Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 711
- 683
Angeenda zaidi Kwa kusema yupo wapi na ni jukumu gani alilonalo huko.Nukta pacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angeenda zaidi Kwa kusema yupo wapi na ni jukumu gani alilonalo huko.Nukta pacha
Yaani nchi iwe hatarini kwa kifo Cha mpango.Hivi mlitaka aseme kweli wakati Hali ya usalama wa nchi hajahakikishiwa na vyombo husika? Kutoa taarifa kama ya Jiwe lazima tujihakikishie kuwa usalama upo, mipaka imelindwa vema kiasi kwamba hakuna atakae Leta shida wakati wa maombolezo kama Yale.. Hivo Yeye sio muongo ila anafata protocol.. Mpeni heshima yake... Bwanaaa a![emoji16]
Likewise!Yaani nchi iwe hatarini kwa kifo Cha mpango.
Tuwe serious
Huo Mkutano unaosema aliahirisha ulimalizika Desemba 2, yeye akaondoka Desemba 4. Hapo ameahirisha kitu gani Kaka mkubwa?Rais Samia ahsante kwa kuja kuahilisha ziara yako ya mkutano wa mazingira uliokuwa unafanyika Dubai, ulikuwa ni mkutano muhimu sana lakini kwa mapenzi juu ya watu wako umerudi, lakini Makamu wa Rais bado angefanya kazi hiyo lakini hatumuoni yuko likizo,kama ni likizo si inakatishwa.?
[emoji1787]sehemu ambayo yupo kwa ziara ya kikazi Network inasumbua sana !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sehemu ambayo yupo kwa ziara ya kikazi Network inasumbua sana !
Hamna hoja mbaya hapo nliotoa zaidi ya kuuliza?yupo nje anaendelea na majukumu,mbona hampendi kuwaamini viongozi wenu!!
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Wewe unataka nikwambie umpigie?We unamtaka wa nini?
Ndio ashindwe hata kutypesi wamesema anaumwa na amefanyiwa op anatoaje polee
Ile inaitwa piko,PM mzee wa pikoOgopa sana Mzee anayepaka superblack ili kuficha mvi,mara nyingi huwaga wajanja janja sana na maongo.