogo![emoji91]

Sent from my V5+ using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom