Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amuagiza IGP Sirro kuwasimamisha kazi Mabosi wa Polisi Mtwara na Kilindi kupisha uchunguzi wa mauaji

Mjomba wa marehemu alie ambatana na mfanya biashara alie uawa na polisi ajihadhari, anaweza mfuata polisi aliejinyonga.
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Siro kuondoka bila waziri wa mambo ya ndani kujiuzuru
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Nyboma, ajiuzulu ale wapi?
 
Cha ajabu Waziri wa Mambo ya Ndani yupo halafu anakuwa hana nguvu ya kuwasimamisha hao mpaka Rais aongee

Hivi hawa watu majukumu na kazi zao na maamuzi yao hawajui?

Nguvu na uwezo wao wa kuamua kitu hawana au huwa wana uoga fulani kwa kukosa confidence?

Hata PM alichelewa sana hili shauri sio lazima Rais aingilie
Hawa watu wanabebana sana mpaka kinyaa

PM hawezi kumuwajibisha Mkuu wa Polisi wanajuana
Hii ndio inafanya watu wengi wakose haki zao hata kama wameuwawa

Rais anaingilia really?
 
Mjinga anangoja hadi aaibishwe
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
 
Nchi ya mauza uza hii. Waziri mkuu mwenyewe pamoja waziri wa mambo ya ndani walipaswa kujiuzulu ama kufukuzwa kazi.

Cha ajabu hata Nyakoro Siro bado IGP wa jeshi la polisi.

Only in Tanzania
Polisi wakifanya ujambazi ajiuzuru waziri mkuu?
Sabaya kafanya ujambazi kala 30, Cha msingi ni kutenda haki kwa Hawa wauwaji wanyongwe ila kama wauwaji wataachiwa Basi inabidi viongozi wawajibishwe.
 
Nchi ya mauza uza hii. Waziri mkuu mwenyewe pamoja waziri wa mambo ya ndani walipaswa kujiuzulu ama kufukuzwa kazi.

Cha ajabu hata Nyakoro Siro bado IGP wa jeshi la polisi.

Only in Tanzania
Kwanini asijiuzulu hangaya mwenyewe?
 
IGP amekosa weledi, alipaswa kuwasimamisha yeye kuonyesha dhana ya uwajibikaji, Ila badala yake anakuja kufundishwa kazi
Unajua kuwa igp hana mamlaka ya kumsimamisha kazi mtu mwenye cheo cha kuanzia superintendent pasipokuwa na kibali cha either Katibu mkuu au Rais,ila tu ana mamlaka ya kumtoa kwenye urpc wake?
 
Nyboma, ajiuzulu ale wapi?
Ndugu yangu Retired Sirro pesa ipo sema tu vile ving’ora vya kusafishiwa njia atavi miss sana ila hakuna namna atake asitake mwezi huu anapumzika rasmi.
 
Samia mwenyewe aliwapiga mkwala watendaji Wake live,kuwa hiki sio kipindi cha kuwajibisha watendaji hata wakikutwa wamekosea inabidi waitwe pembeni,ndipo ahambiwe makosa yake, sasa kwa mwendo huko ninani atasubutu kumsimamisha kazi mtumishi kabla tamko la rais?
 
Unataka yamkute ya Ndungai?
 
Nilitegemea Waziri Mkuu atakuwa na Ujasiri wa kuteua Wajumbe wawili kutoka kwenye Kamati ya Haki na Amani ya Viongozi wa Dini. Awemo Sheikh mmoja na Askofu mmoja ili Ripoti ya hiyo Tume ikubalike, iwe 'credible'.
Kuweka Watumishi wa Serikali pekee kunatia shaka.
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
labda akijiuzuru kuna baadhi ya haki za kimafao anapoteza kuliko akisubiri asataafishwe. umri wake nao umeenda. au wenye uelewa watuambie, manake ukiona hadi maza kasema polisi wajitathimini, ndio lugha yenyewe hiyo kwamba kama usipojitathimini unaweza kufurushwa kinguvu na kwa aibu, sema kwasababu polisi huwa na roho ngumu hilo sio la kuogopa kwao.
 
hakuna kupeleka watu wa dini hapo, kwasababu ukigusa kwenye dini tu itabidi uweke kila dhehebu, hao wawakilishi wa dini usifikiri huwa wanawakilisha kila mtu, mfano , padre akienda pale usije fikiri ananiwakilisha mimi, anawakilisha wakatoliki, bado kuna waprotestanti,wasabato n.k, futa hayo mambo. weka watu wa serikali. ambacho najua huwa kinatokea hapo wataweka mtu wa tiss, jeshi, polisi, mwanasheria,pccb, na wengine kadhaa. na kwenye timu kama hizo hakika huwa wanafanya kazi ya kueleweka kwasababu wao kwa wapo pia huwa wanakaa kwa machale ya kuchunguzana wao kwa wao na kila mtu ana report kwa boss wake hivyo ni ngumu kuconspire kudanganya. hapo najua kuna moto utawawakia hao wakubwa aliowasema baba wa marehemu polisi na hao waliosababisha kifo cha mfanyabiashara. hata hao walioko gerezani kwa tuhuma wakahojiwe vizuri. patachimbika, na waongezewe ulinzi huko gerezani.
 
Nchi ya mauza uza hii. Waziri mkuu mwenyewe pamoja waziri wa mambo ya ndani walipaswa kujiuzulu ama kufukuzwa kazi.

Cha ajabu hata Nyakoro Siro bado IGP wa jeshi la polisi.

Only in Tanzania
Kwa kweli, hili ndilo lilitakiwa kufanyika tena bila aibu.

Ila naye Siro mpaka anaagizwa na kuonyeshwa watu wa kusimamishwa kazi, yeye yuko wapi? Unajua kweli ukisha pigwa upofu wa maono, unakuwa kituko tu.....tujitahidi tusifike huko Wajameni. Tuanzage mapema tu ktk maeneo yetu.
 
Sema mara nyingi hizo tume za PM huwaga haziletagi majibu.Huwa zinaishiaga moja kwa moja.Bora hata zile tume za Amos makala zinaletaga majibu hata kama dhaifu lakini huwa tunajulishwaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…