Waziri Mkuu aelezea ubadhirifu wa mamilioni uliofanywa Bohari ya Dawa (MSD), asema ataenda akiongozana na Polisi na TAKUKURU

Chanzo cha tatizo letu ni ujinga uliochanganyikana na umasikini kwa viongozi wetu, ndio maana matatizo ya hili taifa hayaishi.
 
Chanzo cha tatizo letu ni ujinga uliochanganyikana na umasikini kwa viongozi wetu, ndio maana matatizo ya hili taifa hayaishi.
Matatizo yanaanzia chini kushuka chini, hakuna mtu anaweza kujiamini akaiba kama watawala hawaibi
 
Vipi wale jamaa wa BOT waliojilipa posho za kufulu.. Majalliwa alienda pale... Je walichukuliwa hatua????
 
Uzuri ni kwamba serikalini wakishabaini hayo hakuna action yoyote inayochukuliwa kwa waliohusika

Iligundulika stendi ya mabasi pale Kibaha ilikuwa chini ya kiwango na haikuzinduliwa lakini hadi leo inafanya kazi na waliopiga ndio wanatutimulia mavumbi na magari yao ya kifahari

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Huyu abdul unayemzungumzia hapa ndio huyu mtoto wa Mama Samiah Hassan, naona watoto wa vigogo wakiendelea kubebwa na Wazazi wao kujinufaisha wao wenyewe. Hatari sana hii
 
Huyu abdul unayemzungumzia hapa ndio huyu mtoto wa Mama Samiah Hassan, naona watoto wa vigogo wakiendelea kubebwa na Wazazi wao kujinufaisha wao wenyewe. Hatari sana hii
Jamaa wamejipanga kula nchi vizuri sn
 
Huyu abdul unayemzungumzia hapa ndio huyu mtoto wa Mama Samiah Hassan, naona watoto wa vigogo wakiendelea kubebwa na Wazazi wao kujinufaisha wao wenyewe. Hatari sana hii
Yupo Dubai huyu habari zake na ushiriki wake kwenye zabuni za mafuta tunazo. Hii Nchi ina laana. Yaani ukiondoa watoto wa Nyerere, Marais wote waliofata ni wapiga dili tu wao na familia zao tofauti ni kiasi cha upigaji tu (Mfano Mkapa alijiuzia mgodi wa kiwira, kikwete na ishu ya escrow, magufuli na ununuzi wa ndege bila uwazi uwanja wa ndege chato) sasa tuna abdul mtoto wa samia.
 
Jana tarehe 05 Mei, 2022 Mhe. Waziri Mkuu akiwa katika kongamano la Maafisa Manunuzi aliongelea hali ya ufisadi katika manunuzi yaliyofanyika MSD. Kwa wapenda uwajibikaji...

Hata kama ni kupiga tupige pole pole huu ni urafi.
Wote hawa ni dini moja lakini Ijumaa utawakuta sehemu fulani wanajifanya watu wa Mungu
 
Daaaa mambo yaenda mbio sana acha tupate yajayo...
 
Huyu hua simuamini.

Alituambia August 2019 SGR itaanza kazi ! ikapita.

Mara tena April 2022 napo kimya.

Magufuli yuko fit anachapa kazi , ghafla kafariki.

Akasema tena mazishi ya Magufuli yametazamwa na watu billion 3 duniani kwenye TV.
 
Huyu hua simuamini.

Alituambia August 2019 SGR itaanza kazi ! ikapita...
Huyu mzee mwaka 2017 nilikutana naye live kwenye mambo fulani kumwangalia kichwani amepaka dawa nyeusi ilikuonekana nywele nyeusi mademu wasijue kama anamvi, kuanzia hapo nilimdharau sn, nikajiuliza nchi inamatatizo mengi hivi anapata wapi muda wa kwenda salon kila siku? ni mtu wa ajabu sn na muongo
 
Yeye kazungumzia MSD kama unayo ya Tanroad weka hapa majungu hatutaki naona mmeanza kutumika kwa ajiri ya 2025 mmeanza mapema sana kuchafua watu
 
Sasa mkuu kwenye 300B ukitoa 17B unahasara gani? na bado una room ya kuendelea kuiba mali za umma
Ukiangalia ile kesi kule Mahakama ya usuluhishi ( ICSID) kulikuwa na grounds zote sisi kama Nchi kukata rufaa na kushinda kwa sababu wakati tunavunja mkataba na SYMBION tuliwataka waache kututoza capacity charges kwenye umeme wao kwa kuwa katika muda ule mitambo yetu ya gesi ya Kinyerezi ilikuwa ina uwezo wa kutupa umeme wa kutosha bila hata kununua ule wa Symbion. Wao wakakataa ndio Magu akaamua kuvunja mkataba. Kisheria tulikuwa na haki, Serikali ilitakiwa kusimamia maslahi mapana ya kesi hii na sio kulipa Symbion chapu na haraka.
 
Katelefoni mwongo jamani, yaani majaliwa kajaliwa huyu baba kwa fix fix. Akiongea kama mtu kweli
Ukimuona anapoongea utasema kiongozi si ndiyo huyu kumbe Mungu wangu ni bogasi la kutupwa. Halafu kuna mtu tunaambiwa anaupiga mwingi wakati wizi umetamalaki kila kona hivi vigezo vyetu vya kuwapima viongozi viko anti clockwise mbona kama sielewi??!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…