Kwa nini mradi ulianzishwa kwa complications namna hii? Huu mradi aliyeuanzisha ndiye mwenye makosa. Wengi tulisema hapa kuwa wana-complicate mambo kwa sababu tu ya ufisadi. Nadhani ni enzi za mkwere hizo.Huu mradi walioua ni UDART wenyewe, DART kama msimamizi na NMB kama Fund Manager.
1. UDART alitakiwa kumlipa mwenye mfumo,Maxmalipo hakulipa. Yale mageti yakawa hayana kazi tena maana UDART alikuwa hana access ya kufanya chochote ndio maana akasema ataunda mfumo wake mpya wa tiketi kupitia TTCL nadhani au eGa.
2. DART kama mamlaka ya serikali alikubalije UDART kupiga u-turn na kusema atakuja na mfumo mpya na kuanza kukusanya nauli kweny ndoo (cash) na zikawa haziendi Bank
3. NMB kama fund manager alikubalije kuona account zilizofunguliwa kuendesha mradi zikiwa hazina miamala. Zile account ndio zilikuwa zinatumika kugawa revenues kwa stakeholders wote.
Hata kama alikuwa kwenye mradi kifisadi Mbona aliuendesha vizuri na kisasa mwanzoni?? Mbona huyu ambaye mnadai sio fisadi ndo amefanya mradi ufe???Kisena alikuwa kwenye mradi kifisadi. Hivyo ilikuwa sawa kumuondoa. Labda tuseme hakutafuta solution nzuri.
Sasa mmemuondoa na mradi umewafia. Hiyo ni akili au matope?Ila kumuondoa huyo Kisena ilikuwa sahihi kabisa. Kwanza sehemu yake ni jela.
Ufisadi upi ulikuwepo?? Acheni kuchukia matajiri ndo mana mnakuwa masikini na makapuku milele!Kwa nini mradi ulianzishwa kwa complications namna hii? Huu mradi aliyeuanzisha ndiye mwenye makosa. Wengi tulisema hapa kuwa wana-complicate mambo kwa sababu tu ya ufisadi. Nadhani ni enzi za mkwere hizo.
Alafu baadae wanafukuza kazi vijana wa JKT ambao waliwapa ahadi za kuwaajiri. Magufuli hakuwa na akili kabisa. Ugomvi wake na sekta binafsi ndo umeleta shida kubwa sana ya ajira nchini hapaHata madereva waliokuwepo aliwang'oa akaweka Wanajeshi ( Naweza kuthibitisha ), hapa ameua ajira kwa kuwapa kazi watu wenye ajira mahali kwingine , ana roho mbaya sana
Nilikuwa siamini kwamba kwenye kila analogusa Magufuli huwa ana haribu Ila kwenye Mwendokasi ndo sehemu niliyokuja kuamini kwa Mara ya kwanza!
Kwanza inabidi wote tujiulize mwendokasi ilianzia wapi?
Mradi wa mabasi ya mwendokasi ukianzishwa na kuasisiwa na Rais wa Awamu ya nne. Kwa Jinsi mradi ulivyokuwa umeandaliwa ulitakiwa kusimamiwa na kampuni binafsi na tangu mwanzo ulisimamiwa kwenye mfumo huo. Mradi huu ulikuwa chini ya Kampuni na Kisena na wakati unaanza kila kitu kilikuwa kinaendeshwa katika dunia ya kisasa. Ticket zilikatwa kielectronic na watu waliweka hadi kuwa na kadi ya kutumia mwezi mzima.
Alipokuja Magufuli kwanza alianza ku deal na kisena kwa sababu kisena hakuwa kwenye kundi la watu waliomuunga mkono kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Alimtesa kisena kumpa kesi za uhujumu uchumi na mkewe na baadae kumnyangβanya mradi na hatimaye akaondoa utaratibu wote mzuri uliokuwa umewekwa kwa ajiri ya kuendesha mradi.
Matokeo yake akawapa wanajeshi, na hapo ndo Tatizo lilipoanza. Mradi ulianza kuendeshwa kwa tabia za kiswahili na watu wakaanza kukata ticket kama daladala.
