Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oia tuna kodi za kutosha sana"Wawekezaji njooni muwekeze Tanzania, tuna ardhi ya kutosha, umeme, barabara, tuna reli ya kati na tunajenga reli ya kisasa, pia tuna ndege 11 na nyingine zinakuja, tunajenga viwanja ya ndege kila mkoa, hivyo tunauhakika wa usafiri," amesema Waziri Mkuu.
SanaUnaonaje baada ya mbaya wako kufariki?
Unainjoi sana ee?
Ndio kwahiyoSi ulifurahia kifo chake?
Sanaaa 🤸🏼♀️Unaonaje baada ya mbaya wako kufariki?
Unainjoi sana ee?
Ulitaka akwambie Rais JPM keshakufa?, vaa viatu vyake uujue ugumu wa kazi anayoifanya."Rais yupo anachapa kazi" mbaya zaid aliongea maneno haya akiwa msikitini kumbe mtu yuko mahutihuti anapumulia mashine alafu eti leo uamini anachokiongea thubutu!!!
Watu walimbeza sana anko kwa kumtumbua January..aya sasa si ndo uyu karudi tena...naam mna unavozidi kwenda ndo tutavozidi kumuelewa ankoWaziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.
Na siku Ile mwisho angesema MAREHEMU anapiga simu sasa hiviNani wa kumuamini mzee wa "Rais ni mzima anachapa kazi,,,,,"
Waje na mafuta yao pia maana tumebaki na stock ya siku 8 tu.Zero brain
Waje na magenerator yao
Mie ninapoishi ni kila siku Hadi nikakumbuka niliwahi kukaa Simuyu umeme unakatika mara 20 Kwa siku.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.