Waziri Mkenda, kiokoe Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kusimamia kauli yako

Waziri Mkenda, kiokoe Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kusimamia kauli yako

Duh, kumbe na wewe ni LL.B UDSM na LL.M UDSM!, ndio maana you are so good!.

Naunga mkono hoja

Nasimama na msimamo wa UDSM wa wahadhiri lazima wapate GPA ya 3.8 and above, no retreat, no surrender!, hii ndio heshima ya UDSM!, unataka sasa na wao waanze ku recruit wahadhiri vilaza?.
Mimi nilipanga kujoiin UDSM kusoma LL.B direct from school. Nilipokosa 1st Class, I had to forget LL.B, ndipo nikaenda journalism.

Milango ya private candidates ilipofunguliwa UDSM FoL, nikajoin. Hivyo kwa Tanzania kusoma UDSM ni heshima, hivyo kamwe wasiruhusu vilaza wa less than GPA ya 3.8 kuajiriwa. Kwa vile sasa Tanzania tuna vyuo vikuu vingi, hao Watanzania wengine wenye uwezo mkubwa ila hawana GPA ya 3.8, wakawafundishe Watanzania wenzetu huko kwenye vyuo vingine, UDSM maintains GPA ya 3.8 and above ila iboreshe maslahi ili kuatract GPA above 3.8 kutoka dunia nzima!.

Wawalipe vizuri sana hao wachache na kuongeza mishahara kuvutia GPA za 3.8

I'd like to differ

Naunga mkono hoja, ila it's muhimu UDSM kumaintain it's superior standards!. Au unataka mwanao afundishwe na vilaza?.

Hiyo superior standards ndio zinatufanya tuwe very proud of waalimu wetu kama hapa Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. You've Become So Good! B'Cause you're Smart, Bright & Brilliant! Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?

P

-3.8 sio Kwa udsm tu, ni Kwa Vyuo vikuu vyote, except Institutes kama ifm,iaa,tia,nit nk
  • Kwa Sasa udsm is no longer chuo chenye wasomi Waziri kwenye sheria,Wenye uwezo mkubwa hiyo ilikuwa zamani enzi za kina Lissu, Shivji,Migiro,Ringo tenga, majamba, Kwa Sasa Udsm wako vizuri sana kule CoET ndiyo kweli Kuna Vichwa wale wa asili.
  • salary scale ya udsm na other universities ni ndogo sana imagine tutorial assistant analipwa 1.6m, wakati Kuna Mashirika ya Umma LLB analipwa 2.6m so sad
-
 
Nakuandikia Waziri wangu wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda,

Mnamo mwezi Disemba, 2022 wewe Mhe Waziri ulitoa kauli: Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye na usaili.

Mimi ni mstaafu chamani na Serikalini. Pamoja na kwamba nami pia nimehitimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa shahada zangu mbili za sheria, watoto wangu wawili nao wamehitimu Chuoni humo: mmoja amehitimu sheria kama mimi na mmoja amehitimu uchumi. Wa mwisho wangu naye amejiunga pale kwa shahada ya masuala ya biashara.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni chuo kikuu kikongwe na bora kuliko vingine kwa Tanzania na kwingineko. Kinastahili heshima kubwa na tunakipenda. Lakini, kwasasa kinaelekea kukwama. Kinaelekea kubaya. Kinaongeza programu mbalimbali za kimasomo lakini hakiajiri Wahadhiri wa kutosha. Kinapata vibali vya kuajiri lakini hakiajiri.

Sababu kubwa zaidi ya zote ni GPA ya 3.8 au zaidi kwa Shahada ya Kwanza. Kupata au kukosa GPA hiyo katika Shahada ya Kwanza humtoa au humwingiza mhusika kwenye kuweza kupata ajira ya Uhadhiri. Hata watanzania na wasio watanzania wenye Shahada za Umahiri na Uzamivu lakini wasio na 3.8 Shahada ya Kwanza hawaajiriki.

Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ilishatoa Muongozo juu ya sifa za Wahadhiri Vyuo Vikuu. Sifa inayoainishwa kwenye Muongozo wa TCU ni GPA ya kuanzia 3.5 kwa Shahada ya Awali/Kwanza. UDSM imekuwa ikiiacha mbali sifa hii kutoka TCU na kutaka 3.8 na zaidi. Zote, lakini, ni GPA za Daraja la Pili la Juu (Second Upper Division).

