Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kuwajibika kwa kudanganya Taifa lililokuwa na taharuki kubwa

Mtateseka sana, Tanga walipewa na salamu za Mhe Rais, eti mmesahau!! machadema mnahangaika sana, mjue hapa ni nyundo juu ya nyundo, kwanza mtuache kidogo bado tunaomboleza nyie mnawaza vyeo hovyo kabisa nyie!
Poleni sana wasakatonge,walamba viatu kwa msiba mzito kwenu.
 
Waliogopa. Maana mzee asingependa endapo angepona halafu akute walitangaza anaumwa.



Uoga to such extent?

Inashangaza kama ni hivyo!

Sasa kwanini asingependa wakati ni kiongozi mkuu wa Taifa hili?
 
Uoga to such extent?

Inashangaza kama ni hivyo!

Sasa kwanini asingependa wakati ni kiongozi mkuu wa Taifa hili?
Magufuli maisha yake na family ni siri yake. Ndo maana hata kina Jesca hawapo social media yeyote ile. Watoto wengi wameonekana public kwenye kipindi hiki cha msiba.
 
Hamna lolote! Mnataka kufuta footmark za JPM kwa kumpunguzia mama Samia wasaidizi.....aides

Tunasisitiza big No kwa wanamtandao
 
Kudanganya ni kosa la jinai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…