Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aagiza zawadi ya cheni aliyopewa mkewe iuzwe ili kujenga bweni la Wanafunzi Simanjiro


kweli Hatuna maadaili:

1. Cheni Ni ya mke
2. Hajafikisha zawadi
3. Anaigawa

Kwa mamlaka ipi?
 
Huu Ni mfumo dume. Mkufu kapewa Mkewe alafu yeye ndio atanagaze uuzwe? Unafki mwingine bwana!
 
Huu nao ni upumbavu kama upumbavu mwingine.
Nchi iliyomeza matrilioni ya fedha ardhini bado tunaletewa maigizo ya kipumbavu.
Huyo angekuwa na akili angegeuza rasilimali kuwa fedha ambazo zingejenga madarasa bora nchi nzima na si kuchekea pesa za COVID 19
 
Unless it was staged, sisi wanawake tunajijua vizuri sana.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Hakuna rangi Mheshimiwa ataacha kuona. [emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787]
Kama wewe ungekuwa mke wake wiki mzima kulala mzungu wa nne?
 
Huo ni uonevu yaani ameona mwanamke mwenzetu atafaidi sana.
 
Kama wewe ungekuwa mke wake wiki mzima kulala mzungu wa nne?
Si mpaka giza liingie ndo tulale.

Angenipa cheni kabla hatujafika nyumbani.

Cheni yangu ikajengee bweni? Ooliskia wapi Mr Kassim.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…