Kung'ang'ania 3.8 sasa kunaipa tabu UDSM. Inakosa Wahadhiri. Inaathirika kitaaluma kwakuwa Wahadhiri wachache waliopo wanaelemewa na majukumu mengi na makubwa na hivyo huduma za kitaaluma zinayumba. UDSM inashindwa kupata Wahadhiri kwa kwakuwa tu waombaji 'walitenda dhambi' ya kukosa 3.8 kwenye Shahada zao za awali.

Ifike wakati 3.8 isiwe kikwazo cha kuajiri na kusongesha mbele gurudumu la kitaaluma. UDSM ishauriwe na kuelekezwa kufuata Muongozo wa TCU huku ikichuja waombaji wake kwa umahiri wao katika kufundisha au kwenye usaili wa namna nyingine. Nayaongea haya kwakuwa kwasasa UDSM inakosa waombaji na matangazo ya ajira yanarudiwa: University of Dar es Salaam-. UDSM isaidiwe!

GPA kubwa si kigezo pekee cha uelewa na uwezo wa Mhadhiri kufundisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Unawatetea vilaza wenzako. UDSM in hadhi yake inayohitaji kulindwa.
 
Utaratibu wa G..P.A ya 3.8 ni mzuri, mimi nadhani kuondoa watu wanao fluke waanzie kuanzia secondary, yaani mtu asiwe chini ya division two, na hizo G.P.A
Ukiangalia matokeo ya sekondari sidhani kama kuna walimu watakatiza hapo.
Zamani mtu akifaulu F4 alikuwa anaenda F5, akifaulu tena anaenda UDSM.
Sasa, kuna walimu mpaka Maprofesa walianza kwa kwenda vyuo vya ualimu. Walipojiendeleza ufaulu wa ndio unaanza kuonekana.
Mtu kama Mwakyembe alianza kwenda Chuo cha Uandishi wa habari. Ina maana hakufaulu kwenda F4. Aliojiendelea na kujiunga na UDSM nyota ikang'aa kwa ufaulu.
Kwa hiyo kufaulu vyuoni sio kufluke. Mazingira na Ubora wa ufundishaji unachangia.
 
Nakuandikia Waziri wangu wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda,

Mnamo mwezi Disemba, 2022 wewe Mhe Waziri ulitoa kauli: Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye na usaili.

Mimi ni mstaafu chamani na Serikalini. Pamoja na kwamba nami pia nimehitimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa shahada zangu mbili za sheria, watoto wangu wawili nao wamehitimu Chuoni humo: mmoja amehitimu sheria kama mimi na mmoja amehitimu uchumi. Wa mwisho wangu naye amejiunga pale kwa shahada ya masuala ya biashara.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni chuo kikuu kikongwe na bora kuliko vingine kwa Tanzania na kwingineko. Kinastahili heshima kubwa na tunakipenda. Lakini, kwasasa kinaelekea kukwama. Kinaelekea kubaya. Kinaongeza programu mbalimbali za kimasomo lakini hakiajiri Wahadhiri wa kutosha. Kinapata vibali vya kuajiri lakini hakiajiri.

Sababu kubwa zaidi ya zote ni GPA ya 3.8 au zaidi kwa Shahada ya Kwanza. Kupata au kukosa GPA hiyo katika Shahada ya Kwanza humtoa au humwingiza mhusika kwenye kuweza kupata ajira ya Uhadhiri. Hata watanzania na wasio watanzania wenye Shahada za Umahiri na Uzamivu lakini wasio na 3.8 Shahada ya Kwanza hawaajiriki.

Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ilishatoa Muongozo juu ya sifa za Wahadhiri Vyuo Vikuu. Sifa inayoainishwa kwenye Muongozo wa TCU ni GPA ya kuanzia 3.5 kwa Shahada ya Awali/Kwanza. UDSM imekuwa ikiiacha mbali sifa hii kutoka TCU na kutaka 3.8 na zaidi. Zote, lakini, ni GPA za Daraja la Pili la Juu (Second Upper Division).

