Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amuagiza IGP Sirro kuwasimamisha kazi Mabosi wa Polisi Mtwara na Kilindi kupisha uchunguzi wa mauaji

Waziri mkuu, Makamu na hata rais ilibidi waandike barua ya kuomba mafao yao kabla ya waziri kunyongwa hadharani
 
System ni pana usishangae ukakuta mjomba shangazi binamu, huwezi kuwagusa.

Hawa akina kasimu amejikaza kisabuni
 
IGP amekosa weledi, alipaswa kuwasimamisha yeye kuonyesha dhana ya uwajibikaji, Ila badala yake anakuja kufundishwa kazi
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Acha kutafuta sifa za kijinga wewe. Tangu lini IGP Sirro awe rafiki na ndugu yako?
 
sirro Mwenyewe anapaswa kutimuliwa
 
Cdm wakiingia mtumba... Siro ataenda zero hamna namna.
Hii PM hawezagi kutake actions mpaka ashurutishwe na prezdaa??
 
Safi sana👏👏

Hivi inawezekanaje Polisi wakiwa watuhumiwa, wajichunguze wenyewe??

Hilo ndilo tatizo la matukio mengi ya Mauaji yanayotokea nchi hii, kutojulikana wahusika

Kwa kuunda Tume huru namuunga mkono kwa asilimia 100 Waziri Mkuu, kuwa amefanya uamuzi wa busara Sana.

Kilichokuwa kikifanyika hapa nchini ni Kesi ya nyani kumpa ngedere aamue!

Hakika Haki isingeweza kupatikana
 
Huyu mtu si ashafika umri wa kustaafu, aombe tu astaafu, Kamishina Awadhi achukue
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Cheo kitamu mzee
Kufunguliwa na kufungiwa mlango
Wa gari si mchezo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…