HahahahahaKudhihirisha kuwa kweli nchi ina tatizo la kuporomoka kwa elimu, fuatilia mabishano humu ndani.
Hoja ya waziri ina geuzwageuzwa tu.
Ametumia neno gazeti basi watu wana kazana kamaanisha magazeti kama Uhuru, Mwananchi n.k.
Tujitafakari.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Muda wa matazamio (Probation time/period) huwa unasimamiwa ipasavyo!!? Kama ni ndiyo ni kwa nini bado kuna wahadhirii wanaoonekana dhahiri shayiri kwamba viwango vyao viko chini sana kufundisha kwenye vyuo vikuu??Usaili wa nini? Mtu hapati ajira mpaka baada ya muda wa matazamio kupita. Muda huo ndio unatakiwa kutumika kuamua kama mtu anastahili hiyo ajira au la.
Amandla...
Mkuu wenye GPA kubwa watakusaport wenye GPA ndogo watakupinga, Africa si sahihi kwa wenye high grades in school ila utafanikiwa saana ukiwa na emotional intelligency kwani most people are not logic.Kweli nchi inaenda kubaya sana. Kwa hiyo wakifanyiwa usaili ndio elimu inakua bora. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Mtu mwenye GPA kubwa kwa vyuo kama SUA, MZUMBE na UDSM huyo anauwezo mkubwa, haina haja ya kujiuliza mara mbili.
Nenda uendako, kwenye usaili watu wanakalili na kufaulu baada ya hapo wanasahau. Ila mwenye GPA kubwa ni mtu mwenye uwezo.
Haiwezekani mtu kidato cha Nne abamize one ya saba, kidato cha sita one ya nne na chuo GPA ya 4.6. Useme hana uwezo badala yake utegemee kumpima kwenye usaili Ili kupima uwezo wake.
Tuwekeze kwenye practical zaidi
Usomi wa watu wetu una matatizo sana. Usomi unatakiwa ulete matokeo chanya kwenye taaluma uliyomo. Hii mikataba ya kimagumashi tunayoingia kila siku unadhani ni kwa sababu wanaotia sahihi kwa niaba yetu wameishia darasa la saba kama kina siye yakhe!!Mkuu wenye GPA kubwa watakusaport wenye GPA ndogo watakupinga, Africa si sahihi kwa wenye high grades in school ila utafanikiwa saana ukiwa na emotional intelligency kwani most people are not logic.(they don't see the logic?).
Makampuni yote yateknolojia makubwa hayaajiri Degree na Masters yanaajili relevant experienceFafanua kidogo boss
Kwa nchi yetu hali iko ivo ama haiko ivo na tatizo ni nini??Kwa nchi za nje mtu mwenye PhD ana relevance experience kubwa sana.
Hii ndio hojHii sasa ni hoja lakini haihusiani na ile ya usaili kindakindaki. Nchi yetu mfumo wa kuwalea wasomi wetu ni mbovu. Mazoezi kwa vitendo (internship) ndiyo humkomaza msomi. wanaofanya ni madaktari tu.
Acha uongo wewe, mfano mzuri ni kwenye oil and gas, wanaajiri masters na PhD. Ww unazungumzia makampuni ya wahindi.Makampuni yote yateknolojia makubwa hayaajiri Degree na Masters yanaajili relevant experience
Kwa nchi za nje mtu mwenye PhD ana relevance experience kubwa sana.
PhD wa Tanzania ni vilaza hata wengi hawajui why wanasoma wanayojifunza sababu target yao ni kufaulu mtihani, kupanda vyeo na si kuvumbua theory na njia mpya.Kwa nchi yetu hali iko ivo ama haiko ivo na tatizo ni nini??
Mwenye GPA ya 2, akimshinda mwenye GPA kubwa kutumia python nakufa 😀😀😀😀😀😀aise. Python programming hizo ni hesabu. Mwenye GPA ya 2 hawezi mshinda hesabu mwenye GPA kubwa.Nashare Job description ya kupata kazi facebook
Responsibilities/ Summary:
Meta's Reality Labs is looking for a Python Software Engineer specifically within DevOps/Build environments. This role is a critical function for Meta as you will be writing scripts to tie internal services together within a continuous integration and build infrastructure environment. You would be working with various teams, including the central DevOps and Infrastructure teams. You will write python scripts to interact and add more features to existing services at the infrastructure level. Meta operates within its own internal proprietary DevOps & Build tools and cloud infrastructure environment. We are looking for someone who can work in an ambiguous but collaborative environment and able to learn new technologies fast to contribute to Meta's next generation development capabilities. You will be joining the Agios team to help lead/contribute to engineering efforts from design to implementation, solving complex technical challenges around engineering productivity and velocity. You will design and build advanced automated build, test, release, and operations infrastructure. Please note that this role is fully funded and secure. This team specifically has continuously grown over the past few years and does not plan on slowing down its expansion. This team is very critical for Meta's research and growth as a company.
Required Qualifications
● 3+ years of professional Software Development experience
● 3+ years of industry experience developing/scripting in Python (must be proficient)
● Strong industry experience in at least one of the following development areas:
○ Configuration
○ Build infrastructure
○ Continuous integration infrastructure
○ Building tools/ DevOps
Kati ya Degree, Master na PhD wengi wengi wenye G.P.A kubwa hawatapa kazi
1. Kwenye hiyo kazi hakuna sehemu ambayo wamesema uwe na Degree, Masters au PhDMwenye GPA ya 2, akimshinda mwenye GPA kubwa kutumia python nakufa 😀😀😀😀😀😀aise. Python programming hizo ni hesabu. Mwenye GPA ya 2 hawezi mshinda hesabu mwenye GPA kubwa.
