Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kusema leo siku ya 40 ya mwaka mpya anamaanisha nini?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kusema leo siku ya 40 ya mwaka mpya anamaanisha nini?

Natanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.

Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.

Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
Huyu alishasema rais mzima anachapa kazi, wakati rais hoi bin taaban anakaribia kufariki.

Mtu kama huyo unaweza kumuamini?
 
Sijamuona Makamu wa rais leo pale mbele? Natafakari je hakupaswa kuwepo pale leo kama kawaida invyokuwaga?
 
Natanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.

Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.

Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
40 ya Lukuvi na Kabudi
 
Natanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.

Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.

Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
Amemiksi maskini

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ninachofurahi tu ni kwamba hana furaha kabisa.
 
Sijamuona Makamu wa rais leo pale mbele? Natafakari je hakupaswa kuwepo pale leo kama kawaida invyokuwaga?
Nahisi kuna Shida. Hata juzi kwenye Ile report ya maendelei hakuwa na USO ule niliouzoea miaka mingi toka 1990s nilivyomfahamu kwa karibu. Ninakuombea Afya njema mno mno. Ni mwadilifu mno na mchapakazi we can't miss. Tunakuombea Dr. Mpango.
 
Natanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.

Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.

Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
Kachanganyikiwa
 
Inaweza Kuta alikuwa anakesha makaburini kupalilia kibarua chake Cha upm.
 
Naona umecomment vya Arovera bila ya kutafakari.

Hivi ni kalenda gani, iwe ya kiislamu, ya kiyahudi au kibaniyani ambayo ina mwezi wa siku arubaini? Kama amefanya kosa la kutamka ndiyo ahukumiwe kwa kuwa dini fulani?

HAMUWACHI NYINYI YAKHE (kwa herufi kubwa kuweka msisitizo.
Kwani hakuna siku ya 360 ya mwaka mpya?
 
Si turudishe nyuma siku 40 kutoka leo tuone itatua siku/tarehe gani? Huenda ina maana, huwezi jua
 
Back
Top Bottom