Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
hakuna mahali popote duniani kwenye nchi, ama hata kwenye familia ya mtu yeyote, ambapo hakuna changamoto.Hivi hapa kwetu Changamoto zetu tulishazimaliza ? Mbona kila kukicha mambo yanabadirika sasa from bad to worse.
Baavichaa hawana akili....KWA AKILI HIZI CCM ITATAWALA MILELE,
Hakuna wala hayupo na hatawepo wa kuiondoa ccm milele kwa akili hizi zinazojionesha humu kwenye nyuzi nyingi tu hii ikiwa ni mojawapo
Eti raisi aogopa kwenda un,
Na vijana humu wanarespond kwa mihemko kama yote,
Bado sana,ukombozi umbali sana
Mlomo mrefu umeponza kiwiliwili😝Pole yake bibi kiziwi alijisahau alijua anacheza na mjuu wake bonge mpenda misosi kumbe anahutubia Dunia kupitia taifa letu...angeenda
Acha dharau mkuu😀😀😀
😍😍hakuna mahali popote duniani kwenye nchi, ama hata kwenye familia ya mtu yeyote, ambapo hakuna changamoto.
Na kwasababu ya ubinadamu kamwe hakuna mahali changamoto zitaisha..
tutatatua changamoto hizi na zile, lakini zitaibuka nyingine mpya na zatofauti na ulizozitatua.
na huo ndio ubinadamu 🐒
Jidanganye.....Mlomo mrefu umeponza kiwiliwili😝
Wewe tunakupa hela zetu alafu unatupa mipasho sisi unatujuaa...!Anaogopa kwenda kufokewa na mabeberu
Alienda unakumbuka kipindi kile anaenda na mange kimambi alikuepo kunsapotumi mpka kunsalimia kabisa baadae yule waziri wa mambo ya ndani mvaa miwani akamrudishia passport yake yakibongo kama sikoseihivi hajawahi kwenda US?
😂😂😂Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?
Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.
Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.
Nawasilisha
Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.
Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).
Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.
(mwisho)
Ziko wapi zile 4R acheni mapichapicha 🤣🤣🤣hakuna mahali popote duniani kwenye nchi, ama hata kwenye familia ya mtu yeyote, ambapo hakuna changamoto.
Na kwasababu ya ubinadamu kamwe hakuna mahali changamoto zitaisha..
tutatatua changamoto hizi na zile, lakini zitaibuka nyingine mpya na zatofauti na ulizozitatua.
na huo ndio ubinadamu 🐒
Dr Samia Suluhu Hassan 4Rs theories ndio imelifikisha Taifa kwenye umoja, amani na utulivu uliopo sasa nchini...Ziko wapi zile 4R acheni mapichapicha 🤣🤣🤣
Mnataka kufanya kama ya ebrahim raisi au bwana Ogola wa hapo kenya??? Michezo yenu imeshajulikanaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?
Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.
Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.
Nawasilisha
Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.
Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).
Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.
(mwisho)
Unaumia?we mjinga kwani ujeruman ni mbinguni ?
Hotuba yake ni ya hovyo sana kuwahi kutolewq na rais wa nchi duniani.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?
Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.
Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.
Nawasilisha
Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.
Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).
Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.
(mwisho)
Samia kutokwenda kunahusiana vp na speech aliyoitoa?Chadema wako wapi hapo? Hivi huwa mnaelewa ni kwa kiasi gani MaRais wanakuwa na upinzani wa ndani?