stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
huu mradi ungekuaga bonge moja la projectKweli mkuu,
Mradi unaendeshwa kihuni huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu mradi ungekuaga bonge moja la projectKweli mkuu,
Mradi unaendeshwa kihuni huu
Vyema pia hata Kama ni mabovu pia kuyakagua kabla ya kuyauza, unaweza pia kuta yapo Kama mabox tu vipuli vilishachomolewa na kupigwa beiHuu mradi unaendeshwa kipuuzi Sana, inaonekana hata service hawafanyia Hawa
Haiwezekani mradi umeanza 2018 na mabasi 140,
takribani Miaka 2 na nusu TU tangu uanzishwe.
Eti mabasi yamebaki 100 tu ndo yanayotembea, yaani mabasi 40 yako juu ya mawe.
Yaani tayari 1/3 ya mabasi yamekufa, ndani ya Miaka 2 na nusu tu.
Ina maana, wskiendelea kwa trend hii wanayokwenda nayo.
Miaka mitano ijayo kuanzia sasa, mradi utakua hauna Basi ata Moja.
KUNA SHIDA MAHALI
pole mkuu..Anajipendekeza tu. Kila nikiandika anajitokeza.
Amandla...
Huyu PM sijawahi mkubali kama "uwezo mdogo" hivi kwa mujibu wa Profesa.
pole mkuu..
Sasa kama hawapewi pesa ya service na fedha inaingia kwa control number au pos pamoja na sheria mbovu ya manunuzi ambayo inawataka kutangaza tender hata service hata wewe ungeweza? angalia hata TTCL inachehemea kila mwaka shauri ya sheria mbovu ya manunuzi + TEMESAHuu mradi unaendeshwa kipuuzi Sana, inaonekana hata service hawafanyia Hawa
Haiwezekani mradi umeanza 2018 na mabasi 140,
takribani Miaka 2 na nusu TU tangu uanzishwe.
Eti mabasi yamebaki 100 tu ndo yanayotembea, yaani mabasi 40 yako juu ya mawe.
Yaani tayari 1/3 ya mabasi yamekufa, ndani ya Miaka 2 na nusu tu.
Ina maana, wskiendelea kwa trend hii wanayokwenda nayo.
Miaka mitano ijayo kuanzia sasa, mradi utakua hauna Basi ata Moja.
KUNA SHIDA MAHALI
kwa kweli yale maji yanayoingia kwenye ile hub, nina uhakika hata mjerumani angeleta mabasi yake, bado shida ingekuwa pale pale!Michina haina hata miaka mitano, imeshakufa 50
Let's be serious yale magari yametengenezwa China na kwa technology ya General Motors. Yako computerized so yanahitaji advanced maintenance skills. Kama Serikali imeshindwa kuyatumia kwa kuharibika, utamuuzia nani?Waziri mkuu mh Majaliwa ameshauri mabasi mabovu ya mwendokasi ni bora yauzwe kuliko kuyaacha yakioza pale yard
Waziri mkuu amesema hayo baada ya kushuhudia mabasi takriban 50 yakiwa yamelala kabisa kwa ubovu na yakizidi kuchakaa.
Chanzo: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Kutokana na mahesabu ya miradi UDART za 2013, gharama ya tiketi ya Mbezi- Kivukoni - Mbezi (round trip) ilipaswa kuwa Tsh 3,000 au Tsh kwa saffari ya kwenda tu.Waziri mkuu mh Majaliwa ameshauri mabasi mabovu ya mwendokasi ni bora yauzwe kuliko kuyaacha yakioza pale yard
Waziri mkuu amesema hayo baada ya kushuhudia mabasi takriban 50 yakiwa yamelala kabisa kwa ubovu na yakizidi kuchakaa.
Chanzo: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Tangu wachina wajitoe kwenye kuyatengeneza ndio hapo hapo yalifikia mwishoHuu mradi unaendeshwa kipuuzi Sana, inaonekana hata service hawafanyia Hawa
Haiwezekani mradi umeanza 2018 na mabasi 140,
takribani Miaka 2 na nusu TU tangu uanzishwe.
Eti mabasi yamebaki 100 tu ndo yanayotembea, yaani mabasi 40 yako juu ya mawe.
Yaani tayari 1/3 ya mabasi yamekufa, ndani ya Miaka 2 na nusu tu.
Ina maana, wskiendelea kwa trend hii wanayokwenda nayo.
Miaka mitano ijayo kuanzia sasa, mradi utakua hauna Basi ata Moja.
KUNA SHIDA MAHALI
Usitetee kuna wizi wa tiketi pale zinapelekwa kwenye mabox wahunu tuu wale..Kutokana na mahesabu ya miradi UDART za 2013, gharama ya tiketi ya Mbezi- Kivukoni - Mbezi (round trip) ilipaswa kuwa Tsh 3,000 au Tsh kwa saffari ya kwenda tu.
Hiyo ndiyo bei inayoweza kulipa ghharama za uwekezaji, gharama za uendeshaji na riba za Benki.
Mradi ulipoanza ulianza kwa Serikali kuingiza Siasa ndipo UDART wakaambiwa wa charge Tsh 1,300 kwa round trip au Tsh 650/= kwa trip ya kwenda tu.
Gharama kubwa sana ya kuendesha UDART iko kwenye Workshop (Karakana). Karakana siyo revenue centre kama yalivyo mabasi, instead yenyewe ni cost centre. Inakula tu na haizalishi.
Hiyo tofauti ya Tsh 3,000 ya kwenye upembuzi yakinifu na ile Tsh 1,300 ya Serikali ambayo imelazimisha ni Tsh 1,700.
Kwa hiyo kila abiria wa Mwendokasi anakokwenda Kariakoo na kurudi anatengeneza hasara ya Tsh 1,700.
Na hapo ndipo inaonekana mradi hauwezi kugomboa magari 70 ambayo yako TPA kuanzia mwaka 2019 yakisubiri yasamehewe Custom duty na Excise tax. Vile vile ndiyo chanzo cha kushindwa kununua magari mapya.
TUSITAFUTE MCHAWI, SERIKALI NDIYO CHANZO CHA KUDORORA KWA UDART
Alaf atembele kwenye barabaran zip kwa mfano?Auziwe kimbinyiko😂😂
Walioencourage privatization policy sio kwamba walikua vilaza hapana walifanya tathimini ya kina,taasis za serikali hakuna return on investment,ukosefu wa uwajibikaji wenye ufanisi sbb wanaamini hata ukipata hasara serikali itatoa ruzuku na mishahara watapata.Hata hii mindege mnayotetea hakuna ufanisi na usitarajie faida km itaendelea kuendeshwa na serikali kwa 100%.Tatizo Magufuli aliingia madarakan kwa mbwembwe akiamini wengine hawakua na akili kufufua baadhi ya mashirika,alikurupuka mwishowe taifa limepata hasara,vyovyote mtakavyomtetea lakin ameipa hasara nchi kwa kufanya maamuzi ya kukurupuka akiamini yeye ndo alikua na akili mingi kumbe maushuzi tupuUongozi wa mwendokasi unahitaji kusaidiwa
Wawekwe pembeni kidogo