Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
itakuwa amepotoshwa,alafu kuhusu ajira kuna mbuga nyingi za wanyama hapa Tz hao wapagazi wanaweza kupelekwa huko na hata ikibidi serikali ijenge viwanda ilivoahidi kwenye kampeni ili hao vijana walio wapagazi wakapeww kazi viwandani hukoHata mimi nimeshindwa kumuelewa, maybe he is misinformed... ona hii cable hapa [emoji116]View attachment 2132980
Wewe ndo unampango wa kuweka hicho kiberenge Hadi umeamua utaweka bei juu Sana? Au unashauri bei iwe juu?
Kuna mambo mengine muda ukifika yatabadilika bila kulazimisha. Kwa sasa tusilazimisheNi Kweli kabisa ndugu yangu
Unfortunately, kuna Waikati hata Punda, ng’ombe na Farasi were means of transport
Tunatakaa treni ili malori yaendelee nk
Things will change and those porters will do better
Una hoja zako au usitishwe kwa hoja za wengine Kiongozi?!Huu mradi usitishwe.
Why can't we think straight??
Hivi tuna matatizo gani jamani.
Kwa sifa za mlima wenyewe, kuna wengi wanaopenda kupanda huko kileleni, lakini wanashindwa kwa sababu mbali mbali. Na wako wanopanda kwa lengo la kufika kilele cha mlima kwa miguu. Nadhani hivyo viberenge ni mradi mzuri utakao ongeza pato la taifa kwenye utalii. Ila hoja kuu hapa nadhani ni namna ya kuendesha mradi wenyewe.Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wadau wanaopendekeza matumizi ya viberenge katika kupanda Mlima Kilimanjaro kutathimini kwa kina mpango huo ambapo ameonyesha kutoridhia mikakati hiyo.
"Nasikia mnataka kuweka kiberenge cha kupanda Mlima Kilimanjaro, mnataka kuua mlima? Mkiweka machuma ya kupanda mlima mtaharibu, nataka mje mseme wapagazi mtawapeleka wapi na hizo ndiyo ajira zao, endeleeni kulijadili hilo mje na sababu zilizo tosha,” amesema Waziri Mkuu.
Ameyasema hayo katika hotuba yake aliyoitoa akiwa Chuo Cha Ushirika Moshi katika kilele cha mbio za Kilimanjaro Marathon mkoani Kilimanjaro, leo Jumapili Februari 27, 2022 alipokuwa mgeni rasmi.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wadau wanaopendekeza matumizi ya viberenge katika kupanda Mlima Kilimanjaro kutathimini kwa kina mpango huo ambapo ameonyesha kutoridhia mikakati hiyo.
"Nasikia mnataka kuweka kiberenge cha kupanda Mlima Kilimanjaro, mnataka kuua mlima? Mkiweka machuma ya kupanda mlima mtaharibu, nataka mje mseme wapagazi mtawapeleka wapi na hizo ndiyo ajira zao, endeleeni kulijadili hilo mje na sababu zilizo tosha,” amesema Waziri Mkuu.
Ameyasema hayo katika hotuba yake aliyoitoa akiwa Chuo Cha Ushirika Moshi katika kilele cha mbio za Kilimanjaro Marathon mkoani Kilimanjaro, leo Jumapili Februari 27, 2022 alipokuwa mgeni rasmi.
Waziri Mkuu yupo sahihi,Utalii wa kupanda mlima Kilimanjaro utakufa.Yuko sahihi kwani uharibifu mkubwa sana wa kukata miti utafanyika, ni wazi kutakuwa na barabara mbili ya kupanda na kushuka, pia muda wa watalii kukaa hotelini utakwisha na ajira za wapagazi zitakoma pamoja na wauza kahawa na vitu vya asili watakosa wanunuzi na mwisho watalii wa mazingira watasusa kuja kutokana na uharibifu utakaofanyika.
Hata mimi nimeshindwa kumuelewa, maybe he is misinformed... ona hii cable hapa [emoji116]View attachment 2132980
Machuma yanashikilia waya zinazoendesha viberenge.upo sahihi,lakini simuelewi PM hoja yake ya kwamba machuma yataharibu mlima
Yeye (au wao) aliposikia vberenge akadhani ni kama vinatumika kwenye reli eg. ktk mashamba ya miwa TPC etc.Mwisho it seems watu hawazijui hizi cable cars/au viberenge na jinsi vinavyofanya kazi.
hapo kuna mawili;Hata mimi nimeshindwa kumuelewa, maybe he is misinformed... ona hii cable hapa [emoji116]View attachment 2132980
We unaamini kweli hajui?PM aelimishwe
Nenda na helikopta au machela.Sasa sie walemavu tunaotaka kufika kileleni mnatuangaliaje