The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
hivyo viberenge vina faida sawa hatukatai lakini faida zake na hasara zake hazilingani
Faida ni ndogo kuliko Hasara, pm akomae kuhakikisha no viberenge milimani,watu wapande
kwa miguu TU . Lazima sio ombi na liwekwe hvyo kuingiza utandawazi kwenye natural assets ndio
mwisho wa siku kutakuja leta madhara na majanga,ule ni Mlima na wala sio Ghorofa la posta linalotaka Lift
anae enda kule ajue kabisa anaenda Mlimani na wala haendi kupanda Ghorofa za kule Posta zenye Lift.
Faida ni ndogo kuliko Hasara, pm akomae kuhakikisha no viberenge milimani,watu wapande
kwa miguu TU . Lazima sio ombi na liwekwe hvyo kuingiza utandawazi kwenye natural assets ndio
mwisho wa siku kutakuja leta madhara na majanga,ule ni Mlima na wala sio Ghorofa la posta linalotaka Lift
anae enda kule ajue kabisa anaenda Mlimani na wala haendi kupanda Ghorofa za kule Posta zenye Lift.