Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu

Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu

Wawekezaji Wiaarabu washachukuwa eka 1000 pembeni ya SGR Kwala huko.

Kinachofatia huko ni kupima na kuwalipa waliopo ndani ya eneo wasepe.

Wanalipa mara 10 zaidi ya waliolipwa na serikali ilipopita SGR.

Cha kwanza wameuliza kama serikali inaweza kuwapa kibali cha kuvuta maji kutokea mto ruvu ili waanze ujenzi wa msikiti kabla ya chochote.

Faida zinaanz akuonekana kabla hata DP World hawajaanza kazi.

Hapo watu wameshapata pesa za maana, wengine watapata kazi, msikiti utajengwa, kazi hizo kwa mafundi, kazi kwa maimamu, kazi kwa waadhini, kazi kwa watunza usafi, watu wanapata sehemu ya kwenda kuabudu. Wakipewa kibali cha kuvuta maji, kazi zingine hizo na maji kwa wote litapopita bomba.

Ni faida juu ya faida juu ya faida.

Hizo ndiyo "bashraf za DP World, nyimbo kamili hazijaanza bado.
Faida kuu ni kuvaa kanzu na kubong'oka ?
 
Faida kuu ni kuvaa kanzu na kubong'oka ?

Yohane 19:23-37 BHN​

Askari walipokwisha msulubisha Yesu, walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila askari. Walichukua pia na kanzu yake; kanzu hiyo ilikuwa imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila mshono.

8 Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
 

Yohane 19:23-37 BHN​

Askari walipokwisha msulubisha Yesu, walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila askari. Walichukua pia na kanzu yake; kanzu hiyo ilikuwa imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila mshono.

8 Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
DP WORLD wanakuja kumsulubisha Yesu kwa mara ya pili huko kwala ili wajenge msikiti vizuri?
 
Ikiwa hata maana ya maliasili huijuwi, utaendelea kuweweseka sana kuwa unadhulumiwa.

Leo kuna Waarabu wa Dubai wamekwenda kwala kuona kama kuna maeneo makubwa wajenge kiwanda kikubwa cha makontena mapya.

Wamesema wanataka eneo lililo karibu kabisa na inapopita SGR.

Waarabu hawataki tabu, wanataka kuitumia fursa kupiga pesa.
Kama mkataba huu wa Kimangungo una faida, kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo? Halafu Ibara 4 (2) inasema iwapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari, inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Je, tuombe idhini Dubai kwa Mali zetu? Ni kichaa peke yake anayeweza kuushabikia mkataba huu to
 
Kama mkataba huu wa Kimangungo una faida, kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo? Halafu Ibara 4 (2) inasema iwapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari, inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Je, tuombe idhini Dubai kwa Mali zetu? Ni kichaa peke yake anayeweza kuushabikia mkataba huu to
Mkataba upi unaouongelea? IGA au?

IGA si imesainiwa na serikali ya Muungano wa Tanzania? au ilisainiwa na serikali ipi?
Utakuwaje na Tanzania bila Zanzibar?
 
Nchi imeyimba kwa kukosa watu sahihi kushika uongozi
Aaah manidanya akili mwenu tu.


Sikioni cha maana hata kimoja, mama anawaweza kweli kweli, nyie wqakati mnapiga kelele za kijinga mitandaoni, mama yupo Kenya, mara yupo malawi, mara yupo Dubai, anachapa kazi tu.

Hivi kwa ujinga wenu kuna kuyumba kupi?

Serikli ya mama siyo ya kukurupuka, na kishasema semeni yeye anachapa kazi tu.
 
Aaah manidanya akili mwenu tu.


Sikioni cha maana hata kimoja, mama anawaweza kweli kweli, nyie wqakati mnapiga kelele za kijinga mitandaoni, mama yupo Kenya, mara yupo malawi, mara yupo Dubai, anachapa kazi tu.

