britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
DahKama kuna kipindi Tundu Lissu ataumbuka basi ni mara hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DahKama kuna kipindi Tundu Lissu ataumbuka basi ni mara hii
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwaiyo alikupa mimba na sasa umemzaa copyright
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?"
Leo asubuhi wakati nakuja huku nimeongea nae kwa simu na ameniagiza niwaambie wana Njombe kuwa anawapenda sana na anawashukuru sana kwa kura nyingi mlizompigia
Kuna wenzetu hawaishi hapa nchini, wao kazi yao ni kutuombea mabaya tu, kupandikiza chuki tu. Sasa unamuombea mwenzako kufa hiyo ni akili kweli?. Nawatoa hofu watanzania, Rais wenu yuko imara anafanya kazi zake kama kawaida za ofisini
Tuhakikishe tunamuabudu Mungu, tunamuomba Mungu katika kila jambo, tunamtegemea Mungu katika kila jambo, hata asubuhi nilivyokuwa natoka Dodoma nimempigia kumjulisha ratiba yangu, hata juzi alikuwa anajua ninakuja akanituma, wasalimie wana Njombe na nilitoa Salam.
Naomba nirudie, kwa salam alizotupa leo kweli wana Njombe, mheshimiwa Rais anawasalimia sana wana Njombe, mheshimiwa Rais anawashukuru wana Njombe.
Awajibishwe law kutudanganya..ametujibu kunya sanaWaziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?"
Leo asubuhi wakati nakuja huku nimeongea nae kwa simu na ameniagiza niwaambie wana Njombe kuwa anawapenda sana na anawashukuru sana kwa kura nyingi mlizompigia
Kuna wenzetu hawaishi hapa nchini, wao kazi yao ni kutuombea mabaya tu, kupandikiza chuki tu. Sasa unamuombea mwenzako kufa hiyo ni akili kweli?. Nawatoa hofu watanzania, Rais wenu yuko imara anafanya kazi zake kama kawaida za ofisini
Tuhakikishe tunamuabudu Mungu, tunamuomba Mungu katika kila jambo, tunamtegemea Mungu katika kila jambo, hata asubuhi nilivyokuwa natoka Dodoma nimempigia kumjulisha ratiba yangu, hata juzi alikuwa anajua ninakuja akanituma, wasalimie wana Njombe na nilitoa Salam.
Naomba nirudie, kwa salam alizotupa leo kweli wana Njombe, mheshimiwa Rais anawasalimia sana wana Njombe, mheshimiwa Rais anawashukuru wana Njombe.
Hawa watu wanakera sana ujueWewe kweli ni mkomavu
AminaKifo unachomuombea mwenzio chaweza kukurudia mwenyewe
Maendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli [emoji173][emoji1241][emoji106][emoji111][emoji120]
[emoji848][emoji848]kweli JPM,ni zaidi ya master.naona BAVICHA wanavyokimbia [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125].kejeli kwisha,matusi kwisha.
Watu pigeni kazi.jpm yuko fiti.
Labda walishaandika, utajuaje!!
Nani mpuuzi sasa? Waliosema ajitokeze au wewe?Asante Mungu mtukufu, serikali imeshasema sasa endeleeni kuongea upuuzi wenu, watu wanaoliombea mabaya taifa letu Mungu awasamehe
Majaliwa mwongo sana kaenda kuzungumza uongo msikini kwa mbwe mbwe na mipasho na vijembe kumbe mtu alikuwa anaumwa kwa zaidi ya miaka 10 kuliko Lowassa waliyesema akienda ikulu atakufa ndani ya miezi mitatu na kuwa ikulu siyo wodi ya wagonjwa wanapeleka jembe wakati huo hayati akija toleo la push ups na kuruka juu ya gari. Mwongo ni mwongo tu hata awe waziri mkuu alichokifanya kimemshushia hadhi sana bora angenyamaza au angeenda kusemea uongo wake kwenye majukwaa yao ambayo huwa wanayoyatumia kutudanganya na kututishia maisha lakini siyo katika nyumba ya ibada. Mbaya sana ile itabaki katika historia haifutiki. Sasa Lowassa yupo fanyeni kikao cha chama kwenda kumuomba radhi maana mlimdhalilisha sana kana kwamba ninyi ni Miungu. Huyo Napemwambieni awahi kuomba radhi hadharani maana ndiye alikuwa anatapika uchuro sanaHakusema hata kama rais anaumwa, alisema ni mzima anachapa kazi. Tumeambiwa alikuwa anaumwa muda mrefu tu.
Waziri Mkuu muongo.Tena kasema uongo msikitini sehemu takatifu kwa mujibu wa imani yake.
tena limejiliza kweli kweli...sidhani kama kuna mtu kalia kama hili jamaa...nadhani nafsi inalisuta sana kwa jinsi lilivyodanganya umma....na inavoonekana lilikua linasikilizia labda mambo yangeenda shwari....maana yamezoea kudanganya....so sad...Afu leo linajiliza
Upo ?Ila kwa uhalisia kama Rais angekuwa katika hali kama hiyo inayosemwa ni dhahiri kungekuwa na taharuki na isingewezekana kamwe kwa waziri Mkuu kuendelea na ziara kama hizo.
I BET THE PRESIDENT IS FULLY FIT AND FINE