Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?




Mimi nashauri Majaliwa asipewe cheo zaidi ya hapa amekuwa kinara wa uongo na mnafiki
 
Ameidharirisha kada ya wavaa sendo[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]
 
Tatizo mnakiherehere sana, Rais wetu mpendwa ni mzima hana tatizo kama viongozi wanavyosema sasa nyinyi mnataka taarifa kutoka kwa nani hebu sema wewe unataka nani atokee akuambie?
[emoji22][emoji22]
 
Mpaka sasa hivi kwa kiongozi mwenye ethics na anayejali heshima yake
Prime Minister, mwigulu nchemba na Albert chalamila walitakiwa wawe wameshamuandikia Madam President mama Samia barua za ku jiuzulu nyadhifa zao zote. Ili kulinda heshima zao na kwa manufaa ya nchi
Period
 
Freedom of speech and transparency hazijawahi kuwa acts of war..... Kule hta Rais wao anachambuliwa nje ndani na media ndio sembuse Rais wa nchi nyingine?
Wewe siyo professional journalist na Wala hujui Mambo ya international relations...hujui kitu...na hujui the concept of war and its sources or causes...hujui kitu..umekalia ushabiki tu...hujui hata maana ya freedom of speech...bill Shaka kama baba akifa na kuanza kuandikwa na kusemwa kwa mabaya utabariki kwa kigezo Cha freedom of speech and transparency...
 
ww ulitaka asemeje kwa mfano?
 
Ila mimi Majaliwa sina imani naye kupewa majukumu ya kuongoza UMMA kama PM,VP kwasababu mnafiki!

Muhammad S.A.W alisema..

"Mnafiki ana tabia tatu, akiongea husema uongo, akiaminiwa hufanya hiyana"..... na sifa nyingine nimesahau
 
Mwanasiasa hata akikwambia Ni usiku usiamwamini ,toka nje angalia Kama kweli Ni usiku...manake anaweza akasema good morning hata Kama Ni saa sita mchana.[emoji850][emoji124][emoji2506][emoji41]
 
jamaa yangu ulikua unahisi kitu gani moyon mwako kilichokupelekea kuyaandika haya
 
Ipo wapi na je mtu binafsi anaruhusiwa kutibiwa hapo?
Nimesikia wanatibiwa viongozi wa juu tu na wana TISS pamoja na familia zao tu.

Sisi wanyonge tutabanana Muhimbili na Hospital zingine za kawaida
 
Ila mimi Majaliwa sina imani naye kupewa majukumu ya kuongoza UMMA kama PM,VP kwasababu mnafiki!

Muhammad S.A.W alisema..

"Mnafiki ana tabia tatu, akiongea husema uongo, akiaminiwa hufanya hiyana"..... na sifa nyingine nimesahau

Ya 3 ni anapoeka ahadi haitimizi[emoji1688]
 
Marehemu alikuwa akisema kwerkwer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…