Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
Siku zote uongo huwa unapanda lift..ukweli huwa unapanda ngazi..uongo ni rahis kueneo lakin mwisho wa siki ukweli utajidhihiri..kwa mfano kun ukweli unafichwa tena kwa garama kubwa sasa hivi ila mda si mrefu mambo yatakuwa hadharan..nimemshangaa sana Majaliwa jana