Waziri Mkuu: Mabasi mabovu ya mwendokasi ni bora Serikali iyauze kuliko kuyaacha yakiozea pale yard

Kwa namna yanavyopigishwa kazi, magari hayo yangekuwa yanauzwa kila baada ya miaka miwili wakati bado yanauzika. Tatizo ni utaratibu wa kuuza mali za umma una ukiritimba sana. Na nani atakae yanunua? Ubaya mwingine utakuta hayana bima, kwa hiyo yakipata ajali inakula kwa serikali.

Pengine ingekuwa bora kama wange yakodi kutoka muuzaji kwa makubaliano kuwa kila baada ya miaka kadhaa wanamrudishia na wanapewa mapya. Muuzaji angeweza kuyatengeneza na kuwauzia wengine. Na mpango wa lease unamwachia muuzaji jukumu la service na maintenance.

Amandla...
 
hata chuma chakavu hayafai
 
Mnataka mabasi yafanye kazi ya treni. Wenzao wanatengeneza "commuter train" wao bado wanapigana na diesel engine zisafirishe watu kwenye busy chaotic city kama dar. Mi nilishangaa sana huu mradi back in the days enzi za JK.
 
Mzee uko vizuri kwa extrapolation😆..!!
 
halafu magari hayo yalikuwa ni used, pili njia za bongo changamoto sana angalia maji jangwani pale!?

Mabasi ya mwendokasi yaliletwa toka mtumbani????!!! mmh
 
SGR imekufa hata kabla haijaanza.
ATCL ndege zilizopo haziruki huku tunaendelea kununua nyingine, sio moja. Tatu
Ndege moja tungenunua mabasi zaidi ya Mia mbili
Ile MV Bagamoyo iliyonunuliwa kwa Bei pouwer iko wapi?
We don't have priorities.
Mabasi ya kipuuzi yale bora wanunue yutong kama za mikoani tu zile 😛 walau watapiga hela au wanunue Hino za mjapani!
 
Wakati Kuna dcm za mbagala zipo tangu enzi ya mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…