Wamekutwa mule si busara kusema Ngorongoro ni ya wote waondolewe tu kwakuwa sio kwenu wala huhusiki?Napendekeza wamasai wanaoishi hifadhini waondolewe, kuna competition kubwa ya chakula na maji kati ya wanyama pori na mifugo ya wamasai, idadi ya wakazi inaongezeka Kwa Kasi wakati eneo la hifadhi haliongezeki.
Tanzania ni kubwa wapelekwe sehemu nyingine na kupatiwa mahitaji yote muhimu kama malisho, maji ya uhakika, huduma ya afya, shule.....Ngorongoro sio ya wamasai peke Yao ni ya Watz wote...
Wamasai wanaweza kuhamia hata kariakoo, wanyamapori hawawezikwanini msi waondoe hao wanyamapori na kuwaachia wamasaai hayo maeneo yao ya asili ya loliondo na ngorongoro??
Hao wamasai wa zamani, wa siku hizi wanakula chipsSuala la Ngorongoro lina pande mbili.
1. Wanaoamini wanyama, binadamu, na mifugo, wanaweza kuishi pamoja.
2. Wanaoamini wanyama, binadamu na mifugo hawawezi kuishi pamoja.
Jamii ya Wamaasai walioko Ngorongoro walihamishwa toka maeneo ya mbuga ya Serengeti wakati wakoloni walipoamua Serengeti iwe hifadhi ya taifa.
Wamaasai wa Ngorongoro wamekuwa wakiishi na wanyama na kulisha mifugo yao bila matatizo kwa muda mrefu sasa.
Jamii hiyo ina uzoefu mkubwa wa kujua majira mbalimbali ya ukuaji na upatikanaji wa malisho na movement za wanyama kulingana na misimu ktk mwaka.
Kwa mfano majira ambayo nyumbu wengi huzaliana Wamaasai wanajua wapi pa kwenda kulisha mifugo.
Pia msimu wa nyumbu kuhama kwa makundi makubwa Wamaasai hujua jinsi gani na eneo gani wanaweza kuchunga mifugo.
Zaidi Wamaasai wanajua jinsi ya kutunza maeneo ya malisho. Kuna msimu wa kuchoma majani ili kuzuia magugu mabaya yasiote na kutoa nafasi kwa malisho mazuri kumea.
Zoezi la kuchoma moto maeneo ya Serengeti na ktk hifadhi hufanywa hata na serikali / TANAPA.
Kwa kifupi Wamaasai sio maadui wa wanyama au uhifadhi hapa Tanzania. Kinachotakiwa kufanyika ni kuwa na utaratibu SHIRIKISHI huko Ngorongoro ili kila upande ufaidike.
Yeye alikuwa anawafurusha wa kando ya barabara na reli, Kila zama na kitabu chakeKipindi cha Magufuli, hakukuwa na hili swala
Chui jike ni mwizi 🤣🤣Waache siasa, Ngorongoro inataka kuporwa na Chui jike na mawakala wake.
Umeandika kwa kuwasifia masai kana kwamba ni watu wenye akili kwelikweli kumbe nusu ng'ombe tu nyieSuala la Ngorongoro lina pande mbili.
1. Wanaoamini wanyama, binadamu, na mifugo, wanaweza kuishi pamoja.
2. Wanaoamini wanyama, binadamu na mifugo hawawezi kuishi pamoja.
Jamii ya Wamaasai walioko Ngorongoro walihamishwa toka maeneo ya mbuga ya Serengeti wakati wakoloni walipoamua Serengeti iwe hifadhi ya taifa.
Wamaasai wa Ngorongoro wamekuwa wakiishi na wanyama na kulisha mifugo yao bila matatizo kwa muda mrefu sasa.
Jamii hiyo ina uzoefu mkubwa wa kujua majira mbalimbali ya ukuaji na upatikanaji wa malisho na movement za wanyama kulingana na misimu ktk mwaka.
Kwa mfano majira ambayo nyumbu wengi huzaliana Wamaasai wanajua wapi pa kwenda kulisha mifugo.
Pia msimu wa nyumbu kuhama kwa makundi makubwa Wamaasai hujua jinsi gani na eneo gani wanaweza kuchunga mifugo.
Zaidi Wamaasai wanajua jinsi ya kutunza maeneo ya malisho. Kuna msimu wa kuchoma majani ili kuzuia magugu mabaya yasiote na kutoa nafasi kwa malisho mazuri kumea.
Zoezi la kuchoma moto maeneo ya Serengeti na ktk hifadhi hufanywa hata na serikali / TANAPA.
Kwa kifupi Wamaasai sio maadui wa wanyama au uhifadhi hapa Tanzania. Kinachotakiwa kufanyika ni kuwa na utaratibu SHIRIKISHI huko Ngorongoro ili kila upande ufaidike.
Kunatakiwa uwiano mzuri kati ya wanyama na binadamuSuala la Ngorongoro lina pande mbili.
1. Wanaoamini wanyama, binadamu, na mifugo, wanaweza kuishi pamoja.
2. Wanaoamini wanyama, binadamu na mifugo hawawezi kuishi pamoja.
Jamii ya Wamaasai walioko Ngorongoro walihamishwa toka maeneo ya mbuga ya Serengeti wakati wakoloni walipoamua Serengeti iwe hifadhi ya taifa.
Wamaasai wa Ngorongoro wamekuwa wakiishi na wanyama na kulisha mifugo yao bila matatizo kwa muda mrefu sasa.
