Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
HahaaaaaNamuona
Namuona majinja special akienda yazoa yote kwa milion sabasaba halafu ayamwage Kama daladala
Ndo akili zetu zilipoishiaMichina haina hata miaka mitano, imeshakufa 50
Serikali ya CCM kama biashara ya mabasi ya mwendokasi mmeishindwa hivi biashara ya ndege mtaiweza kweli??
hata chuma chakavu hayafaiWaziri mkuu mh Majaliwa ameshauri mabasi mabovu ya mwendokasi ni bora yauzwe kuliko kuyaacha yakioza pale yard
Waziri mkuu amesema hayo baada ya kushuhudia mabasi takribani 50 yakiwa yamelala kabisa kwa ubovu na yakizidi kuchakaa.
Source ITV habari
Ramadhan Kareem!
Tulihoji humu uimara wa mabasi yale yenye injini nyuma , tukaishia kudanganywaAuziwe kimbinyiko😂😂
Mzee uko vizuri kwa extrapolation😆..!!Huu mradi unaendeshwa kipuuzi Sana, inaonekana hata service hawafanyia Hawa
Haiwezekani mradi umeanza 2018 na mabasi 140,
takribani Miaka 2 na nusu TU tangu uanzishwe.
Eti mabasi yamebaki 100 tu ndo yanayotembea, yaani mabasi 40 yako juu ya mawe.
Yaani tayari 1/3 ya mabasi yamekufa, ndani ya Miaka 2 na nusu tu.
Ina maana, wskiendelea kwa trend hii wanayokwenda nayo.
Miaka mitano ijayo kuanzia sasa, mradi utakua hauna Basi ata Moja.
KUNA SHIDA MAHALI
Nyie machadema ndo mmeyaharibu😂😂Tulihoji humu uimara wa mabasi yale yenye injini nyuma , tukaishia kudanganywa
halafu magari hayo yalikuwa ni used, pili njia za bongo changamoto sana angalia maji jangwani pale!?
Mzee wa used huyo......sumbawanga mojaNamuona
Namuona majinja special akienda yazoa yote kwa milion sabasaba halafu ayamwage Kama daladala
Mabasi ya kipuuzi yale bora wanunue yutong kama za mikoani tu zile 😛 walau watapiga hela au wanunue Hino za mjapani!SGR imekufa hata kabla haijaanza.
ATCL ndege zilizopo haziruki huku tunaendelea kununua nyingine, sio moja. Tatu
Ndege moja tungenunua mabasi zaidi ya Mia mbili
Ile MV Bagamoyo iliyonunuliwa kwa Bei pouwer iko wapi?
We don't have priorities.
Wangenunua HINO za mjapani zingesaidia sana!Michina haina hata miaka mitano, imeshakufa 50
Bakhresa aliutaka huu mradi wakamtosahuu mradi wangepewa watu binafsi waendeshe kibiashara au wengeruhusu wenye daladala kununua share tuone kama kutakuwa na haya mambo, halafu magari hayo yalikuwa ni used, pili njia za bongo changamoto sana angalia maji jangwani pale!?
hivi mtu akinunua atayatumia wapi!?
Muongo huyo vyuma vipya vile na vingine vipo bandari kavu ya ubungoMabasi ya mwendokasi yaliletwa toka mtumbani????!!! mmh
Wakati Kuna dcm za mbagala zipo tangu enzi ya mkapaHuu mradi unaendeshwa kipuuzi Sana, inaonekana hata service hawafanyia Hawa
Haiwezekani mradi umeanza 2018 na mabasi 140,
takribani Miaka 2 na nusu TU tangu uanzishwe.
Eti mabasi yamebaki 100 tu ndo yanayotembea, yaani mabasi 40 yako juu ya mawe.
Yaani tayari 1/3 ya mabasi yamekufa, ndani ya Miaka 2 na nusu tu.
Ina maana, wskiendelea kwa trend hii wanayokwenda nayo.
Miaka mitano ijayo kuanzia sasa, mradi utakua hauna Basi ata Moja.
KUNA SHIDA MAHALI
wawape tu matajiriBakhresa aliutaka huu mradi wakamtosa