KERO Waziri Mkenda umechemka, acha kutumia vibaya cheo chako kwa nidhamu ya woga

KERO Waziri Mkenda umechemka, acha kutumia vibaya cheo chako kwa nidhamu ya woga

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Nimefuatilia maamuzi ya waziri Mkenda kwa wakuu wa shule na walimu waliohusika kwenye kucheza wimbo wa zuchu Binafsi naona maamuzi ya Waziri Mkenda ni ya kukurupuka na hofu ya kutenguliwa nyadhifa yake. :


1. Maadili ya mtoto yaanzia nyumbani, Hawa watoto huu wimbo wamjifunza makwao kupitia redio na TV. Ukitizama Luninga DSTV wanaand kitu kinaitwa PG ,(Parental Guidance) utaona PG12,PG13,PG14 wakimaanisha mza kama mwanao sio miaka 12,13 au 14 asiangalie kwa sababu maudhui yake sio salama kwa maadili na ukuaji. Mwenye wajibu wa kuzia watoto wasiujue wimbo wa ZUCHU ni @tcra_tanzania kwa ushirikiano wa muongozo wa maadili ya watoto toka wizara ya Mh. Gwajima na wao wizara ya elimu.

(2) Wizara ya Elimu inaruhusu michezo na muziki ni sehemu ya michezo, hususani kwenye tafrija za shule (Graduation) Kungelikuwepo PG ya TCRA na wizara DJ wa siku hiyo asingelipiga wimbo wa zuchu. Mtaala wa michezo unautambua muziki kama sehemu ya nyezo ya ufundishaji na kuandaa vipaji.

(3) Wazazi wa hawa watoto wanawajibika moja moja kwa athari chanya kwa makusudi wameacha rimoti za TV na watoto wao wakajifunza wimbo wa zuchu kwa sababu ule mwitikio kufuatisha mashairi nimkubwa sana ina maanisha watoto wote wanajua kuimba beti kwa beti ingawaje hata neno mpenzi wangu hawajuui maana yake , je nani atawaadhibu wazazi hawa kwa mmomonyoko wa maadili ulioleta athari chanya kwa watoto wao?

(4)Nani atawatetea walimu walioamua kufurahi na watoto wakaonekana wao sio peke yao wenye makosa juu ya mmomonyoko wa maadili kwa watoto hawa?? walimu ni sawa na third part kwenye mkataba hawana madhara ya moja kwa moja wanakuwa subjective kwa impact ya maoni ya mitandao. Tutafukuza walimu wangapi? Je, Graduation ngapi watoto wetu wancheza mbele ya wazazi na wazazi tunafurahi? Je , sherehe ngapi sisi watu wazima tumedhuruia halafu watoto wetu wanatoa show kushindana kucheza.

(5) Waziri wa Elimu katumia vibaya madarka yake kuwashusha vyeo walimu kwa makosa yasisowahusu moja kwa moja, natamani nione na afisa maendeleo ya Jamii wa mkoa husika na kata husika akiwajibishwa kwa madhara ya ukosefu wa maadili kwa ni kweli?

(6) Hivi leo hii seneti ya chuo kikuu Dar es salaam imvue hadhi uprofesa kwa sababu somo alilofundisha waliwahi wanafunzi kupata sup? how comes walimu wawajibike kwa suala mtambuka kama lile peke yao???

conclusion:
waziri amewaonea walimu wanaotakiwa kuwajibika ni TCRA, WAZAZI, WIZARA YA ELIMU.
Hili goma watoto wameselebuka daa honey honey daa kizazi hiki shida pole mwalimu kwa kusombwa ba honey
 
Prof amefanya jambo jema sana na hili liwe funzo kwa wengine kuruhusu watoto kuimba na kucheza manyimbo ya hovyohovyo hatuwezi kuwa n taifa ka mitoto inayoimba namkatia vibuno
 
Hili goma watoto wameselebuka daa honey honey daa kizazi hiki shida pole mwalimu kwa kusombwa ba honey
walimu watafukuzwa kazi kwa wahaka na mizuka kwa mambo yasiyowahusu
 
