Willy Johnson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 316
- 156
Eti nataka kujua matumizi wakati fedha haijatumika eti nawewe unajiweka kundi la walipa kodi???Wewe ni mpumbavu sana, kajifunze jinsi ya kuandika na kutamka maneno!
Sihitaji mjadala na wewe mpuuzi, sawa..?
You mean, PM ame save buku tu. Oooh ame save Elfu moja tu!!!!!!Umbali wa kutoka Goli moja la mpira wa miguu hadi goli lingine kisha ukarudi hata kama ni kwa gari utatumia mafuta ya Tshs ngapi??
Labda tuanze hesabu zetu kwa style hii. Tufanye makisio/assumptions zile gari za msafara wa Waziri Mkuu zinaenda kilometa 7 kwa lita 1 ya mafuta. Na tufanye labda kila lita 1 inauzwa Tshs 2,000. Kwa hiyo kwa afuta ya Tshs 2,000 ambayo ni lita 1 zitaenda umbali wa kilometa 7.
Sasa basi kilometa 7 hizo ni sawa na mita 7,000. Kwa hiyo mafuta ya Tshs 2,000 ambayo ni lita 1 yanaweza kwenda umbali wa mita 7,000. Ndio kusema kwamba kila Tshs 1 inayotumika kwenye mafuta ina uwezo wa kuifanya gari iende mita (7,000 / 2000) = mita 3.5.
Au pia unaweza kusema kila mita 1 ina uwezo wa kuchukua mafuta ya Tshs 2000/7000 = Tshs 0.28. Yaani gari hizi kila zikisogea umbali wa mita 1 zinakua zimekula mafuta ya Cent 28. Na kama zitasogea umbali wa mita 200 basi zitakula mafuta ya Cent 28 x 200 ambayo ni kiasi cha Tshs 57.
Hizi gari kama ziko 7 basi tufanye zinakula mafuta ya Tshs 57 x 7 = Tshs 400 kwa zote saba kutembea umbali wa mita 200. Na kama zitarudi jioni basi itakua ni ara mbili ambayo inafikia Tshs 800. Labda tuseme na sababu zingine zingine basi zinakula mafuta ya Tshs 1,000 jumla kwa safari ya kwenda kumpeleka PM na kurudi nae jioni kwa siku moja.
Ili Msafara huu uweze kuokoa tuseme kiasi cha Tshs 1illion tu kwa hesabu hizi za Tshs 1,000 kwa siku basi inatakiwa uwe umetembea siku zipatazo (Tshs 1,000,000/ Tshs 1,000 kwa siku) = siku 1,000. Yaani PM akifanya misafara au siku 1,000 inayookoa Tshs 1,000 kwa siku ndio atakua ameokoa kiasi cha Tshs 1,000,000. Sasa hizo "mamilioni" zilizookolewa sijui itakua ni siku ngapi.
Mi naishia hapa, ila hizi hesabu zina assumptions zake mbalimbali, na pengine zinaweza kukuchanganya kama kwako hesabu ni tatizo.
Punguza povu kidogo mkuu.Hizi chuki zisizokua na mantiki zinaleta matatizo ya moyoIsichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache.
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?
Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.
kwa maskini shilingi anayokoa kwenye matumizi kwake haina maana lakini kwa tajiri kila shilingi INA maana sana akiokoa hata shilingi moja hujisikia vizuri.sio ajabu ndio maana kuna maskini wengi wewe ukiwemo sababu hujali thamani hata ya shilingi moja iliyookolewa kwa waziri mkuu kutembea kwa miguu.ulofa wako hauji kukutoka hadi uje ujue thamani ya shilingi hata mojaWameokoa mil ngapi kwa huo umbali?..mambo ya kijinga nchi hii yanapewa nafasi sana!!..wao waseme ukweli tu kwamba farasi wamempanda kinyume..hali ni mbaya...
Mwalimu Nyerere alikuwa binadamu huenda wa tofauti sana.Alilima mpaka mashamba akiwa Rais alipokuwa akienda butiama.Leo mtu kutembea umbali wa viwanja viwili vya mpira ni jambo kuu.Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache.
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?
Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.
Nikipunguza povu nguo hazitatakata BTW jaribu kusoma tena kwa makini nilichoandikaPunguza povu kidogo mkuu.Hizi chuki zisizokua na mantiki zinaleta matatizo ya moyo
Umekasirika majaliwa kutembea kwa miguu?
Umekasirika hakuna kilichookolewa?
Au tu hukuipenda habari kutangazwa
...Ukizingatia Muheshimiwa ni Mwana Sipoti. Kocha wa Soka huyo!Ndiomaana mimi wakati mwingine sitakagi kuongea.
Sasa mtu kama katembe kutoka mwisho wa uwanja wa mpira na katembea hadi kwenye goli lingine na kuludi ndio iwe gumzo!
...Mita 200 "yameokolewa" MAMILIONI...Ni Kiasi GANI "kinapotea" Pale Magari 6, yanapomupeleka JNIA akiwa anaelekea Dodoma, kisha "kukata mbuga" chini kwa chini "kumufwata" huko, "kumuhudumia" na kisha, baada ya kumpeleka tena Uwanjani, "yanachanja" mbuga kurudi Sadalamu....?Ameokoa kiasi gani? acha mbwembwe
Sifa za kijingaIsichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi.
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha Waziri Mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-Ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache.
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita.
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?
Hii breaking news imeniacha na maswali mengi.