Waziri Mkuu aelezea ubadhirifu wa mamilioni uliofanywa Bohari ya Dawa (MSD), asema ataenda akiongozana na Polisi na TAKUKURU

Waziri Mkuu aelezea ubadhirifu wa mamilioni uliofanywa Bohari ya Dawa (MSD), asema ataenda akiongozana na Polisi na TAKUKURU

Hii nchi kuna haja watu wenye uchungu nayo waichukue, yaan wakat wananchi tunakamuliwa kwenye mafuta kuna waziri yeye anasubiria mgawo wake wa dili ndo maana Panya Road nao wameona wale Kwa namna Yao.
 
Huyu mzee mwaka 2017 nilikutana naye live kwenye mambo fulani kumwangalia kichwani amepaka dawa nyeusi ilikuonekana nywele nyeusi mademu wasijue kama anamvi, kuanzia hapo nilimdharau sn, nikajiuliza nchi inamatatizo mengi hivi anapata wapi muda wa kwenda salon kila siku? ni mtu wa ajabu sn na muongo
Uwoya na Shishi wangeishi je?
 
Yeye kazungumzia MSD kama unayo ya Tanroad weka hapa majungu hatutaki naona mmeanza kutumika kwa ajiri ya 2025 mmeanza mapema sana kuchafua watu
Wewe unataka ushahidi gani?
CAG REPORT INATOSHA!!!
 
Huyu hua simuamini.

Alituambia August 2019 SGR itaanza kazi ! ikapita.

Mara tena April 2022 napo kimya.

Magufuli yuko fit anachapa kazi , ghafla kafariki.

Akasema tena mazishi ya Magufuli yametazamwa na watu billion 3 duniani kwenye TV.
Hivi issue yake ya magari chini ya miaka 10 kutongizwa nchini iliishia wapi?
 
nasubiri kwa hamu kubwa hapo kwenye kupanda kwa bei ya mafuta maana its a global issue
 
Nchi yangu Tanzania inaisha, yaani huyo Abdul km rizmoko enzi za mshua wake.
 
Duh! Sasa naona waTZ wanaona mbali mno! Hivi huu ulaji tunaupatia dawa gani hasa ili tuutumie muda wetu adhimu kwa mambo chanya? Kwa kauli moja, nini kifanyike sasa !
 
Huyu abdul unayemzungumzia hapa ndio huyu mtoto wa Mama Samiah Hassan, naona watoto wa vigogo wakiendelea kubebwa na Wazazi wao kujinufaisha wao wenyewe. Hatari sana hii
Kuwaweka akina Ritz1 kwenye uwaziri itakuwa ni jinsi ya kuhakikisha wa awe pia wanakula. Hapo ndipo ninapommiss JPM.
 
Yeye kazungumzia MSD kama unayo ya Tanroad weka hapa majungu hatutaki naona mmeanza kutumika kwa ajiri ya 2025 mmeanza mapema sana kuchafua watu

Mkuu hao unaosema wanachafuliwa umejiridhisha ni wasafi? Maana mtu anaingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi, unapata wapi nguvu ya kumtetea kuwa ni msafi?
 
Kuwaweka akina Ritz1 kwenye uwaziri itakuwa ni jinsi ya kuhakikisha wa awe pia wanakula. Hapo ndipo ninapommiss JPM.

JPM mmiss ww, yeye aliwadhibiti Msoga line, lakini akajaza sukuma gang kwenye ulaji. Yeye JPM alifika mbali akawa hataki hata uhuru wa vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom