nashauri kipindi hiki waziri mkuu awe mkali zaidi kuliko kipindi kilicho pita, tena awe mkali kwelikweli, yaaani asimchekee mtu yeyote aliye vurunda, awe mkali kweli kweli, awe mkali
hakuna kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa yaaani awe mkali haswaaaa, hiki ni kipindi cha lala salama, kamwe asikubali uozo ktk kipindi hiki, awasimimie bila kuwatazama usoni....yaaani kazi kazi.