Juzi tu hapa watu walikuwa wanakataaa waalimu wa vyuo vikuu kufundisha Law School of Tanganyika badala yake wakataka mawakili na majaji ndiyo wapewe fursa ya kutoa mihadhara kwenye shule hiyo ya sheria Tanganyika1. Kwenye hiyo kazi hakuna sehemu ambayo wamesema uwe na Degree, Masters au PhD
wakitokea mtu ambaye hajawahi kufanya kazi popote (Degree na Masters) au hata mwalimu wa chuo akiomba hiyo kazi hatokuwa shortlisted hata kama ana G.P.A ya tano na badala yake atachukuliwa mtu mwingine ambaye hana hiyo vingine vyote ila amewahi kufanya kazi mbili miaka 3 iliyopita
Kwa hiyo mtu mwenye gpa kubwa na mkali kwenye python plus 4 years of experience hatapewa kazi kwa sababu ana gpa kubwa?Nashare Job description ya kupata kazi facebook
Responsibilities/ Summary:
Meta's Reality Labs is looking for a Python Software Engineer specifically within DevOps/Build environments. This role is a critical function for Meta as you will be writing scripts to tie internal services together within a continuous integration and build infrastructure environment. You would be working with various teams, including the central DevOps and Infrastructure teams. You will write python scripts to interact and add more features to existing services at the infrastructure level. Meta operates within its own internal proprietary DevOps & Build tools and cloud infrastructure environment. We are looking for someone who can work in an ambiguous but collaborative environment and able to learn new technologies fast to contribute to Meta's next generation development capabilities. You will be joining the Agios team to help lead/contribute to engineering efforts from design to implementation, solving complex technical challenges around engineering productivity and velocity. You will design and build advanced automated build, test, release, and operations infrastructure. Please note that this role is fully funded and secure. This team specifically has continuously grown over the past few years and does not plan on slowing down its expansion. This team is very critical for Meta's research and growth as a company.
Required Qualifications
● 3+ years of professional Software Development experience
● 3+ years of industry experience developing/scripting in Python (must be proficient)
● Strong industry experience in at least one of the following development areas:
○ Configuration
○ Build infrastructure
○ Continuous integration infrastructure
○ Building tools/ DevOps
Kati ya Degree, Master na PhD wengi wengi wenye G.P.A kubwa hawatapa kazi
Uko sahihi. Lakini sio kwa usaili peke yake. Wote tunajua namna ambavyo interviews zinavyopindishwa ili kumpata mtu fulani. Njia bora zaidi ni kupima utendaji wao wakiwa kazini pamoja na feedback kutoka kwa wanafunzi na sehemu ambako wanafunzi wanaenda kufanya kazi. Kwa mfano sasa hivi Faculty ya Sheria inatakiwa ifumuliwe ili kupata matokeo tunayotegemea. Ingawa mara nyingi wanasingiwa wanafunzi kuwa hawana akili tatizo hasa ni kwa hao watoa elimu.Si lazima kwanza ubadilishe mfumo wa kuwapata watoa elimu ndipo upate matokeo bora!!??
Sasa huko ndiko kwenye tatizo. Hata huyo mtakayempata kwa usaili asiposimamiwa vizuri matokeo yatakuwa haya haya. Matatizo yetu ni kuwa hatufuatilii utendaji wa kazi baada ya ajira kiasi kuwa hiyo probation period imekuwa kama formality tu.Muda wa matazamio (Probation time/period) huwa unasimamiwa ipasavyo!!? Kama ni ndiyo ni kwa nini bado kuna wahadhirii wanaoonekana dhahiri shayiri kwamba viwango vyao viko chini sana kufundisha kwenye vyuo vikuu??
Malecturer wengi Tanzania ni Academician na sio watu wenye skills na exposure matokeo wanapump matheory.
Ni wakati wa Vyuo kujikita kwenye kuajili watu waliokaa kitaa kidogo na kupata life exosure + skills, mtu amemaliza say Electrical au Civil engineering then hajawahi kabisa kupractise alichosomea kwasababu ana GPA ya 4 unambakiza na kumfanya lecturer matokeo yake ni hasara kubwa kwa wanafunzi... Angalau muanze kuajili malecturer wenye experience ya kazi walizosomea nje uhadhiri.
Huo ni mfumo uliotengenezwa, lkn GPA kubwa itabakia kuwa na uwezo. Yaani mtu ana GPA kubwa ya mathematics alafu azidiwe kwenye namba na mwenye GPA ndogo. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Hizi ni chai.
Yaani mtu ana GPA kubwa ya coding alafu azidiwe coding na mtu mwenye GPA ya 3. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Nina GPA ya 3 lkn katika hilo siwezi amini.
1. Nina G.P.A kubwa za Engineering na PhysicsKwa hiyo mtu mwenye gpa kubwa na mkali kwenye python plus 4 years of experience hatapewa kazi kwa sababu ana gpa kubwa?
Mkuu sorry lakini ila inaonesha una kajentomeni gpa so kanakufanya uchukie gpa kubwa.