Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu

Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu

Wawekezaji Wiaarabu washachukuwa eka 1000 pembeni ya SGR Kwala huko.

Kinachofatia huko ni kupima na kuwalipa waliopo ndani ya eneo wasepe.

Wanalipa mara 10 zaidi ya waliolipwa na serikali ilipopita SGR.

Cha kwanza wameuliza kama serikali inaweza kuwapa kibali cha kuvuta maji kutokea mto ruvu ili waanze ujenzi wa msikiti kabla ya chochote.

Faida zinaanz akuonekana kabla hata DP World hawajaanza kazi.

Hapo watu wameshapata pesa za maana, wengine watapata kazi, msikiti utajengwa, kazi hizo kwa mafundi, kazi kwa maimamu, kazi kwa waadhini, kazi kwa watunza usafi, watu wanapata sehemu ya kwenda kuabudu. Wakipewa kibali cha kuvuta maji, kazi zingine hizo na maji kwa wote litapopita bomba.

Ni faida juu ya faida juu ya faida.

Hizo ndiyo "bashraf za DP World, nyimbo kamili hazijaanza bado.

Upo katika siku zako za mwisho za uhai wako.
 
Watanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.

Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae kimya tusiongelee mkataba dhalimu wa DP WORLD.

Mara anasema viongozi wa dini wasiuongelee huu mkataba dhalimu, kwani viongozi wa dini sio Watanganyika? Kwani wao hawana uchungu na rasilimali tulizo rithishwa na vizazi vyetu vilivyotangulia?

Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo
Waziri Kamatia Hawa wachochezi wakalie vizuri wakiwa lupango
 
Watanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.

Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae kimya tusiongelee mkataba dhalimu wa DP WORLD.

Mara anasema viongozi wa dini wasiuongelee huu mkataba dhalimu, kwani viongozi wa dini sio Watanganyika? Kwani wao hawana uchungu na rasilimali tulizo rithishwa na vizazi vyetu vilivyotangulia?

Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo
Ujumbe umfikie
 
Udini hupofusha macho, kaambiwa mtu bora ni Mwarabu, na lugha ya peponi ni Kiarabu, basi imekuwa shida. Yupo tayari hata kutukana asili yake ili atukuze Waarabu
Acha kua mjinga uliyepitiliza,nani kakuambia kua Uarabu ndio uislamu? hivi unafikiri waarabu wote ni waislamu? na hiyo comment uliyoiquote ni wapi imeongelea udini? hii inathibitisha kua kumbe wewe unalalama hapa kisa udini,

Sio kila mwarabu ni muislamu,wapo waarabu ambao ni wakristo,Lebanon,Misri,Syria,Iraq....huko kote wakristo wamejaa,tumia simu yako kujifundisha mambo kuliko kujifanya unajua kumbe ni empty set,

Kumiliki hako kasmart phone na ukaweza kuingia JF basi ndio unajiongopea kua unajua kila kitu? hapo basi akili yako inakuongopea na kujiona wewe ni bonge la mchambuzi umeshusha thd JF!
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Ushapigwa kweny mshono 🤣🤣🤣 kilichobaki ni kutoa milio!!
 
Watanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.

Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae kimya tusiongelee mkataba dhalimu wa DP WORLD.

Mara anasema viongozi wa dini wasiuongelee huu mkataba dhalimu, kwani viongozi wa dini sio Watanganyika? Kwani wao hawana uchungu na rasilimali tulizo rithishwa na vizazi vyetu vilivyotangulia?

Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo
Arudi kwao Zanzibar akawatishe wazanzibar wenzake
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Another mzanzibari 😡
 
Wawekezaji Wiaarabu washachukuwa eka 1000 pembeni ya SGR Kwala huko.

Kinachofatia huko ni kupima na kuwalipa waliopo ndani ya eneo wasepe.

Wanalipa mara 10 zaidi ya waliolipwa na serikali ilipopita SGR.

Cha kwanza wameuliza kama serikali inaweza kuwapa kibali cha kuvuta maji kutokea mto ruvu ili waanze ujenzi wa msikiti kabla ya chochote.

Faida zinaanz akuonekana kabla hata DP World hawajaanza kazi.

Hapo watu wameshapata pesa za maana, wengine watapata kazi, msikiti utajengwa, kazi hizo kwa mafundi, kazi kwa maimamu, kazi kwa waadhini, kazi kwa watunza usafi, watu wanapata sehemu ya kwenda kuabudu. Wakipewa kibali cha kuvuta maji, kazi zingine hizo na maji kwa wote litapopita bomba.

Ni faida juu ya faida juu ya faida.

Hizo ndiyo "bashraf za DP World, nyimbo kamili hazijaanza bado.
Ndiyo maana ya kelele nyingi kumbe Kujenga Misikiti mingi ndiyo maendeleo unayapigania kila siku?
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Vipi ukipewa Kitimoto utakula?
 
Back
Top Bottom