Waziri Masauni aagiza uchunguzi maiti zilizookotwa kwenye viroba

"Maiti zilizookotwa wilaya ya Kilindi-Tanga zinawezekana zimetoka nchi jirani..." Mkuu wa Mkoa wa Mgumba Tanga. Nchi jirani wanawezaje kuingia Tanzania kirahisi hivi bila kubainika? Kwa hiyo usalama wa nchi uko hatarini kiasi ambacho mgeni yeyote anaweza kuinga Tanzania na kufanya chochote bila kujulikana kisha akaondoka sijui kwa kupitia wapi? JW, je mipaka ya Jamhuri ya Tanzania iko salama au kuna ugaidi kwenye ukanda wa kasikazini mwa nchi? Waziri wa mabo ya ndani wa Tanzania uko wapi kulitolea ufafanuzi hili kwa ushahidi usio na shaka kuliko kutuhumu nchi jirani kuingia bila kibali kisha kuondoka bila kujulikana? Rais wa Tanzania na serikali yake mko peupe na hatarini kama hali ndio hiyo iliyoelezewa na mkuu wa mkoa wa Tanga......Aibu sana hii kama ilivyonukuliwa kutoka ITV Habari.
 
Ishu ya vifo mtu anaongea bila kufanya uchunguzi wa kina ndio atoe majibu kwa kuwa sio ndugu zake ila kwa kila baya tunalotenda lina karma yake wacha waendelee na maigizo tu..
 
"YAWEZEKANA" the dude is called RC aka the head of the Region.
Hata sisi tunasema inawezekana zimetoka pale Bermuda, sasa jukumu lake kama RC mkuu wa ulinzi na usalama kwa kutumia resources zake ahakikishe anaclear neno "YAWEZEKANA" na kuleta jibu sahihi.

Wapo hapo Forensic experts, take the bodies do what needed to be done, display the faces of all the dudez publically for recognition but should be in various looks.

The team may also advice the importnat of DNA registration to the system for all wananchi, this could be very easy to testify by sampling among wananchi.

They will say, "WE NEED KATIBA MPYA" without smart people onland and civilized society.

these people need mikwaju to activate their brains and set them to be proactive.
 
Haya ndio madhara ya kugawa ofisi kwa watu wenye elimu bila exposure, yeye toka amezaliwa anasomasoma tu darasani matokeo amekuwa na Robot.

Kabla ya kuwapa hawa watu vyeo waachwe kwanza mtaani huku sekta binafsi waogelee wakae kwenye nafasi za maamuzi na kuwa sehemu za maamuzi au watoa maamuzi yaliyoleta positive impact sehemu.

Unampa tu URC huku hajawahi hata kufanya maamuzi mahala yakaleta faida na watu wakanufaika.
 
Kwani huko Kuna mto unaotiririka toka Kenya kwenye hili kiangazi unaopitia kilindi mkuu wa mkoa? Tujibu hili swali

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Hawakosoi kwa sababu wameshalipwa stahiki zao.
We hushangai Mwenyekiti wa Saccos amekamatwa na huu utawala lkn anasingiziwa JPM.
 
Je, Ripoti ya Uchunguzi kuhusu suala hili tayari imetoka na kuwekwa wazi kwa umma???
Nini hasa kilijiri ????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…