Jamii hiyo ina uzoefu mkubwa wa kujua majira mbalimbali ya ukuaji na upatikanaji wa malisho na movement za wanyama kulingana na misimu ktk mwaka.
Kwa mfano majira ambayo nyumbu wengi huzaliana Wamaasai wanajua wapi pa kwenda kulisha mifugo.
Pia msimu wa nyumbu kuhama kwa makundi makubwa Wamaasai hujua jinsi gani na eneo gani wanaweza kuchunga mifugo.
Zaidi Wamaasai wanajua jinsi ya kutunza maeneo ya malisho. Kuna msimu wa kuchoma majani ili kuzuia magugu mabaya yasiote na kutoa nafasi kwa malisho mazuri kumea.
Zoezi la kuchoma moto maeneo ya Serengeti na ktk hifadhi hufanywa hata na serikali / TANAPA.
Kwa kifupi Wamaasai sio maadui wa wanyama au uhifadhi hapa Tanzania. Kinachotakiwa kufanyika ni kuwa na utaratibu SHIRIKISHI huko Ngorongoro ili kila upande ufaidike.
Naam idadi fulani ya Wamaasai (au kitu chochote) sio adui..., ila tatizo ni numbers zikiwa tofauti na sustainability ya ecosystem fulani...Suala la Ngorongoro lina pande mbili.
1. Wanaoamini wanyama, binadamu, na mifugo, wanaweza kuishi pamoja.
2. Wanaoamini wanyama, binadamu na mifugo hawawezi kuishi pamoja.
Jamii ya Wamaasai walioko Ngorongoro walihamishwa toka maeneo ya mbuga ya Serengeti wakati wakoloni walipoamua Serengeti iwe hifadhi ya taifa.
Wamaasai wa Ngorongoro wamekuwa wakiishi na wanyama na kulisha mifugo yao bila matatizo kwa muda mrefu sasa.
Jamii hiyo ina uzoefu mkubwa wa kujua majira mbalimbali ya ukuaji na upatikanaji wa malisho na movement za wanyama kulingana na misimu ktk mwaka.
Kwa mfano majira ambayo nyumbu wengi huzaliana Wamaasai wanajua wapi pa kwenda kulisha mifugo.
Pia msimu wa nyumbu kuhama kwa makundi makubwa Wamaasai hujua jinsi gani na eneo gani wanaweza kuchunga mifugo.
Zaidi Wamaasai wanajua jinsi ya kutunza maeneo ya malisho. Kuna msimu wa kuchoma majani ili kuzuia magugu mabaya yasiote na kutoa nafasi kwa malisho mazuri kumea.
Zoezi la kuchoma moto maeneo ya Serengeti na ktk hifadhi hufanywa hata na serikali / TANAPA.
Kwa kifupi Wamaasai sio maadui wa wanyama au uhifadhi hapa Tanzania. Kinachotakiwa kufanyika ni kuwa na utaratibu SHIRIKISHI huko Ngorongoro ili kila upande ufaidike.
Nakubaliana wamasaai waondolewe Ngorongoro. Leo ukienda kule hifadhini utashangaa wanyama wa kufugwa wanavyozidi kuongezeka kuwazidi wanyama wa asilia. Ngorongoro ni eneo la hifadhi ya Dunia, lazima itunzwe kwa gharama yoyote. Period!!Napendekeza wamasai wanaoishi hifadhini waondolewe, kuna competition kubwa ya chakula na maji kati ya wanyama pori na mifugo ya wamasai, idadi ya wakazi inaongezeka Kwa Kasi wakati eneo la hifadhi haliongezeki.
Tanzania ni kubwa wapelekwe sehemu nyingine na kupatiwa mahitaji yote muhimu kama malisho, maji ya uhakika, huduma ya afya, shule.....Ngorongoro sio ya wamasai peke Yao ni ya Watz wote...
Umeandika kwa kuwasifia masai kana kwamba ni watu wenye akili kwelikweli kumbe nusu ng'ombe tu nyie
Kunatakiwa uwiano mzuri kati ya wanyama na binadamu
Binadamu wanazidi kuongezeka zaidi ya wanyama. Miaka ijayo hakutakuwa na wanyama
Tulia wewe masaai uamuzi wowote utakaofikiwa ni kwa masilahi mapana ya taifa na vizazi vijavyo. Punguza mihemko usije ukakoseamnawafukuza wamasaai toka Ngorongoro na loliondo ambayo ni maeneo yao ya asili waende wapi? mmeisha waandalia sehem ya kwenda? hayoo mahifadhi na mambuga yenu yamewakuta wamaasai apo sasa sijui mnatakaje, waueni sasa mioyo yenu ilizikee
Ukisema na bado ukimaanisha nini? Hiyo ni vita yenu wenyewe kwa wenyewe, yanipasani mimi? Hao wamasai wa Ngorongoro hawajawai chagua upinzani maisha yao yote.Ili awakomoe mataga na sukuma gang eti ee?
[emoji23][emoji23][emoji23]Na bado
Na maneno yakoNiwe makini na nani?
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii iandae semina kwa wabunge wote ili kujenga uelewa wa pamoja kuhusu yanayoendelea katika hifadhi ya Ngorongoro.
Mkuu za siku?Umeandika kwa kuwasifia masai kana kwamba ni watu wenye akili kwelikweli kumbe nusu ng'ombe tu nyie
Kuna ubaya?Na maneno yako
Kamwibia nani? Na kamwibia nini?CChui
Chui jike ni mwizi 🤣🤣