Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Ila kwa uhalisia kama Rais angekuwa katika hali kama hiyo inayosemwa ni dhahiri kungekuwa na taharuki na isingewezekana kamwe kwa waziri Mkuu kuendelea na ziara kama hizo.

I BET THE PRESIDENT IS FULLY FIT AND FINE

Aisee ndio maana kuna bet hapo
 
Mpaka sasa hivi kwa kiongozi mwenye ethics na anayejali heshima yake
Prime Minister, mwigulu nchemba na Albert chalamila walitakiwa wawe wameshamuandikia Madam President mama Samia barua za ku jiuzulu nyadhifa zao zote. Ili kulinda heshima zao na kwa manufaa ya nchi
Period
Labda walishaandika, utajuaje!!
 
Labda alisema bila kuwa na uhakika. Ila siamini kama yy hakuwa na taarifa za ugonjwa
 
Shoka moja mbuyu chini.

Maswali yalikuwa mengi kuanzia hapa nyumbani, Ubelgiji hadi Canada kwa Lema wote wakihoji alipo Rais Magufuli baada ya kuwa wamemmis sana.

Leo saa 5 na dakika kadhaa Katibu mkuu wa CHADEMA mh J J Mnyika alihoji alipo Rais Magufuli kwa niaba ya kambi ya upinzani.

Na mnamo saa 6 na ushee Waziri mkuu mh Majaliwa alisema Rais Magufuli yupo anaendelea na kazi zake kama kawaida.

Kwa maana hiyo mjadala huu naomba ufungwe na kila mtu akaendelee kuchapa kazi kwani majungu siyo mtaji.

Maendeleo hayana vyama!

Shoka moja mkuu mbuyu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf bana kupata aibu dakika sifur tu
 
Akiongea na wasafi mkuu wa mkoa wa mbeya Albert chalamila amewatoa hofu wana mbeya kuwa mh. Rais yupo poa name anaendelea kupiga kazi kama kawaida na kuwata wana mbeya kuuza habari za waongo na wachawi.

'unavumisha msiba wa rais wewe utakuwa huna akili sawasawa na una roho ya kichawi' amesema mkuu wa mkoa wa mbeya

My take

Kuna watu watakimbia mitandao Leo.


USSR

Huyo tena
 
Back
Top Bottom