Kung'ang'ania 3.8 sasa kunaipa tabu UDSM. Inakosa Wahadhiri. Inaathirika kitaaluma kwakuwa Wahadhiri wachache waliopo wanaelemewa na majukumu mengi na makubwa na hivyo huduma za kitaaluma zinayumba. UDSM inashindwa kupata Wahadhiri kwa kwakuwa tu waombaji 'walitenda dhambi' ya kukosa 3.8 kwenye Shahada zao za awali.

Ifike wakati 3.8 isiwe kikwazo cha kuajiri na kusongesha mbele gurudumu la kitaaluma. UDSM ishauriwe na kuelekezwa kufuata Muongozo wa TCU huku ikichuja waombaji wake kwa umahiri wao katika kufundisha au kwenye usaili wa namna nyingine. Nayaongea haya kwakuwa kwasasa UDSM inakosa waombaji na matangazo ya ajira yanarudiwa: University of Dar es Salaam-. UDSM isaidiwe!

GPA kubwa si kigezo pekee cha uelewa na uwezo wa Mhadhiri kufundisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
GPA kubwa ni muhimu, kwa mazingira ya Tanzania tukiondoa kujuana mwenye GPA kubwa ndiye mweye uwezo mkubwa. Tuache maneno tunapaswa kuanza kuwatumia wenye GPA kubwa kama kuna eneo haelewi tumfanyie training na kumwendeleza ili tumjengee uwezo tunaouhitaji. Tusijifariji kwamba mwenye GPA ndogo anaweza kumzidi mwenye GPA kubwa. Mimi binafsi kwenye taasisi yangu na nature ya kazi zangu naajiri wenye GPA kubwa pekee.

Kuna bwana mmoja alikua anaitwa Elias Kihombo huyu bwana alikua na uwezo mkubwa sana na alikua na matokeo makubwa mno form six na chuo kikuu. Lakini serikali yetu ilishindwa kumtumia pamoja na uwezo wake kwa kuwa na mawazo kama haya ya mtoa mada.

Na tukienda kwa mtindo kama huu tukafanikiwa kujaza wenye GPA ndogo makazini basi wale wote wenye GPA kubwa wataanza kubaguliwa na kujifanya kwamba wanauelewa mkubwa kuliko wenye GPA kubwa. Na ukutane na ofisi nzima imesoma kwa njia za kungaunga na kupata uzoefu kazini basi hujidai wao ndio wenye uwezo zaidi na hizo kazi. Embu jaribu kumchukua huyo mwenye GPA kubwa mfanyie training kwenye hiyo kazi alafu mwaangalie.

Kwa elimu yetu asilimia kubwa ya wanaopata GPA ndogo ni wavivu wa kusoma, na wapenda starehe. Na ukishakuwa mhadhili kazi yako sii kuufunisha pekee, inatakiwa ufanye tafiti, uchapishe mapisho na uendelee kusoma hadi huko PhD. Na ili ufikie huko PhD lazima ufaulu vizuri. Sasa kama kufaulu kwako ni kwa kiwango kidogo tangu shule ya msingi kufikia hiyo PhD utachukua muda mrefu sana.
 
Nakuandikia Waziri wangu wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda,

Mnamo mwezi Disemba, 2022 wewe Mhe Waziri ulitoa kauli: Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye na usaili.

Mimi ni mstaafu chamani na Serikalini. Pamoja na kwamba nami pia nimehitimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa shahada zangu mbili za sheria, watoto wangu wawili nao wamehitimu Chuoni humo: mmoja amehitimu sheria kama mimi na mmoja amehitimu uchumi. Wa mwisho wangu naye amejiunga pale kwa shahada ya masuala ya biashara.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni chuo kikuu kikongwe na bora kuliko vingine kwa Tanzania na kwingineko. Kinastahili heshima kubwa na tunakipenda. Lakini, kwasasa kinaelekea kukwama. Kinaelekea kubaya. Kinaongeza programu mbalimbali za kimasomo lakini hakiajiri Wahadhiri wa kutosha. Kinapata vibali vya kuajiri lakini hakiajiri.

