Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Wawekezaji njooni tuna umeme wa kutosha

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Wawekezaji njooni tuna umeme wa kutosha

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.

Aidha, Waziri Majaliwa pia ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kuendelea na utaratibu wa kukutana na wizara au taasisi za serikali na binafsi nchini ili kuwahamasisha kununua bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

"Wawekezaji njooni muwekeze Tanzania, tuna ardhi ya kutosha, umeme, barabara, tuna reli ya kati na tunajenga reli ya kisasa, pia tuna ndege 11 na nyingine zinakuja, tunajenga viwanja ya ndege kila mkoa, hivyo tunauhakika wa usafiri," amesema Waziri Mkuu.

Kadhalika, Waziri Mkuu ametoa wito kwa wafanyakazi wa viwanda hapa nchini kuwasaidia wawekezaji hao ili wakuze zaidi biashara zao na wanufaike na uwekezaji huo.
 
WAZIRI PM.jpg

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.

Aidha, Waziri Majaliwa pia ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kuendelea na utaratibu wa kukutana na wizara au taasisi za serikali na binafsi nchini ili kuwahamasisha kununua bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

"Wawekezaji njooni muwekeze Tanzania, tuna ardhi ya kutosha, umeme, barabara, tuna reli ya kati na tunajenga reli ya kisasa, pia tuna ndege 11 na nyingine zinakuja, tunajenga viwanja ya ndege kila mkoa, hivyo tunauhakika wa usafiri," amesema Waziri Mkuu.

Kadhalika, Waziri Mkuu ametoa wito kwa wafanyakazi wa viwanda hapa nchini kuwasaidia wawekezaji hao ili wakuze zaidi biashara zao na wanufaike na uwekezaji huo.
 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.
Hakuna mtu nilikuwa namuamini kama Kassim kumbe na yeye ni ZUZU tu, kwa sasa maeneo mengi ya nchi kuwa na umeme ni anasa halafu anasema tuna umeme wa kutosha
 
PATHOLOGICAL LIAR!
Some of the symptoms of a pathological liar are:
  • they lie to gain something,
  • they exaggerate things,
  • they keep on changing their stories,
  • they live in a false sense of 'reality. '
  • If confronted, they act defensive and never admit that they are liars.
  • Lastly, they hold no value for truth.
 
Back
Top Bottom