Hivi kwa ujinga wenu kuna kuyumba kupi?

Serikli ya mama siyo ya kukurupuka, na kishasema semeni yeye anachapa kazi tu.
Serikli = Serikali.
 
Aaah manidanya akili mwenu tu.


Sikioni cha maana hata kimoja, mama anawaweza kweli kweli, nyie wqakati mnapiga kelele za kijinga mitandaoni, mama yupo Kenya, mara yupo malawi, mara yupo Dubai, anachapa kazi tu.

Hivi kwa ujinga wenu kuna kuyumba kupi?

Serikli ya mama siyo ya kukurupuka, na kishasema semeni yeye anachapa kazi tu.
Sasa huyo ni kiongozi au ni mzururaji?
 
Sasa huyo ni kiongozi au ni mzururaji?
Ulifikiri ni nini maana ya dunia ni kijiji?


Mlipokosa hoja kwa Kikwete mliyasema hayohayo. Kiongozi ambae hakuwa mzururaji si mnaona alivyotutia mkenge? Sasa tunalipa madeni ya bure, watu wanakula pesa bila kuzifanyia kazi, mpaka tujambe.
 
Ulifikiri ni nini maana ya dunia ni kijiji?


Mlipokosa hoja kwa Kikwete mliyasema hayohayo. Kiongozi ambae hakuwa mzururaji si mnaona alivyotutia mkenge? Sasa tunalipa madeni ya bure, watu wanakula pesa bila kuzifanyia kazi, mpaka tujambe.
Matatizo makubwa ya nçhi hii ni CCM na katiba ya mwKa 1977
 
Watanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.

Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae kimya tusiongelee mkataba dhalimu wa DP WORLD.

Mara anasema viongozi wa dini wasiuongelee huu mkataba dhalimu, kwani viongozi wa dini sio Watanganyika? Kwani wao hawana uchungu na rasilimali tulizo rithishwa na vizazi vyetu vilivyotangulia?

Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo
ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanganyika tumedhulumiwa ardhi yetu, tumedhulumiwa maji yetu ya maziwani na ya baharini, ndugu zetu tulio waamini sana, tukawakaribisha chumbani leo wamempa Mwarabu kwa vipande vichache tu vya fedha.

Leo Watanganyika tunalia machozi ya damu, Mzanzibari mmoja anatuzuia tusilie. Mara tukae kimya tusiongelee mkataba dhalimu wa DP WORLD.

Mara anasema viongozi wa dini wasiuongelee huu mkataba dhalimu, kwani viongozi wa dini sio Watanganyika? Kwani wao hawana uchungu na rasilimali tulizo rithishwa na vizazi vyetu vilivyotangulia?

Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo
Masauni nakuasa tu, jifunźe kuomboleza na wanaoomboleza. Sio katikati ya majonzi ulete maneno yako ya shombo[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matatizo makubwa ya nçhi hii ni CCM na katiba ya mwKa 1977
Bujibuji wew emtu wa zamani sana kwenye siasa zetu za JF, hakuna tatizo CCM wala kwenye katiba. Tatizo ni ujinga wa Mtanzania.

Hivi miaka yote ya upinzani Tanzania hii tumeshindwa kuwa hata na majority au coalition ya wabunge bungeni ili kuiweka katiba sawa kule kule zinakutungw sheria? Fikiri. Upinzani umeshindwa hata ku lob wabunge wengine wa CCM wawe wanapigia wanayoyaona wao kuwa ndiyo haki?


Kuna mengi sana ya kusikitisha kwenye Ujinga wetu wa kutafuta visingizio visivyokuwepo. Tunashindwa hata na Kenya?


Mimi nakwambiya, ujinga ndiyo uliotujaa, hakuna mpinzani mwenye nia ya dhati kutaka mabadiliko, wapinzani wanachotaka ni kutunisha matumbo yao tu, wanatumia ujinga wa Watanzania kufanikisha nia zao.
 
Back
Top Bottom