Nimefuatilia maamuzi ya waziri Mkenda kwa wakuu wa shule na walimu waliohusika kwenye kucheza wimbo wa zuchu Binafsi naona maamuzi ya Waziri Mkenda ni ya kukurupuka na hofu ya kutenguliwa nyadhifa yake. :


1. Maadili ya mtoto yaanzia nyumbani, Hawa watoto huu wimbo wamjifunza makwao kupitia redio na TV. Ukitizama Luninga DSTV wanaand kitu kinaitwa PG ,(Parental Guidance) utaona PG12,PG13,PG14 wakimaanisha mza kama mwanao sio miaka 12,13 au 14 asiangalie kwa sababu maudhui yake sio salama kwa maadili na ukuaji. Mwenye wajibu wa kuzia watoto wasiujue wimbo wa ZUCHU ni @tcra_tanzania kwa ushirikiano wa muongozo wa maadili ya watoto toka wizara ya Mh. Gwajima na wao wizara ya elimu.

(2) Wizara ya Elimu inaruhusu michezo na muziki ni sehemu ya michezo, hususani kwenye tafrija za shule (Graduation) Kungelikuwepo PG ya TCRA na wizara DJ wa siku hiyo asingelipiga wimbo wa zuchu. Mtaala wa michezo unautambua muziki kama sehemu ya nyezo ya ufundishaji na kuandaa vipaji.

(3) Wazazi wa hawa watoto wanawajibika moja moja kwa athari chanya kwa makusudi wameacha rimoti za TV na watoto wao wakajifunza wimbo wa zuchu kwa sababu ule mwitikio kufuatisha mashairi nimkubwa sana ina maanisha watoto wote wanajua kuimba beti kwa beti ingawaje hata neno mpenzi wangu hawajuui maana yake , je nani atawaadhibu wazazi hawa kwa mmomonyoko wa maadili ulioleta athari chanya kwa watoto wao?

(4)Nani atawatetea walimu walioamua kufurahi na watoto wakaonekana wao sio peke yao wenye makosa juu ya mmomonyoko wa maadili kwa watoto hawa?? walimu ni sawa na third part kwenye mkataba hawana madhara ya moja kwa moja wanakuwa subjective kwa impact ya maoni ya mitandao. Tutafukuza walimu wangapi? Je, Graduation ngapi watoto wetu wancheza mbele ya wazazi na wazazi tunafurahi? Je , sherehe ngapi sisi watu wazima tumedhuruia halafu watoto wetu wanatoa show kushindana kucheza.

(5) Waziri wa Elimu katumia vibaya madarka yake kuwashusha vyeo walimu kwa makosa yasisowahusu moja kwa moja, natamani nione na afisa maendeleo ya Jamii wa mkoa husika na kata husika akiwajibishwa kwa madhara ya ukosefu wa maadili kwa ni kweli?

(6) Hivi leo hii seneti ya chuo kikuu Dar es salaam imvue hadhi uprofesa kwa sababu somo alilofundisha waliwahi wanafunzi kupata sup? how comes walimu wawajibike kwa suala mtambuka kama lile peke yao???

conclusion:
waziri amewaonea walimu wanaotakiwa kuwajibika ni TCRA, WAZAZI, WIZARA YA ELIMU.

Nimefuatilia maamuzi ya waziri Mkenda kwa wakuu wa shule na walimu waliohusika kwenye kucheza wimbo wa zuchu Binafsi naona maamuzi ya Waziri Mkenda ni ya kukurupuka na hofu ya kutenguliwa nyadhifa yake. :


1. Maadili ya mtoto yaanzia nyumbani, Hawa watoto huu wimbo wamjifunza makwao kupitia redio na TV. Ukitizama Luninga DSTV wanaand kitu kinaitwa PG ,(Parental Guidance) utaona PG12,PG13,PG14 wakimaanisha mza kama mwanao sio miaka 12,13 au 14 asiangalie kwa sababu maudhui yake sio salama kwa maadili na ukuaji. Mwenye wajibu wa kuzia watoto wasiujue wimbo wa ZUCHU ni @tcra_tanzania kwa ushirikiano wa muongozo wa maadili ya watoto toka wizara ya Mh. Gwajima na wao wizara ya elimu.

(2) Wizara ya Elimu inaruhusu michezo na muziki ni sehemu ya michezo, hususani kwenye tafrija za shule (Graduation) Kungelikuwepo PG ya TCRA na wizara DJ wa siku hiyo asingelipiga wimbo wa zuchu. Mtaala wa michezo unautambua muziki kama sehemu ya nyezo ya ufundishaji na kuandaa vipaji.

(3) Wazazi wa hawa watoto wanawajibika moja moja kwa athari chanya kwa makusudi wameacha rimoti za TV na watoto wao wakajifunza wimbo wa zuchu kwa sababu ule mwitikio kufuatisha mashairi nimkubwa sana ina maanisha watoto wote wanajua kuimba beti kwa beti ingawaje hata neno mpenzi wangu hawajuui maana yake , je nani atawaadhibu wazazi hawa kwa mmomonyoko wa maadili ulioleta athari chanya kwa watoto wao?

(4)Nani atawatetea walimu walioamua kufurahi na watoto wakaonekana wao sio peke yao wenye makosa juu ya mmomonyoko wa maadili kwa watoto hawa?? walimu ni sawa na third part kwenye mkataba hawana madhara ya moja kwa moja wanakuwa subjective kwa impact ya maoni ya mitandao. Tutafukuza walimu wangapi? Je, Graduation ngapi watoto wetu wancheza mbele ya wazazi na wazazi tunafurahi? Je , sherehe ngapi sisi watu wazima tumedhuruia halafu watoto wetu wanatoa show kushindana kucheza.

(5) Waziri wa Elimu katumia vibaya madarka yake kuwashusha vyeo walimu kwa makosa yasisowahusu moja kwa moja, natamani nione na afisa maendeleo ya Jamii wa mkoa husika na kata husika akiwajibishwa kwa madhara ya ukosefu wa maadili kwa ni kweli?

(6) Hivi leo hii seneti ya chuo kikuu Dar es salaam imvue hadhi uprofesa kwa sababu somo alilofundisha waliwahi wanafunzi kupata sup? how comes walimu wawajibike kwa suala mtambuka kama lile peke yao???

conclusion:
waziri amewaonea walimu wanaotakiwa kuwajibika ni TCRA, WAZAZI,
 
ATUMBULIWE tu huyo waziri anatoa maamuzi kimihemuko!
 
Huyu jamaa kakurupuka sana,hafai kuwa waziri,huo wimbo mimi mwenyewe mara ya kwanza kuusikia ni kwa mtoto wangu wa miaka mitano,sasa je atuhumiwe mwalimu au mzazi pamoja na mazingira?
Pili mwalimu sio mdhibiti wa nyimbo ,basata wapo,sasa kama basata wameruhusu wimbo huo kufika kwa jamii kosa la mwalimu ni lipi!?

Najuta sana kuwa mwalimu,ila kuna wanasiasa wanaopenda coverage kupitia kwa walimu,siku moja ajichanganye kwangu ,nitang'oa taya la mtu mimi.

Mwalimu ni mfanyakazi peke mwenye mabosi wengi nchi hii,mwenyekit wa kijiji/mtaa,diwani,mtendaji kijiji/ mtaa,mkuu wa shule,katibu kata,katibu tarafa,mkuu wa wilaya,mkurugenzi,afisa elimu,afisa elimu taaluma,tsc bado ngazi za mkoa,na taifa kma hao wapuuzi akina mkenda

Mwisho wa siku mkenda atambue kuwa kazi na dawa,hawa watoto wanahitaji burudani,shuleni sio magereza kwamba ni shuruba mwanzo mwiso
 
Hajachemka amefanya vyema
huyu ni mwoga suala jepesi hapa , je wazazi nao wafukuzwe kazini kwa kwa kushindwa kuwalea watoto wao kwa sababu wanaimba matusi? vipi tumfukuze sheikh msikitini kwa sababu muumini wake ni kibaka? au tumfukuze padri kwa kosa mwenyekiti wa Jumuiya amebaka? hili ndio tatizo la waziri kawafukuza walimu kwa kosa lisilowahushu
 