Sababu kubwa zaidi ya zote ni GPA ya 3.8 au zaidi kwa Shahada ya Kwanza. Kupata au kukosa GPA hiyo katika Shahada ya Kwanza humtoa au humwingiza mhusika kwenye kuweza kupata ajira ya Uhadhiri. Hata watanzania na wasio watanzania wenye Shahada za Umahiri na Uzamivu lakini wasio na 3.8 Shahada ya Kwanza hawaajiriki.

Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ilishatoa Muongozo juu ya sifa za Wahadhiri Vyuo Vikuu. Sifa inayoainishwa kwenye Muongozo wa TCU ni GPA ya kuanzia 3.5 kwa Shahada ya Awali/Kwanza. UDSM imekuwa ikiiacha mbali sifa hii kutoka TCU na kutaka 3.8 na zaidi. Zote, lakini, ni GPA za Daraja la Pili la Juu (Second Upper Division).

Kung'ang'ania 3.8 sasa kunaipa tabu UDSM. Inakosa Wahadhiri. Inaathirika kitaaluma kwakuwa Wahadhiri wachache waliopo wanaelemewa na majukumu mengi na makubwa na hivyo huduma za kitaaluma zinayumba. UDSM inashindwa kupata Wahadhiri kwa kwakuwa tu waombaji 'walitenda dhambi' ya kukosa 3.8 kwenye Shahada zao za awali.

Ifike wakati 3.8 isiwe kikwazo cha kuajiri na kusongesha mbele gurudumu la kitaaluma. UDSM ishauriwe na kuelekezwa kufuata Muongozo wa TCU huku ikichuja waombaji wake kwa umahiri wao katika kufundisha au kwenye usaili wa namna nyingine. Nayaongea haya kwakuwa kwasasa UDSM inakosa waombaji na matangazo ya ajira yanarudiwa: University of Dar es Salaam-. UDSM isaidiwe!

GPA kubwa si kigezo pekee cha uelewa na uwezo wa Mhadhiri kufundisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
GPA haikutakiwa kutumika kabisa.
 
GPA kubwa ni muhimu, kwa mazingira ya Tanzania tukiondoa kujuana mwenye GPA kubwa ndiye mweye uwezo mkubwa. Tuache maneno tunapaswa kuanza kuwatumia wenye GPA kubwa kama kuna eneo haelewi tumfanyie training na kumwendeleza ili tumjengee uwezo tunaouhitaji. Tusijifariji kwamba mwenye GPA ndogo anaweza kumzidi mwenye GPA kubwa. Mimi binafsi kwenye taasisi yangu na nature ya kazi zangu naajiri wenye GPA kubwa pekee.

Kuna bwana mmoja alikua anaitwa Elias Kihombo huyu bwana alikua na uwezo mkubwa sana na alikua na matokeo makubwa mno form six na chuo kikuu. Lakini serikali yetu ilishindwa kumtumia pamoja na uwezo wake kwa kuwa na mawazo kama haya ya mtoa mada.

Na tukienda kwa mtindo kama huu tukafanikiwa kujaza wenye GPA ndogo makazini basi wale wote wenye GPA kubwa wataanza kubaguliwa na kujifanya kwamba wanauelewa mkubwa kuliko wenye GPA kubwa. Na ukutane na ofisi nzima imesoma kwa njia za kungaunga na kupata uzoefu kazini basi hujidai wao ndio wenye uwezo zaidi na hizo kazi. Embu jaribu kumchukua huyo mwenye GPA kubwa mfanyie training kwenye hiyo kazi alafu mwaangalie.

Kwa elimu yetu asilimia kubwa ya wanaopata GPA ndogo ni wavivu wa kusoma, na wapenda starehe. Na ukishakuwa mhadhili kazi yako sii kuufunisha pekee, inatakiwa ufanye tafiti, uchapishe mapisho na uendelee kusoma hadi huko PhD. Na ili ufikie huko PhD lazima ufaulu vizuri. Sasa kama kufaulu kwako ni kwa kiwango kidogo tangu shule ya msingi kufikia hiyo PhD utachukua muda mrefu sana.
Ndio maana kampuni yako sio Google. Wenzako walishaachana na GPAs au Interview.
 
Back
Top Bottom