Waziri Mkuu haondolewi kirahisi mnavyodhania. Akiondolewa Baraza la Mawaziri linavunjwa lote

Waziri Mkuu haondolewi kirahisi mnavyodhania. Akiondolewa Baraza la Mawaziri linavunjwa lote

Kama hujaelewa sheria ni debate ya kutafsiri na sio scientific liogope hata neno sheria lenyewe....

Mabishano ya mahakamani sio ya katiba ilivyoandikwa ila tafsiri tofauti with different references na cases...

Dont take it personal

Sorry...
Wewe unaonekana ni mbishi na hupendi kujifunza...huo si usomaji wa sheria, soma kifungu chote. I rest my case [emoji119]


51(2) Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile ndani ya siku kumi na nne, baada ya kushika madaraka yake, Rais atamteua Mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi anayetokana na chama cha siasa chenye Wabunge wengi zaidi Bungeni au kama hakuna chama cha siasa chenye Wabunge wengi zaidi, anayeelekea kuungwa mkono na Wabunge walio wengi kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, naye hatashika madaraka hayo ...

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Waziri mkuu haondolewi kama waziri wa kawaida, kumbuka waziri mkuu anaidhinishwa na kikao kikuu cha bunge, hivo wanaomuondoa waziri ni bunge kwa kupiga kura ya no confidence, au amue yy kujiuzulu lakini kwa njia yyte atakayoachia ngazi waziri mkuu automatic baraza Zima la mawaziri linakuwa limevunjika
Rais anaweza kumuondoa waziri mkuu wakati wowote atakaotaka na bila kutoa sababu zozote. Kwa katiba ya nchi hii ni CAG tu katika mhimili wa serikali ambaye hawezi kuondolewa na Rais bila sababu zilizotajwa na katiba.
 
Kwanini nyinyi wabongo kila kitu mnaona ni mchakato?., Rais kuvunja barazala la mawaziri ni chini ya dakika moja tu na kuunda list nyengine nikupelekewa mchapaji list ya majina tu pale ikulu jioni yake inasomwa habari kwisha, watu wanafanya shughuli zao
Uko sahihi
 
Kuvunja baraza la mawaziri ni kuvunja serikali iliyopo sio jambo dogo kama unavyodhania.

Ingekuwa ni serikali iliyongia madarakani kihalali hapo sawa. Na kwa taarifa yako hakuna umakini huo huko serekalini, mambo mengi yanafanyika kienyeji sana. Kawatafute wajinga wa kuwahadaa kwa hii porojo yako.
 
Raisi ana uwezo wa kumpa ubunge mjinga yeyote anayemtaka kisha akampa uwaziri...

Ongeza ujuzi boss kwa free...

Nikupe references za waliopewa ubunge na uwaziri?
... waziri mkuu sharti atokane na wabunge wa majimbo; ndivyo isemavyo katiba.
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Sasa kwani kuvunja baraza la Mawaziri kuna ugumu gani?
 
Assad,alijisahau yy mwenyewe,badala ya kufanya kazi na kuitumikia serikali,itikadi za chadema zikampoteza. Assad ni bavicha kindakindaki
Don't fool yourself. He is professional. Hafanyi kazi kwa mihemko yule.
 
Ingekuwa ni serikali iliyongia madarakani kihalali hapo sawa. Na kwa taarifa yako hakuna umakini huo huko serekalini, mambo mengi yanafanyika kienyeji sana. Kawatafute wajinga wa kuwahadaa kwa hii porojo yako.
Soma katiba ya JMT ibara ya 57(2)(e) acha ubishi wa kijiweni.
 
Kwani kuna mtu anaondolewa? PM haondolewi ila yeye mwenyewe atang'atuka kwa ridhaa yake na hivyo ndivyo mchezo utakavyomalizia.
 
Mnapiga ramli juu ya PM Kassim kuondolewa mnadhania ni rahisi kama mnavyodhania?

Akiondolewa basi mtambue kuwa baraza zima linavunjwa na raisi anateua na kuapisha upya.

Someni ibara ya 57(2)(e) ya katiba ya JMT na muache kukurupuka kupiga ramli za kishamba.
Wakati Lowasa anajiuzulu madaraka ya uwaziri mkuu ulikuwa haujazaliwa?!!!!
 
Mnapiga ramli juu ya PM Kassim kuondolewa mnadhania ni rahisi kama mnavyodhania?

Akiondolewa basi mtambue kuwa baraza zima linavunjwa na raisi anateua na kuapisha upya.

Someni ibara ya 57(2)(e) ya katiba ya JMT na muache kukurupuka kupiga ramli za kishamba.
kwani kuvunja baraza la mawaziri kuna tatizo au ugumu gani.

Hata juzi limevunjwa wakabadilishwa wizara halafu wakaapishwa tena. Kulikua na Nini cha kutisha.Labda ungezungumzia uhatari wa kumwondoa PM ofisini hapo sawa.

Tafuta kingine cha kuongea
 
kwani kuvunja baraza la mawaziri kuna tatizo au ugumu gani.

Hata juzi limevunjwa wakabadilishwa wizara halafu wakaapishwa tena. Kulikua na Nini cha kutisha.Labda ungezungumzia uhatari wa kumwondoa PM ofisini hapo sawa.

Tafuta kingine cha kuongea
Juzi cabinet haijavunjwa. Ni mabadiliko madogo.
 
Siamini kuwa ukisema hivyo umekosea...

Ila akiamua kufanya hivyo kuna utetezi kwakuwa mambo ya sheria yana room ya mijadala na sio science yenye jibu moja.

By the way hii mambo ya Membe kuwa PM ni joke and none serious.
... sawa boss ila huo ndio ukweli na imekuwa hivyo since Mkapa's error; at least to that extent I can remember.
 
Back
Top Bottom