Waziri Masauni, kaa kimya Watanganyika tunapolia juu ya urithi wa rasimali zetu

Sasa huyo ni kiongozi au ni mzururaji?
"ballot box" si sipo? Fta sheria umchaguwe kiongozi umtakae. Au nd)enda mahakamamni kaipinge katiba iliyomweka mama Samia kuwa kiongozi.

Sisi tunamuona anachapa kjazi sana tena sana.


Mkataba wa kuendesha bandari vipi, umeshatangazwa na waziri wetu mpya wa uwekezaji?
 
Hivi kwetu kuna uchaguzi huru na haki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…