Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
UsimtishieUnaoushahidi? Jaribu kuwa Makini
Mwelimishe awe mzalendo.
Hivi vitisho vitisho ndo vinaiweka serikali kwenye kona ya wqkandamizaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsimtishieUnaoushahidi? Jaribu kuwa Makini
Awe makini kwa lipi Chui jike ni Hatari sana atakula kila kitu huyoUnaoushahidi? Jaribu kuwa Makini
Mkuu kuna ukweli kwenye hilo ila kuna mwamko mkubwa sana katika Jamii ya Wamasai, Uchaguzi (uchafuzi) wa mwaka 2020 waliamua kulinda kura zao na kuna msimamizi alijaribu kuiba kura kwenye kituo kimoja alipelekewa Mkuki....baadaye polisi walikuja kufanya yaoUkisema na bado ukimaanisha nini? Hiyo ni vita yenu wenyewe kwa wenyewe, yanipasani mimi? Hao wamasai wa Ngorongoro hawajawai chagua upinzani maisha yao yote.
Hiyo ni mbwa mwitu wanakulana wenyewe kwa wenyewe na shauri yao.
Is that the end of your thinking capacity? Hayo matatizo ya Ngorongoro yameanza jana?Waache siasa, Ngorongoro inataka kuporwa na Chui jike na mawakala wake.
Is that the end of your thinking capacity? Hayo matatizo ya Ngorongoro yameanza jana?
Chui jike anaitaka ngorongoro thats all.Is that the end of your thinking capacity? Hayo matatizo ya Ngorongoro yameanza jana?
Si ametolewa tayari jela unadhani atarudi shule kurisiti na kwenda kusomea kozi ya hotel management ili akafanye kazi Fountain Hotel kama manager?!Unaoushahidi? Jaribu kuwa Makini
Mbona wananchi wengine huondoka kwenye maeneo yao ya asili inapohitajika kufanya ivyo? Hao wamasai wao ninani wasihame.Kwanini msi waondoe hao wanyamapori na kuwaachia wamasaai hayo maeneo yao ya asili ya loliondo na ngorongoro??
Mimi na wewe tunajua mambo yanavyokwenda..kama ni matatizo ya siku nyingi, basi yalitakiwa yawe yameishatatuliwa.
DaaahSi ametolewa tayari jela unadhani atarudi shule kurisiti na kwenda kusomea kozi ya hotel management ili akafanye kazi Fountain Hotel kama manager?!
Huyo bibi karudi mzigoni tayari na anajipanga kivingine. Tembo na wanyama wengine wanarudi tena hatarini..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
MUNGU baba mpe mzee wetu magufuli uongozi wa malaika ili atulinde raia kutokea Angani.
Umeeleza vizuri sanaa mkuu... Swali tokea miaka hiyoo walipohamishiwa hapo Ngorongoro, ambapo natumai walikuwa wachache na Mifugo yao Michache. Ukichukulia kwamba eneo la NCAA ni lile lile (liko fixed) na kwa hakika hao wamasai watakuwa wameongezeka sanaa je hili si ni tatizo jipya la kugombania fixed resources??Suala la Ngorongoro lina pande mbili.
1. Wanaoamini wanyama, binadamu, na mifugo, wanaweza kuishi pamoja.
2. Wanaoamini wanyama, binadamu na mifugo hawawezi kuishi pamoja.
Jamii ya Wamaasai walioko Ngorongoro walihamishwa toka maeneo ya mbuga ya Serengeti wakati wakoloni walipoamua Serengeti iwe hifadhi ya taifa.
Wamaasai wa Ngorongoro wamekuwa wakiishi na wanyama na kulisha mifugo yao bila matatizo kwa muda mrefu sasa.
Jamii hiyo ina uzoefu mkubwa wa kujua majira mbalimbali ya ukuaji na upatikanaji wa malisho na movement za wanyama kulingana na misimu ktk mwaka.
Kwa mfano majira ambayo nyumbu wengi huzaliana Wamaasai wanajua wapi pa kwenda kulisha mifugo.
Pia msimu wa nyumbu kuhama kwa makundi makubwa Wamaasai hujua jinsi gani na eneo gani wanaweza kuchunga mifugo.
Zaidi Wamaasai wanajua jinsi ya kutunza maeneo ya malisho. Kuna msimu wa kuchoma majani ili kuzuia magugu mabaya yasiote na kutoa nafasi kwa malisho mazuri kumea.
Zoezi la kuchoma moto maeneo ya Serengeti na ktk hifadhi hufanywa hata na serikali / TANAPA.
Kwa kifupi Wamaasai sio maadui wa wanyama au uhifadhi hapa Tanzania. Kinachotakiwa kufanyika ni kuwa na utaratibu SHIRIKISHI huko Ngorongoro ili kila upande ufaidike.
Mbona Ulaya wameendelea bila hata hao wanyama,, China urusi na uturuki Kuna mbuga ngapi za wanyama......Kunatakiwa uwiano mzuri kati ya wanyama na binadamu
Binadamu wanazidi kuongezeka zaidi ya wanyama. Miaka ijayo hakutakuwa na wanyama
Umeenda huko lini????Nakubaliana wamasaai waondolewe Ngorongoro. Leo ukienda kule hifadhini utashangaa wanyama wa kufugwa wanavyozidi kuongezeka kuwazidi wanyama wa asilia. Ngorongoro ni eneo la hifadhi ya Dunia, lazima itunzwe kwa gharama yoyote. Period!!
Umeeleza vizuri sanaa mkuu... Swali tokea miaka hiyoo walipohamishiwa hapo Ngorongoro, ambapo natumai walikuwa wachache na Mifugo yao Michache. Ukichukulia kwamba eneo la NCAA ni lile lile (liko fixed) na kwa hakika hao wamasai watakuwa wameongezeka sanaa je hili si ni tatizo jipya la kugombania fixed resources??