Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye na usaili

Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye na usaili

Kukalili-kukariri
Umemuelewa lakini Prof amepropose Nini au umekurupuka na ukute na wewé ni graduate kabisaaa! Safari bado ni ndefu
Nadhani hapa wewe ndiye mkurupukaji unaye jifanya TAKILUKI na ninadhani hata wewe ni jamii ya kinamkenda wanao jiona wao wana akili sana, acha ushamba ungetulia kwanza ili ujiridhishe hoja yangu hapo hapo juu nime mquote nani ?
 
Katika mambo yanayoishusha elimu yetu ni hili suala la gpa.

1. Mtu anaishi Morogoro amesoma mzumbe sekondari Morogoro kakariri past paper kapata dv 1.

2. Ameenda Chuo Mzumbe morogoro kakariri wee kapata gpa ya juu. Anachukua na master kabisa ila hana exposure yoyote. Ulimwengu wake umejaa vitini, pastpapers na madesa.

Unampa ualimu afundishe, hana exposure, hana experience, anaijua morogoro tu. Matokeo yake anachokifanya ni kuambukiza wanafunzi kukariri kama alivyofanya yeye.

Kutunga mitihani migumu na kuwa na fixed marking scheme anayotumia kusahihisha, mwanafunzi akijiongeza kidogo nje ya marking scheme anapata sifuri. Mitoto ikija kazini watu wanaanza upya kuelekeza hata vitu vidogo vidogo.

Hivi haiwezekani vyuo vikatoa pesa nzuri kisha zikawa zinaenda kwenye mashirika makubwa na kuchukua wataalam waje kufundisha vijana wetu? Hawa malectures wawafundishe mwaka wa kwanza tu kwenye theory.
 
Siku hizi binti akiwa pisi kali anaruka na lecturers tu analamba GPA kali, kijana akiwa yupo kwenye circle ya huyo binti (wanafanya discussion pamoja ya mapepa anayovujishiwa) nae anakula GPA kali...
Nimechekaaa had machoziiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaongezea kuwa
Kuna vyuo vinatoa GPA ili hela ziendelee kwenda chuoni
Hii ipo wazi kabisa. Kuna wakati chuo flani cha afya walikua wanakaza sana wanatandaza makarai kibao, darasa zima unakuta kipanga anaondoka na GPA ya 3.0.

Kuja kutahamaki, wanaokwenda kusoma post-graduates pale pale wengi wanakua wametokea vyuo vingine kwasababu ya vigezo vya GPA na ufaulu wa somo husika, huku uwezo wao ukiwa chini ya hata wale waliokua wanawaona vilaza pale undergraduate wakiwa wamelimwa GPA za chini.

Sasa unakuta chuo kinasifika kufaulisha na kutoa GPA nzuri ambayo kwa huko mbele inamsaidia mwanafunzi atimize malengo yake ya kujiendeleza kitaaluma, kwann mzazi asipambane mtoto akasome hapo!
 
Kuanzia sasa Serikali itaanza kuzitazama ajira za vyuo vikuu badala ya kuangalia ubora wa ufaulu yaani GPA pekee sasa waajiriwe kwa kupimwa uwezo wao kwa kufanya usaili.

Kuangalia ufaulu pekee wa wanafunzi haitoshi kuboresha elimu badala yake ni muhimu kuongeza vigezo hivyo katika mapitio ya sera na mabadili ya mitaala jambo hilo litatazamwa kwa weledi mkubwa.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof ADOLF MKENDA ameyasema hayo leo tarehe 12 Disemba 2022 mbele ya mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt PHILIP MPANGO wakati wa mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania iliyofanyika Kinondoni Jijini Dar es salam.

Amesema wakati serikali inaongeza udahili wa wanafunzi haitakuwa tayari kuona ubora unapungua hivyo serikali inaendelea na mkakati wake wa kuhakikisha ubora wa elimu hususani katika vyuo vikuu unaimarika.

"Zamani ilikuwa rahisi kuwa Profesa ukiandika tu kwenye magazeti unakuwa Profesa lakini kwa sasa vigezo vya kuwa Profesa vimezidi kuwa vigumu kwa sababu tunataka maprofesa wetu wawe sawa na wale wa nchi zingine" Amekaririwa Prof Mkenda

Amesema katika mageuzi ya elimu yanayokuja ambapo wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ipo katika mapitio ya sera na mitaala miongoni mwa mambo yatakayofanyiwa kazi itakuwa ni pamoja na kuhakikisha wanaoajiriwa ni wanafunzi wenye sifa zinazotakiwa.

Pia, Waziri Mkenda amesema kuwa serikali kwa sasa inaendelea na Ujenzi wa Kampasi mpya za Vyuo Vikuu katika mikoa 14 Tanzania pamoja na upande wa Zanzibar (Unguja na Pemba) katika maeneo ambayo hayana vyuo vikuu ukiacha vyuo huria.

Mikoa hiyo ambayo inatarajiwa kuwa na kampasi za vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini ni pamoja na Tabora, Katavi, Kigoma, Kagera, Singida, Manyara, Lindi, Rukwa, Mwanza, Simiyu, Tanga, Ruvuma, Shinyanga na Dodoma.
Mnataka kupeleka vilaza wakafundishe vyuo vikuu. Hii nchi imekosa dira kabisa
 
Kuanzia sasa Serikali itaanza kuzitazama ajira za vyuo vikuu badala ya kuangalia ubora wa ufaulu yaani GPA pekee sasa waajiriwe kwa kupimwa uwezo wao kwa kufanya usaili.

