Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu

Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Watanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.

Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae kimya tusiongelee mkataba dhalimu wa DP WORLD.

Mara anasema viongozi wa dini wasiuongelee huu mkataba dhalimu, kwani viongozi wa dini sio Watanganyika? Kwani wao hawana uchungu na rasilimali tulizo rithishwa na vizazi vyetu vilivyotangulia?

Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Uchangiaji huu yawezekana Ulinyweshwa gongo ulipokuwa kitoto kichanga. Nakushauri ukapate matibabu.
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Hatukatai, lakini sisi kama Taifa tunapata nini?
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.

huijuwi[emoji777][emoji777][emoji777]
Hujui[emoji736][emoji736][emoji736]


Kweli wewe ni Jinga linalokurupuka na mihemko mpaka kuandika ni shida kidogo kwako.

Hovyooo
 
Yeye ni kiongozi wa Tanzania. Labda wewe siyo Mtanzania
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Siku hizi umèishiwa kabisa content. Uchawa una gharama kubwa sana aisee
 
Uchangiaji huu yawezekana Ulinyweshwa gongo ulipokuwa kitoto kichanga. Nakushauri ukapate matibabu.
Wawekezaji Wiaarabu washachukuwa eka 1000 pembeni ya SGR Kwala huko.

Kinachofatia huko ni kupima na kuwalipa waliopo ndani ya eneo wasepe.

Wanalipa mara 10 zaidi ya waliolipwa na serikali ilipopita SGR.

Cha kwanza wameuliza kama serikali inaweza kuwapa kibali cha kuvuta maji kutokea mto ruvu ili waanze ujenzi wa msikiti kabla ya chochote.

Faida zinaanz akuonekana kabla hata DP World hawajaanza kazi.

Hapo watu wameshapata pesa za maana, wengine watapata kazi, msikiti utajengwa, kazi hizo kwa mafundi, kazi kwa maimamu, kazi kwa waadhini, kazi kwa watunza usafi, watu wanapata sehemu ya kwenda kuabudu. Wakipewa kibali cha kuvuta maji, kazi zingine hizo na maji kwa wote litapopita bomba.

Ni faida juu ya faida juu ya faida.

Hizo ndiyo "bashraf za DP World, nyimbo kamili hazijaanza bado.
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Uchawa ni shida...
Mawakala wa DP WORLD wamekununua kwa kiasi gani mummy?!
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Waafrika mna laana watumwa ninyi una roho ya utwana
 
Udini hupofusha macho, kaambiwa mtu bora ni Mwarabu, na lugha ya peponi ni Kiarabu, basi imekuwa shida. Yupo tayari hata kutukana asili yake ili atukuze Waarabu
Huyu faiza foxiy sio udini ila niroho ya unyani inamsumbua na imemkaa haswa yaani anajiona yeye mweusi ni sokwe na mwarabu ndio mtu si aende huko uarabuni
 
Watanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.

Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae kimya tusiongelee mkataba dhalimu wa DP WORLD.

Mara anasema viongozi wa dini wasiuongelee huu mkataba dhalimu, kwani viongozi wa dini sio Watanganyika? Kwani wao hawana uchungu na rasilimali tulizo rithishwa na vizazi vyetu vilivyotangulia?

Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo
Nashangaa sana Mzanzibar habari za Tanganyika zinamuhusu nini? hana hata uchungu, au katumwa na dalali mkuu?
 
Wawekezaji Wiaarabu washachukuwa eka 1000 pembeni ya SGR Kwala huko.

Kinachofatia huko ni kupima na kuwalipa waliopo ndani ya eneo wasepe.

Wanalipa mara 10 zaidi ya waliolipwa na serikali ilipopita SGR.

Cha kwanza wameuliza kama serikali inaweza kuwapa kibali cha kuvuta maji kutokea mto ruvu ili waanze ujenzi wa msikiti kabla ya chochote.

Faida zinaanz akuonekana kabla hata DP World hawajaanza kazi.

Hapo watu wameshapata pesa za maana, wengine watapata kazi, msikiti utajengwa, kazi hizo kwa mafundi, kazi kwa maimamu, kazi kwa waadhini, kazi kwa watunza usafi, watu wanapata sehemu ya kwenda kuabudu. Wakipewa kibali cha kuvuta maji, kazi zingine hizo na maji kwa wote litapopita bomba.

Ni faida juu ya faida juu ya faida.

Hizo ndiyo "bashraf za DP World, nyimbo kamili hazijaanza bado.
Makanisa watajenga?
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Nina wasiwasi kama kweli wewe ni Mtanganyika. Na kama wewe siyo Mtanganyika, wewe ni adui wa Watanganyika. Usifanye mzaha kwenye jambo gumu hili. TUNAMAANISHA.
 
Back
Top Bottom