OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
katika kunogesha embu gusia jinsi jiwe alivyotia mimba waziri wakeKiongozi ni kioo cha jamii kama yupo serious anapata wapi muda wa kukaa salon? shidanisha hata na mumeo mm sihusiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katika kunogesha embu gusia jinsi jiwe alivyotia mimba waziri wakeKiongozi ni kioo cha jamii kama yupo serious anapata wapi muda wa kukaa salon? shidanisha hata na mumeo mm sihusiki
Uwoya na Shishi wangeishi je?Huyu mzee mwaka 2017 nilikutana naye live kwenye mambo fulani kumwangalia kichwani amepaka dawa nyeusi ilikuonekana nywele nyeusi mademu wasijue kama anamvi, kuanzia hapo nilimdharau sn, nikajiuliza nchi inamatatizo mengi hivi anapata wapi muda wa kwenda salon kila siku? ni mtu wa ajabu sn na muongo
Sikuwepo na sina ushahidi wewe ambaye ulishuhudia ndiyo utoe utuelezekatika kunogesha embu gusia jinsi jiwe alivyotia mimba waziri wake
Kumbe?Uwoya na Shishi wangeishi je?
Mzee mshamba sana huyoKumbe?
Ni mzizi snMzee mshamba sana huyo
Wewe unataka ushahidi gani?Yeye kazungumzia MSD kama unayo ya Tanroad weka hapa majungu hatutaki naona mmeanza kutumika kwa ajiri ya 2025 mmeanza mapema sana kuchafua watu
Hivi issue yake ya magari chini ya miaka 10 kutongizwa nchini iliishia wapi?Huyu hua simuamini.
Alituambia August 2019 SGR itaanza kazi ! ikapita.
Mara tena April 2022 napo kimya.
Magufuli yuko fit anachapa kazi , ghafla kafariki.
Akasema tena mazishi ya Magufuli yametazamwa na watu billion 3 duniani kwenye TV.
kwani sisi tulikuwepo Kassim alipopoka nywele blackSikuwepo na sina ushahidi wewe ambaye ulishuhudia ndiyo utoe utueleze
Hawataki hata nguruwe wala mbwa kukatiza walipo!Wote hawa ni dini moja lakini Ijumaa utawakuta sehemu fulani wanajifanya watu wa Mungu
Kuwaweka akina Ritz1 kwenye uwaziri itakuwa ni jinsi ya kuhakikisha wa awe pia wanakula. Hapo ndipo ninapommiss JPM.Huyu abdul unayemzungumzia hapa ndio huyu mtoto wa Mama Samiah Hassan, naona watoto wa vigogo wakiendelea kubebwa na Wazazi wao kujinufaisha wao wenyewe. Hatari sana hii
Yeye kazungumzia MSD kama unayo ya Tanroad weka hapa majungu hatutaki naona mmeanza kutumika kwa ajiri ya 2025 mmeanza mapema sana kuchafua watu
Kuwaweka akina Ritz1 kwenye uwaziri itakuwa ni jinsi ya kuhakikisha wa awe pia wanakula. Hapo ndipo ninapommiss JPM.