Huyu jamaa kakurupuka sana,hafai kuwa waziri,huo wimbo mimi mwenyewe mara ya kwanza kuusikia ni kwa mtoto wangu wa miaka mitano,sasa je atuhumiwe mwalimu au mzazi pamoja na mazingira?
Pili mwalimu sio mdhibiti wa nyimbo ,basata wapo,sasa kama basata wameruhusu wimbo huo kufika kwa jamii kosa la mwalimu ni lipi!?

Najuta sana kuwa mwalimu,ila kuna wanasiasa wanaopenda coverage kupitia kwa walimu,siku moja ajichanganye kwangu ,nitang'oa taya la mtu mimi.

Mwalimu ni mfanyakazi peke mwenye mabosi wengi nchi hii,mwenyekit wa kijiji/mtaa,diwani,mtendaji kijiji/ mtaa,mkuu wa shule,katibu kata,katibu tarafa,mkuu wa wilaya,mkurugenzi,afisa elimu,afisa elimu taaluma,tsc bado ngazi za mkoa,na taifa kma hao wapuuzi akina mkenda
sawa kabisa tuwasaidie walimu warudi kazini huwezi kumuondoa imamau msikitini kwa sababu watoto wa madrasa wameedna kuiba maembe sokoni, huwezi kumfukuza mchungaji kwa sababu muuumini wake ni mlevi wa kupindukia
 
Jinga kabisa. Unataka shuleni wasisitize maadili kwa sababu nyumbani kuna baadhi hawakufunzwa? Kuna mijitu upeo wao wa kuona mambo ni kama wa nyumbu.
Tumfukuze sheikh kwa sababu waumini anaowafundisha wameiba? kwa nini mwalimu afukuzwe kazi kwa kosa la mzazi na mamlaka nyingine.
 
Makosa yapo, lkn HAYASTAHILI kutoa adhabu kubwa kama hiyo.

Waalimu kwa ujumla wanabeba ADHABU nyingi za kila siku katika UTUMISHI wao.

Onyo tu! Linatosha .
 
Hii dunia haitaki kabisa kuona maskini ana furaha hata masaa tu.

Ukichek ile video watoto wanafurahi,yaani wamesahau kama nyumbani jana walilala njaa,wamesahahu kama hawana uniform za shule,wamesahau kama wanaishi kwenye nyumba za nyasi,wamesahau kama kwao hakuna umeme na vitu vingine vingi sana. Japo kwa muda tu,lakini walifarijika.

Kwa uelewa wangu mdogo sijui kama wale watoto kwa umri ule sijui hata kama wanajua maana hasa ya ule wimbo. usikute kuna wanaoupenda wimbo ule kwasababu tu ya kisauti cha zuchu,au mdundo(beat) ya wimbo au whatever.
 
Nimefuatilia maamuzi ya waziri Mkenda kwa wakuu wa shule na walimu waliohusika kwenye kucheza wimbo wa zuchu Binafsi naona maamuzi ya Waziri Mkenda ni ya kukurupuka na hofu ya kutenguliwa nyadhifa yake. :

1. Maadili ya mtoto yaanzia nyumbani, Hawa watoto huu wimbo wamjifunza makwao kupitia redio na TV. Ukitizama Luninga DSTV wanaand kitu kinaitwa PG ,(Parental Guidance) utaona PG12,PG13,PG14 wakimaanisha mza kama mwanao sio miaka 12,13 au 14 asiangalie kwa sababu maudhui yake sio salama kwa maadili na ukuaji. Mwenye wajibu wa kuzia watoto wasiujue wimbo wa ZUCHU ni @tcra_tanzania kwa ushirikiano wa muongozo wa maadili ya watoto toka wizara ya Mh. Gwajima na wao wizara ya elimu.

