KERO Waziri Mkenda umechemka, acha kutumia vibaya cheo chako kwa nidhamu ya woga

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mtoto wako aendelee tu kusika hyo mijimbo mbeleni utakuja ona faida yKe

Ova
 
Watoto kusikia ujumbe wa Kjng jng mnaona sifa,duh mitoto yote hapo
Hasara

Ova
 
Acha ujinga waziri yupo sahihi huwezi wachezesha watoto nyimbo za mapenzi umri ule. Hao waalimu akili zao finyu hata uwezo wa kusoma hatari hawana. Jitahidi uboreshe iq yako ipo chini sana
unaijua PG (Parental Guidance) Muongozo wa maudhui kulingana na rika?

waziri kaangalia tulipoangukia, nakuuliza maswali yafuatayo kama nyyumbani kwako utakuwa kishimbusi cha DSTV.

Je, uliwahi kuona logo ya PG 12, PG 13, P14?
Kamauliwahi kuona ,uliwahi kujiuliza kwa nini imewekwa?
Unafahamu wajibu wa sera ya madili kwa wanaonesha maudhui kwenye TV au redioni?
Je, wanafunzi kwenye muda wa likizio au mapumziko kuna sheria inawakataza kucheza/ au kucheza muziki?
Je, kwa nini watoto wale hawachezi muziki ule kanisani au msikitini??????
Je, ni halali kumvua cheo cha uprofesa mh. mkenda kwa sababu wanafunzi wengi walifeli somo analofundisha aua wanfunzi aliowafundisha wamekuwa mafisadi?
Nijibu haya nikutajie IQ yako

chanzo cha watoto kucheza muziki kimeanzia kwenye udhaifu wa udhibiti maudhui ya rika uliofanywa na TCRA na BASATA na Wizara ya Jinsia na wiZARA ELIMU KUKOSA MIIONGOZO ya UPIGAJI MUZIKI SHULENI. Kama tungekuwa muongozo DJ asingepiga muziki ule shuleni.
 
Ndiyo wameaanza mashuleni
Mambo ya kuwapeleka mashuleni wakina j lokole waache

Ova
 
Mtoto wako aendelee tu kusika hyo mijimbo mbeleni utakuja ona faida yKe

Ova
waziri kaangalia tulipoangukia, nakuuliza maswali yafuatayo kama nyyumbani kwako utakuwa kishimbusi cha DSTV.

Je, uliwahi kuona logo ya PG 12, PG 13, P14? (parental guidance)
Kamauliwahi kuona ,uliwahi kujiuliza kwa nini imewekwa?
Unafahamu wajibu wa sera ya madili kwa wanaonesha maudhui kwenye TV au redioni?
Je, wanafunzi kwenye muda wa likizio au mapumziko kuna sheria inawakataza kucheza/ au kucheza muziki?
Je, kwa nini watoto wale hawachezi muziki ule kanisani au msikitini??????
Je, ni halali kumvua cheo cha uprofesa mh. mkenda kwa sababu wanafunzi wengi walifeli somo analofundisha aua wanfunzi aliowafundisha wamekuwa mafisadi?
Nijibu haya nikutajie IQ yako

chanzo cha watoto kucheza muziki kimeanzia kwenye udhaifu wa udhibiti maudhui ya rika uliofanywa na TCRA na BASATA na Wizara ya Jinsia na wiZARA ELIMU KUKOSA MIIONGOZO ya UPIGAJI MUZIKI SHULENI. Kama tungekuwa muongozo DJ asingepiga muziki ule shuleni.

mzazi unao wajibu wa kuzuia chaneli zipi mwanao atazame jukumu la kulea ni la kwako na sio mwalimu.
 
