Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Yawezekana mshamba ni wewe unayedhani wananchi wote wana hofu kwa kuwa tu wewe na viazi wenzako mna hofu.

Mwanzo mlitaka tamko la serikali. Waziri mkuu kaibuka na kutoa tamko (achilia mbali viongozi wengine wa serikali waliotoa matamko yao akiwamo balozi wetu Namibia ambaye kimsingi alikuwa boss wa TISS hivyo anajua anachoongea).

Baada ya kusikia rais yuko poa nyie nyumbu mmegeuza gia mnataka ajitokeze. Serikali ndiyo inajua namna ya kuendesha mambo yake. Ucheni ujuaji, watafutieni watoto wenu ugali nyie nyumbu.

Kabisa mkuu point hii
 
Mnaumbuka muda si mrefu, sasa ushasema likizo au mapumziko siku 28 sasa hata 20 hazijafika unakuja kuharisha hapa hayo ni mahaba mazito mliyonayo wapinzani kwa JPM.

We jamaaa
 
Kama hauna imani hata nikikuambia utasadiki?
Kuna mambo hayahitaji imani ili kusadiki.
Mtu akishakufa na akathibitishwa na daktari kwamba kweli amekufa, unahitaji imani gani tena ili usadiki kuwa kafa?
 
MATAGA wanasemaji tena, mtu anadanganya watu akiwa msikitini
 
Kuna mambo hayahitaji imani ili kusadiki.
Mtu akishakufa na akathibitishwa na daktari kwamba kweli amekufa, unahitaji imani gani tena ili usadiki kuwa kafa?
Ah mi nilifikiri kusadiki kuhusu kumaliza kazi ama bado.

Hilo la kufa halina mjadala.
 
Wewe ni MJINGA Rais ni Mali ya Nchi sio kikundi cha watu hapo Lumumba...anaendesha maisha yake kwa Kodi zetu ni Amir Jeshi mkuu lazima tujue alipo kama Mgonjwa hawezi kuendelea na kazi. Mola aepushe shari?
 
Samia Suluhu aunde serikali ya umoja wa kitaifa, vinginevyo hali hii itazidi kuwa mbaya sana, mioyo ya watu wengi inavuja damu.

Hapo umeteleza! Ngoja 2025 itakapofika, hakuna dezo.
 
Back
Top Bottom