Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
yeye ndiyo kavurugwa baada ya kuona Lukuvi anapewa ajira maalum ya kutimiza majukumu ambayo yeye anaonekana yamemshinda.Kassim Anavuruga Upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeye ndiyo kavurugwa baada ya kuona Lukuvi anapewa ajira maalum ya kutimiza majukumu ambayo yeye anaonekana yamemshinda.Kassim Anavuruga Upepo
Walio Wengi Tunangoja Kassim Apishe Akapumzikeyeye ndiyo kavurugwa baada ya kuona Lukuvi anapewa ajira maalum ya kutimiza majukumu ambayo yeye anaonekana yamemshinda.
Huyu alishasema rais mzima anachapa kazi, wakati rais hoi bin taaban anakaribia kufariki.Natanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.
Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.
Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
40 ya Lukuvi na KabudiNatanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.
Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.
Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
Amemiksi maskiniNatanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.
Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.
Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
Sijamuona Makamu wa rais leo pale mbele? Natafakari je hakupaswa kuwepo pale leo kama kawaida invyokuwaga?
Yuko nchini MalawiSijamuona Makamu wa rais leo pale mbele? Natafakari je hakupaswa kuwepo pale leo kama kawaida invyokuwaga?
Yko malawi anamuwakilisha Rais SADCMakamu wa Rais yupo kukagua miche ya miti huko Kigoma.
Nahisi kuna Shida. Hata juzi kwenye Ile report ya maendelei hakuwa na USO ule niliouzoea miaka mingi toka 1990s nilivyomfahamu kwa karibu. Ninakuombea Afya njema mno mno. Ni mwadilifu mno na mchapakazi we can't miss. Tunakuombea Dr. Mpango.Sijamuona Makamu wa rais leo pale mbele? Natafakari je hakupaswa kuwepo pale leo kama kawaida invyokuwaga?
Ooh safi Sana. Nilidhani labda Afya haiko vizuri. Such a humble man.Yko malawi anamuwakilisha Rais SADC
na sijui kwanini hajistukii.Walio Wengi Tunangoja Kassim Apishe Akapumzike
Aione Generali Ulimwengu.Hahahaha unyenyekevu ukizidi huzaa uoga hahahaha
KachanganyikiwaNatanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.
Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.
Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
Udini huyu waziri mkuu. MFYUUUU
Kwani hakuna siku ya 360 ya mwaka mpya?Naona umecomment vya Arovera bila ya kutafakari.
Hivi ni kalenda gani, iwe ya kiislamu, ya kiyahudi au kibaniyani ambayo ina mwezi wa siku arubaini? Kama amefanya kosa la kutamka ndiyo ahukumiwe kwa kuwa dini fulani?
HAMUWACHI NYINYI YAKHE (kwa herufi kubwa kuweka msisitizo.