Kuangalia ufaulu pekee wa wanafunzi haitoshi kuboresha elimu badala yake ni muhimu kuongeza vigezo hivyo katika mapitio ya sera na mabadili ya mitaala jambo hilo litatazamwa kwa weledi mkubwa.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof ADOLF MKENDA ameyasema hayo leo tarehe 12 Disemba 2022 mbele ya mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt PHILIP MPANGO wakati wa mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania iliyofanyika Kinondoni Jijini Dar es salam.

Amesema wakati serikali inaongeza udahili wa wanafunzi haitakuwa tayari kuona ubora unapungua hivyo serikali inaendelea na mkakati wake wa kuhakikisha ubora wa elimu hususani katika vyuo vikuu unaimarika.

"Zamani ilikuwa rahisi kuwa Profesa ukiandika tu kwenye magazeti unakuwa Profesa lakini kwa sasa vigezo vya kuwa Profesa vimezidi kuwa vigumu kwa sababu tunataka maprofesa wetu wawe sawa na wale wa nchi zingine" Amekaririwa Prof Mkenda

Amesema katika mageuzi ya elimu yanayokuja ambapo wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ipo katika mapitio ya sera na mitaala miongoni mwa mambo yatakayofanyiwa kazi itakuwa ni pamoja na kuhakikisha wanaoajiriwa ni wanafunzi wenye sifa zinazotakiwa.

Pia, Waziri Mkenda amesema kuwa serikali kwa sasa inaendelea na Ujenzi wa Kampasi mpya za Vyuo Vikuu katika mikoa 14 Tanzania pamoja na upande wa Zanzibar (Unguja na Pemba) katika maeneo ambayo hayana vyuo vikuu ukiacha vyuo huria.

Mikoa hiyo ambayo inatarajiwa kuwa na kampasi za vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini ni pamoja na Tabora, Katavi, Kigoma, Kagera, Singida, Manyara, Lindi, Rukwa, Mwanza, Simiyu, Tanga, Ruvuma, Shinyanga na Dodoma.
Huyu waziri chizi sana ajira za vyuo wainaita watu wanawapitsha kwenye written, presentation ya kufundisha na Oral interview ya Jamhuri, Cha muhimu hizi ajira zisimamiwe na watu wa utumishi mwanzo mwisho ili apitikane mshindi wa haki, kuna kamchezo kana chezwa huko utumishi hawajui, Utumishi wabebe dhamana nzima ya ajira vyuoni
 
Kuanzia sasa Serikali itaanza kuzitazama ajira za vyuo vikuu badala ya kuangalia ubora wa ufaulu yaani GPA pekee sasa waajiriwe kwa kupimwa uwezo wao kwa kufanya usaili.

Kuangalia ufaulu pekee wa wanafunzi haitoshi kuboresha elimu badala yake ni muhimu kuongeza vigezo hivyo katika mapitio ya sera na mabadili ya mitaala jambo hilo litatazamwa kwa weledi mkubwa.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof ADOLF MKENDA ameyasema hayo leo tarehe 12 Disemba 2022 mbele ya mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt PHILIP MPANGO wakati wa mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania iliyofanyika Kinondoni Jijini Dar es salam.

Amesema wakati serikali inaongeza udahili wa wanafunzi haitakuwa tayari kuona ubora unapungua hivyo serikali inaendelea na mkakati wake wa kuhakikisha ubora wa elimu hususani katika vyuo vikuu unaimarika.

"Zamani ilikuwa rahisi kuwa Profesa ukiandika tu kwenye magazeti unakuwa Profesa lakini kwa sasa vigezo vya kuwa Profesa vimezidi kuwa vigumu kwa sababu tunataka maprofesa wetu wawe sawa na wale wa nchi zingine" Amekaririwa Prof Mkenda

Amesema katika mageuzi ya elimu yanayokuja ambapo wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ipo katika mapitio ya sera na mitaala miongoni mwa mambo yatakayofanyiwa kazi itakuwa ni pamoja na kuhakikisha wanaoajiriwa ni wanafunzi wenye sifa zinazotakiwa.

Pia, Waziri Mkenda amesema kuwa serikali kwa sasa inaendelea na Ujenzi wa Kampasi mpya za Vyuo Vikuu katika mikoa 14 Tanzania pamoja na upande wa Zanzibar (Unguja na Pemba) katika maeneo ambayo hayana vyuo vikuu ukiacha vyuo huria.

Mikoa hiyo ambayo inatarajiwa kuwa na kampasi za vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini ni pamoja na Tabora, Katavi, Kigoma, Kagera, Singida, Manyara, Lindi, Rukwa, Mwanza, Simiyu, Tanga, Ruvuma, Shinyanga na Dodoma.
Huyu Waziri pia ajue Warombo na Wachaga wenzake ndio wanaongoza Kwa kupendeleana ajira za vyuo vikuu, wamejazana kila mahali, Dean, principal, wakuu wa idara akiwepo mrombo tu ajira Kwa Warombo njia nyeupe peee!! Sasa hivi Vyuo vikuu viko chini ya wachaga by 60% Kwa utafiti wangu
 
elimu hii😂😂, lecture wa chuo kikuku ukisema awe amesoma shule za kata na awe tangu ameanza shule final say yake ni first class tu. huyu mtu lazima atakuwana uwezo wakielimu mkubwa ataweza fundisha wenzie, semachangamoto za vilaza hato zijua nayp haifai
 
Back
Top Bottom