Yaani nchi iwe hatarini kwa kifo Cha mpango.

Tuwe serious
 
Rais Samia ahsante kwa kuja kuahilisha ziara yako ya mkutano wa mazingira uliokuwa unafanyika Dubai, ulikuwa ni mkutano muhimu sana lakini kwa mapenzi juu ya watu wako umerudi, lakini Makamu wa Rais bado angefanya kazi hiyo lakini hatumuoni yuko likizo,kama ni likizo si inakatishwa.?
 
Huo Mkutano unaosema aliahirisha ulimalizika Desemba 2, yeye akaondoka Desemba 4. Hapo ameahirisha kitu gani Kaka mkubwa?
 
P.MPANGO
NI MEPITIA ACCOUNT YAKE CJAONA POST TOKA OCT 28
WALA COMMENT YOYOTE KUHUSU HANANG MANYARA
BAADA YA YEYE KUWAKILISHWA NA RAIS WA JUDGES TULIA?
[emoji848]CJUI NINYI WENZANGU MMESHTUKA ?
 
Tunadanganywa kama watoto wadogo, angekuwepo kule hanang kama yu mzima wa afya. Hawasemi ukweli, ingekuwa ulaya na amerika kiongozi upate hata mafua tu umma unatangaziwa kiongozi wao ni mgonjwa na yuko huspitali anapatiwa matibabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…