Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Kwa namna yanavyopigishwa kazi, magari hayo yangekuwa yanauzwa kila baada ya miaka miwili wakati bado yanauzika. Tatizo ni utaratibu wa kuuza mali za umma una ukiritimba sana. Na nani atakae yanunua? Ubaya mwingine utakuta hayana bima, kwa hiyo yakipata ajali inakula kwa serikali.
Pengine ingekuwa bora kama wange yakodi kutoka muuzaji kwa makubaliano kuwa kila baada ya miaka kadhaa wanamrudishia na wanapewa mapya. Muuzaji angeweza kuyatengeneza na kuwauzia wengine. Na mpango wa lease unamwachia muuzaji jukumu la service na maintenance.
Amandla...
Pengine ingekuwa bora kama wange yakodi kutoka muuzaji kwa makubaliano kuwa kila baada ya miaka kadhaa wanamrudishia na wanapewa mapya. Muuzaji angeweza kuyatengeneza na kuwauzia wengine. Na mpango wa lease unamwachia muuzaji jukumu la service na maintenance.
Amandla...