(2) Wizara ya Elimu inaruhusu michezo na muziki ni sehemu ya michezo, hususani kwenye tafrija za shule (Graduation) Kungelikuwepo PG ya TCRA na wizara DJ wa siku hiyo asingelipiga wimbo wa zuchu. Mtaala wa michezo unautambua muziki kama sehemu ya nyezo ya ufundishaji na kuandaa vipaji.

(3) Wazazi wa hawa watoto wanawajibika moja moja kwa athari chanya kwa makusudi wameacha rimoti za TV na watoto wao wakajifunza wimbo wa zuchu kwa sababu ule mwitikio kufuatisha mashairi nimkubwa sana ina maanisha watoto wote wanajua kuimba beti kwa beti ingawaje hata neno mpenzi wangu hawajuui maana yake , je nani atawaadhibu wazazi hawa kwa mmomonyoko wa maadili ulioleta athari chanya kwa watoto wao?

(4)Nani atawatetea walimu walioamua kufurahi na watoto wakaonekana wao sio peke yao wenye makosa juu ya mmomonyoko wa maadili kwa watoto hawa? Walimu ni sawa na third part kwenye mkataba hawana madhara ya moja kwa moja wanakuwa subjective kwa impact ya maoni ya mitandao. Tutafukuza walimu wangapi? Je, Graduation ngapi watoto wetu wancheza mbele ya wazazi na wazazi tunafurahi? Je , sherehe ngapi sisi watu wazima tumedhuruia halafu watoto wetu wanatoa show kushindana kucheza.

(5) Waziri wa Elimu katumia vibaya madarka yake kuwashusha vyeo walimu kwa makosa yasisowahusu moja kwa moja, natamani nione na afisa maendeleo ya Jamii wa mkoa husika na kata husika akiwajibishwa kwa madhara ya ukosefu wa maadili kwa ni kweli?

(6) Hivi leo hii seneti ya chuo kikuu Dar es salaam imvue hadhi uprofesa kwa sababu somo alilofundisha waliwahi wanafunzi kupata sup? how comes walimu wawajibike kwa suala mtambuka kama lile peke yao???

conclusion:
waziri amewaonea walimu wanaotakiwa kuwajibika ni TCRA, WAZAZI, WIZARA YA ELIMU.
MITOTO YENU HAINA HAJA KUWAFATILIA ACHA WASIKIE TU HIYO MIZIKI HONEYY NA TAKA TAKA ZINGINE,KWANZA MITOTO YENU SAHV ISHAKATA KAMBA
NA MPAKA KUFIKA 2030 HUKO WATAKUWA WAMECHAKAA

OVA
 
Naungana mkono na wewe, waalimu wakuu wameonewa
Vitoto vimekariri kila neno la wimbo huko makwao. kama siyo nyumbani ni kwa jirani
mimi mwenyewe nimependa vibe la vitoto
Acha wakate mauno tu
Wekezeni wajue kbandn vzr tu

Ova
 
Prof amefanya jambo jema sana na hili liwe funzo kwa wengine kuruhusu watoto kuimba na kucheza manyimbo ya hovyohovyo hatuwezi kuwa n taifa ka mitoto inayoimba namkatia vibuno
nyimbo wamejifunza shuleni au makwao? wewe ungekuwa imamau au mchungaji ungekubali kuondolewa cheo chako kwa sababu muuumini wako ni mwizi? ukiona haiwezekani basi ujue walimu wameonewa
 
NCHI ISHAKUWA YA WAKATA MAUNO SAHV

OVA
 
Acha wakate mauno tu
Wekezeni wajue kbandn vzr tu

Ova
usikwazike waziri kafanya maamuzi kwa papara hili jambo linagusa maeneo mengi tuweke mkazo ili tufanikishe kwa pamoja , jiulize walimu walliopo wakijiuzuru wakaenda kufanya biashara nani atawafundisha hao watoto hapo shuleni. Ukumbuke kuacha kazi ni hiari so iktokea wameamua upande mwingine nani atafundisha? ni dosari ndogo ya kutoa maelekezo lakini siio kushusha mtu cheo
 
Back
Top Bottom