Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko nje ya nchi, nahisi malawi hukoSijamuona Makamu wa rais leo pale mbele? Natafakari je hakupaswa kuwepo pale leo kama kawaida invyokuwaga?
Hao wote ni makafiri hawana uislamu wowote, ni matapeli na waongo mno.Yeye na hangaya wana taka kuleta u islamic hapa
[emoji23][emoji23]Sasa katika uislam Kuna tarehe 40?
Acha chuki
Bado Amekausha Tu, Wakati Mother Kamtaja Wazi Wazina sijui kwanini hajistukii.
Kama wa kwanza na watatu na watanoYeye na hangaya wana taka kuleta u islamic hapa
Ipo lakini hakuna point ya udini hapo. Huyu yeye amemsema PM kuwa amekosea kwa sababu ya udini.Kwani hakuna siku ya 360 ya mwaka mpya?
Hatareeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inawezekana kwa mujibu wa dini yake leo ni siku ya 40 tangu mwaka mpya uanze.Natanguliza ombi la msamaha kama ilitokea nimemsikia vibaya Mhe. Waziri mkuu wakati akitoa salamu za serikali wakati wa uapisho wa viongozi, ikulu Dodoma leo.
Mhe. Waziri Mkuu amesema leo ni siku ya 40 ya mwaka mpya wakati leo ni siku ya 10 tu.
Je, Waziri Mkuu alikuwa ana maana gani? Je, nimemsikia vibaya?
Kwa namna alivyokuwa serious ,, DaahThe slip of tongue.
[emoji849][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kulingana na dini yake leo ni siku ya 40 tangu mwaka mpya uanze.Wanabodi natumai mko salama!!
Leo waziri Mkuu kastaajabisha umma kwa kusema leo tar 10/1/2022 ni siku ya 40 ya Mwaka mpya huku akiwa serious kabisa!!
Je,, hii siku ya arobaini ya Mwaka Mpya kwa mujibu wa PM inatoka kwenye calendar gani??
Je ,, ni stress na fear juu ya kutumbuliwa kwenye tittle aliyonayo au mambo ya kibinadamu tu au pengine Kuna calendar ya Siri tusiyoijua??
Naomba kuwakilisha!!
Ipo kabisa kidini??Kulingana na dini yake leo ni siku ya 40 tangu mwaka mpya uanze.