Yaani waziri anaongea utadhani amekunywa bia bingwa. Mamlaka za uteuzi zimwangalie kwa jicho la pili huyu mtu
 
Ndiyo wameaanza mashuleni
Mambo ya kuwapeleka mashuleni wakina j lokole waache

Ova
TCRA ,BASATA watoe maelekezo kwa wamiliki wa wa TV na Rediio wadhibiti maudhui yasiyofaa kwa watoto, mzazi awekewe pg kwenye channel ili uamue kwa hiari yako waangalie maudhui ya wakubwa waangalie maudhui ya watoto wenzao
 
@Mkenda
 
Kosa la Mwalimu ni kutochuja. Ni kweli dunia ni jalala lakini kuna nafasi ya kuchuja kipi ni kipi. Huwezi ukasema kwa sababu mtoto(mwanafunzi) 'ameruhusiwa' na wazazi wake kufanya ngono basi ni ruksa pia kwa Mwalimu kufanya nae ngono.

Samahani kwa mfano mbaya.
Nipo pamoja na waziri.
 
hoja yako nzuri sana, tena sana lakini ni nzito kuliko uzito wa hoja tunayoijadili tumfukuze sheikh msikitini asiswalishe kwa sababu muumini wake amekamatwa anaiba? na huy naye atakuwa hajachuja waumini wa kuwafundisha dini? tuwaache walimu kila mzazi awajibike aangalie watoto wake wanatizama nini kwenye luninga? hapo vipi tuendelee na waziri au tubaki na walimu
 
Kama Shehe(Mchungaji) ameshiriki kwenye huo 'ukibaka' wa huyo kibaka kwa nini asifukuzwe?
 
Kama Shehe(Mchungaji) ameshiriki kwenye huo 'ukibaka' wa huyo kibaka kwa nini asifukuzwe?
walimu wameshiriki vipi kufundisha watoto shairi la zuchu ubeti kwa ubeti, ukitizama video watoto wanaimba bila kukosea ubeti hata mmoja. Muziki ni sehemu ya michezo wewe graduation ngapi watoto wanacheza nyimbo za hovyo Tanzania nzima , tuwaache walimu wazazi tulee watoto wetu hiyo ni reflection kwamba wazazi wa kitanzania hatuzingatii watoto wanajifunza nini kwenye tv. Katika mfano wangu wa sheikh namaanisha sheikh aliyenyooka na hawa wlimu wamenyooka wao walikuwa wanacheza na watoto kama sehemu ya michezo na muziki ni michezo
 
Haya maisha ni kama kucheza mpira uwanjani,mwenzako akipuyanga wewe chap sana rekebisha kosa lake ili msifungwe. Mzazi kashindwa kulea mwanae nyumbani mimi Mwalimu nitamlelea mwanae shuleni.
Nafasi ya kumkaba Shetani ikipatikana ni anakabwa hadi koromeo liwake moto[emoji120]
 
Walimu kwa nafasi yao walitakiwa waoneshe kuchefukwa na huo wimbo kichefuchefu na sio kuulamba[emoji120]
 
Hao watoto watapoteza Usichana / bikra zao mapema sana
 
Kabisa mkuu. Waziri kashughulikia tulipoangukia badala yatulipojikwaa. BASATA wapo na wanabariki nyimbo hizi kusikika na kuchezwa kwenye vyombo vya habari na si hao waalimu wakuu.
Kitu ambacho mnashundwa kukiona ni kwamba mawaziri wawili Prof Mkenda na Dr Gwajima wametuma ujumbe tosha kwa BASATA, na pia kwa Waziri mwenye dhamana na BASATA, kwamba wameshindwa kutimiza wajibu wao hivyo wao wameamua kuwasaidia kuifanya hiyo kazi. Huwezi kuruhusu nyimbo za kijinga kabisa kuchezwa mashuleni, ambapo walau tunategemea kutusaidia kujenga maadili bora kwa watoto wetu, kwa sababu wazazi walio wengi, hasa wazazi vijana ambao wanazalishana hovyo hovyo na tena bila malezi mazuri ya pamoja (wazazi wote). Hizo nyimbo zikapigwe huko Bar ili walevi washikane vizuri viuno na wahudumu wa Bar au madada poa, na siyo kuziruhusu mashuleni. Halafu walimu wa siku hizi hawajui hata kufundisha wanafunzi nyimbo za hamasa, upendo, bidii ya masomo na kazi nk kazi yao ni kuweka flash kwenye Subufa na kupiga haniiiii haniiiii... biunoo biunoooo daaah aiseeee...
 
Yaani ni kichefuchefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…