Mradi huu hadi kufikia sasa ulitakiwa uwe umeshaanza kujiendesha kwa faida Ila kwa roho mbaya ya magufuli na tabia zake za kuchukia matajiri ndo amefanya mradi ule uwe kituko na usifike popote.
Polee kisena. Buriani Mwendokasi.
Acha kuzunguka mbuyu. Aliyeua mradi ni Magufuli kwa kuleta ujuaji wake na ugomvi wake na Kisena!Huu mradi walioua ni UDART wenyewe, DART kama msimamizi na NMB kama Fund Manager.
1. UDART alitakiwa kumlipa mwenye mfumo,Maxmalipo hakulipa. Yale mageti yakawa hayana kazi tena maana UDART alikuwa hana access ya kufanya chochote ndio maana akasema ataunda mfumo wake mpya wa tiketi kupitia TTCL nadhani au eGa.
2. DART kama mamlaka ya serikali alikubalije UDART kupiga u-turn na kusema atakuja na mfumo mpya na kuanza kukusanya nauli kweny ndoo (cash) na zikawa haziendi Bank
3. NMB kama fund manager alikubalije kuona account zilizofunguliwa kuendesha mradi zikiwa hazina miamala. Zile account ndio zilikuwa zinatumika kugawa revenues kwa stakeholders wote.
Kupambana na mafisadi ndo unaua miradi na unasababisha Tatizo la ajira?? Hizo ni akili au matope??Iviwewe huyo kisena ujua alicho fanya, ama ulikuwa unakula kwake?
Kushugulika na mafisadi ni moja ya mambo ambayo Magu aliapa kupambananayo mbaka dakika ya mwisho na ndivyo ilivyo kuwa.
Hata ukuwauliza wenzako walio acha unyumbu wakaunga mkono juhudi watakuambia walivutiwa na jinsi Magu alivyokuwa akipambana na mafisadi wahujumu uchumi.
Acha kupambana na marehem mwenzako kashamaliza mwendowake we bado una hasiranae tuliza akili acha kuzeeka vibaya.
Na aliyemuondoa bila kujipanga na hiyo kuleta hasara zaidi sehemu yake ni wapi?Ila kumuondoa huyo Kisena ilikuwa sahihi kabisa. Kwanza sehemu yake ni jela.
Ndio tatizo la kutumia nguvu badala ya akili...unafikia kudeal na watu badala ya issue!Kisena alikuwa kwenye mradi kifisadi. Hivyo ilikuwa sawa kumuondoa. Labda tuseme hakutafuta solution nzuri.
ππππ nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaAcheni Kudemka.
Sio kutumia nguvu sema ndo Tatizo la kuwa na roho mbaya za watu wa nchi jirani BurundiNdio tatizo la kutumia nguvu badala ya akili...unafikia kudeal na watu badala ya issue!
Kazi Iendeleeππππ nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Juhudi gani wakati mwendokasi inajifia?? Ushawai kupanda mwendokasi wewe au ndo unaongea tu kutoka chato?Nyuma ya kisena kuna rizi-1, juhudi kubwa sana zinafanyika kuirudisha miradi ya kifisadi ya kikwete iliyo chinjiwa baharin na makufuli
Ule mfumo kisena aliona aumlipi,ndio akaamua kulikoroga maxmalipo kwa maksudi,matokeo yake ndio haya sasa,anapiga sana pesa yule jamaaHuu mradi walioua ni UDART wenyewe, DART kama msimamizi na NMB kama Fund Manager.
1. UDART alitakiwa kumlipa mwenye mfumo,Maxmalipo hakulipa. Yale mageti yakawa hayana kazi tena maana UDART alikuwa hana access ya kufanya chochote ndio maana akasema ataunda mfumo wake mpya wa tiketi kupitia TTCL nadhani au eGa.
2. DART kama mamlaka ya serikali alikubalije UDART kupiga u-turn na kusema atakuja na mfumo mpya na kuanza kukusanya nauli kweny ndoo (cash) na zikawa haziendi Bank
3. NMB kama fund manager alikubalije kuona account zilizofunguliwa kuendesha mradi zikiwa hazina miamala. Zile account ndio zilikuwa zinatumika kugawa revenues kwa stakeholders wote.